< 1 Chroniques 24 >

1 Voici les divisions des fils d'Aaron. Fils d'Aaron: Nadab, Abihu, Éléazar et Ithamar.
Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
2 Mais Nadab et Abihu moururent avant leur père et n'eurent pas d'enfants; c'est pourquoi Éléazar et Ithamar furent sacrificateurs.
Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
3 David, avec Zadok des fils d'Éléazar et Achimélec des fils d'Ithamar, les répartit selon leur ordre dans leur service.
Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
4 Il se trouva plus de chefs parmi les fils d'Éléazar que parmi les fils d'Ithamar; et ils furent divisés ainsi: des fils d'Éléazar, il y en eut seize, chefs de maisons paternelles; et des fils d'Ithamar, selon leurs maisons paternelles, huit.
Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
5 C'est ainsi qu'on les partagea impartialement par tirage au sort, car il y avait des chefs du sanctuaire et des chefs de Dieu, tant parmi les fils d'Éléazar que parmi les fils d'Ithamar.
Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
6 Schemaeja, fils de Nethaneel, le scribe, qui était d'entre les Lévites, les écrivit en présence du roi, des chefs, du sacrificateur Tsadok, d'Achimélec, fils d'Abiathar, et des chefs de famille des sacrificateurs et des Lévites; on prit une maison de famille pour Éléazar et une pour Ithamar.
Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
7 Le premier lot échut à Jehoïarib, le second à Jedaja,
Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
8 le troisième à Harim, le quatrième à Seorim,
ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
9 le cinquième à Malkija, le sixième à Mijamin,
ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
10 le septième à Hakkoz, le huitième à Abija,
ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
11 le neuvième à Josué, le dixième à Shecania,
ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
12 le onzième à Eliaschib, le douzième à Jakim,
ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
13 le treizième à Huppa, le quatorzième, à Jeshebeab,
ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
14 le quinzième, à Bilga, le seizième, à Immer,
ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
15 le dix-septième, à Hezir, le dix-huitième, à Happizzez,
ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
16 le dix-neuvième, à Pethahiah, le vingtième, à Jehezkel,
ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
17 le vingt et unième, à Jakin, le vingt-deuxième, à Gamul,
ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
18 le vingt-troisième, à Delaia, et le vingt-quatrième, à Maaziah.
ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
19 C'est ainsi qu'ils furent désignés pour leur service, afin d'entrer dans la maison de l'Éternel, selon l'ordonnance que leur avait donnée Aaron, leur père, comme l'Éternel, le Dieu d'Israël, le lui avait ordonné.
Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
20 Pour le reste des fils de Lévi: des fils d'Amram, Schubael; des fils de Schubael, Jehdija.
Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
21 Pour Rehabia: des fils de Rehabia, Ischia, le chef.
Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
22 Des Jitseharites: Schelomoth; des fils de Schelomoth: Jahath.
Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
23 Fils d'Hébron: Jeria, Amaria, le second, Jahaziel, le troisième, et Jekameam, le quatrième.
Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
24 Fils d'Uzziel: Michée; des fils de Michée, Shamir.
Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
25 Frère de Michée: Ischia; des fils de Ischia: Zacharie.
Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
26 Fils de Merari: Mahli et Mushi. Fils de Jaazia: Beno.
Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
27 Fils de Merari, par Jaazia: Beno, Shoham, Zaccur et Ibri.
Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
28 De Mahli: Éléazar, qui n'eut pas de fils.
Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
29 De Kish, fils de Kish: Jerahmeel.
Wana wa Kishi: Yerameli
30 Fils de Mushi: Mahli, Eder et Jerimoth. Ce sont là les fils des Lévites, selon les maisons de leurs pères.
wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
31 Ceux-ci tirèrent au sort, comme leurs frères les fils d'Aaron, devant le roi David, Tsadok, Achimélec, les chefs de famille des sacrificateurs et des Lévites, les chefs de famille du chef comme ceux de son jeune frère.
Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.

< 1 Chroniques 24 >