< 1 Chroniques 13 >

1 David consulta les chefs de milliers et de centaines, et tous les chefs.
Daudi akashuriana na wakuu wa jeshi la maelfu na mamia, na kila kiongozi.
2 David dit à toute l'assemblée d'Israël: « Si cela vous paraît bon et si c'est l'avis de l'Éternel, notre Dieu, envoyons partout des messages à nos frères qui sont restés dans tout le pays d'Israël, avec lesquels les prêtres et les lévites sont dans leurs villes qui ont des pâturages, afin qu'ils se rassemblent auprès de nous.
Daudi akasema kwa kusanyiko la Isaraeli, “Kama itakuwa vyema, na kama hii inatoka kwa Yahweh Mungu wetu, na tutume wajumbe kila sehemu kwa ndugu zetu walio baki maeneo yote ya Israeli, na kwa makuhani na Walawi walio kwenye miji yao. Waambiwe wajiunge nasi.
3 Et aussi, ramenons chez nous l'arche de notre Dieu, car nous ne l'avons pas cherchée du temps de Saül. »
Na tulete sanduku la Mungu wetu, kwa kuwa hatukutafuta mapenzi yake katika siku za Sauli.”
4 Toute l'assemblée répondit qu'elle le ferait, car la chose était bonne aux yeux de tout le peuple.
Kusanyiko lote liliafiki kufanya haya yote, kwa kuwa yalionekana sawa machoni pa watu wote.
5 Et David rassembla tout Israël, depuis le fleuve Shihor en Égypte jusqu'à l'entrée de Hamath, pour faire venir l'arche de Dieu de Kiriath Jearim.
Kwaiyo Daudi akakusanya Israeli yote, kutoka mto Shihori ulio Misri hadi Lebo Hamathi, kuleta sandaku la Mungu kutoka Kiriathi Yearimu.
6 David monta avec tout Israël à Baala, c'est-à-dire à Kiriath Jearim, qui appartenait à Juda, pour faire monter de là l'arche de Dieu Yahvé, qui est assise au-dessus des chérubins et qui porte le nom de Yahvé.
Daudi na Israeli yote walienda mpaka Baala, ambayo ni, Kiriathi Yearimu, ambao ni ya Yuda, kuleta sanduku la Mungu, ambalo linaitwa kwa jina la Yahweh, Yahweh, ambaye ameketi juu ya makerubi.
7 Ils portèrent l'arche de Dieu sur un char neuf, et l'amenèrent de la maison d'Abinadab; Uzza et Ahio conduisaient le char.
Kwaiyo wakaketisha sanduku la Mungu juu ya chombo kipya cha matairi. Wakaleta nje ya nyumba ya Abinadabu. Uza na Ahio walikuwa wakilinda hicho chombo.
8 David et tout Israël jouèrent devant Dieu de toute leur force, avec des chants, avec des harpes, avec des instruments à cordes, avec des tambourins, avec des cymbales et avec des trompettes.
Daudi na Israeli yote walikuwa wakishangilia mbele za Mungu kwa nguvu zao zote. Walikuwa wakiimba na vyombo vya uzi, vinubi, upatu, na tarumbeta.
9 Lorsqu'ils arrivèrent à l'aire de Chidon, Uzza étendit la main pour tenir l'arche, car les bœufs trébuchaient.
Walipo kuja eneo la kupeta mazao huko Kidoni, Uza alinyoosha mkono wake kuzuia sandaku, sababu ng'ombe aliyekuwa amebeba sanduku aliyumba.
10 La colère de Yahvé s'enflamma contre Uzza, et il le frappa parce qu'il avait mis la main sur l'arche; et il mourut là, devant Dieu.
Hasira ya Yahweh ikawaka juu ya Uza, na Yahweh akamua kwasababu Uza alishika na mkono wake sanduku. Akafa pale mbele za Mungu.
11 David fut mécontent, car Yahvé s'était déchaîné contre Uzza. Il appela ce lieu Perez Uzza, jusqu'à ce jour.
Daudi alipatwa na hasira kwa kuwa Yahweh alimshambulia Uza. Hiyo sehemu inaitwa Perezi Uza hadi leo.
12 Ce jour-là, David eut peur de Dieu et dit: « Comment pourrais-je ramener chez moi l'arche de Dieu? »
Daudi alimuogopa Mungu hiyo siku. Akasema, “Nawezaje kuleta sanduku la Mungu nyumbani mwangu?”
13 David ne transporta donc pas l'arche avec lui dans la ville de David, mais il la porta à l'écart, dans la maison d'Obed-Edom, le Gittien.
Kwaiyo Daudi hakuleta sanduku kwenye mji wa Daudi, lakini aliweka pembeni mwa nyumba ya Obedi Edomu Mgiti.
14 L'arche de Dieu resta trois mois dans la maison d'Obed-Edom, et Yahvé bénit la maison d'Obed-Edom et tout ce qui lui appartenait.
Sanduku la Mungu lilibaki nyumbani mwa Obedi Edomu kwa miezi mitatu. Kwaiyo Yahweh akabariki nyumba yake na yote aliyo miliki.

< 1 Chroniques 13 >