< Sakarjan 11 >

1 Avaa ovesi, Libanon! Tuli on kuluttava sinun setrisi.
Fungua milango yako, ee Lebanoni, ili moto uteketeze mielezi yako!
2 Valittakoon kypressi, sillä setri on kaatunut, hävitetyt ovat nuo mahtavat. Valittakaa, te Baasanin tammet, sillä sankka metsä on sortunut.
Omboleza, enyi miti ya misonobari, kwani mierezi imeanguka! Kilichokuwa cha fahari kimeteketezwa! Ombolezeni, enyi mialoni ya Bashani, kwani msitu wenye nguvu umeshushwa.
3 Kuule paimenten valitusta, kun on hävitetty nuo heidän mahtavansa. Kuule nuorten leijonain ärjyntää, kun on hävitetty Jordanin rantatiheikkö.
Wachungaji wanapiga yowe, kwa kuwa utukufu wao umeharibiwa! Sauti ya mungurumo wa wana simba, kwa kuwa kiburi cha Mto Yordani kimeharibiwa!
4 Näin sanoi Herra, minun Jumalani:
Hivi ndivyo asemavyo Yahwe Mungu wangu, “Lichungeni kundi la kondoo lililotiyari kuchinjwa!
5 "Kaitse teuraslampaita, joita niiden ostajat teurastavat tuntematta syynalaisuutta, ja joista niiden myyjät sanovat: 'Kiitetty olkoon Herra, minä olen rikastunut', ja joita niiden paimenet eivät sääli.
(Wanaowanunua wanawachinja bila kuhadhibiwa, nao wawauzao husema, 'Atukuzwe Yahwe! Nimetajirika! Kwa maana wachungaji wafanyao kazi kwa wenye kondoo hawawahurumii.)
6 Sillä minä en enää sääli maan asukkaita, sanoo Herra. Katso, minä annan ihmisten joutua toistensa käsiin ja kuninkaansa käsiin, ja he hävittävät maan, enkä minä pelasta ketään heidän käsistänsä."
Kwa maana hiyo sitawahurumia tena wenyeji wa nchi! - hivi ndivyo asemavyo Yahwe. Tazama! Mimi mwenyewe nipo tiyari kumwelekeza kila mtu katika mkono wa jirani yake na katika mkono wa mfalme wake, nao wataiharibu nchi na hakuna hata mmoja wao nitakayemwokoa kutoka katika mkono wao.”
7 Niin minä siis kaitsin teuraslampaita, lampaista kurjimpia. Ja minä otin itselleni kaksi sauvaa; minä nimitin toisen "Suloudeksi", toisen minä nimitin "Yhteydeksi", ja niin minä kaitsin lampaita.
Hivyo nikawa mchungaji wa kondoo walioamriwa kuchinjwa, kwa wanaowashughulikia kondoo. Nilichukua fimbo mbili; fimbo moja nikaiita “Neema” na nyingine nikaiita “Umoja.” Kwa njia hii niliwachunga kondoo.
8 Ja minä hävitin kolme paimenta yhtenä kuukautena, mutta minä kävin kärsimättömäksi lampaille, ja hekin kyllästyivät minuun.
Ndani ya mwezi mmoja niliwaangamiza wachungaji watatu, kwa maana sikuwavumilia tena, wao pia walinichukia.
9 Niin minä sanoin: "Minä en tahdo enää teitä kaita. Kuolkoon, joka kuolee; hävitköön, joka häviää; ja jäljellejäävät syökööt kukin toisensa lihaa."
Ndipo nilipowaambia wamiliki, “Sitafanya kazi kama mchungaji wenu tena. Wakondoo wafao - na wafe; kondoo wanaoangamizwa - na waangamizwe. Na kondoo wasaliao kila mmoja ale nyama ya jirani yake.”
10 Ja minä otin sauvani Sulouden ja katkaisin sen purkaakseni liittoni, jonka olin tehnyt kaikkien kansojen kanssa.
Hivyo nikaichukua fimbo yangu “Neema” na nikaivunja kuvunja agano nililokuwa nimelifanya na kabila zangu zote.
11 Ja sinä päivänä se purkautui, ja niin lampaista kurjimmat, jotka ottivat minusta vaarin, tulivat tietämään, että se oli Herran sana.
Katika siku hiyo agano lilivunjwa, na wale wanaoshughulika na kondoo na waliokuwa wakiniangalia walifahamu kwamba Yahwe amesema.
12 Sitten minä sanoin heille: "Jos teille hyväksi näkyy, niin antakaa minulle palkkani; jollei, niin olkaa antamatta". Niin he punnitsivat minun palkakseni kolmekymmentä hopearahaa.
Nikawaambia, “Ikiwa itawapendeza, nilipeni ujira wangu. Kama sivyo, msifanye hivyo.” Hivyo wakapima ujira wangu - vipande thelathini vya fedha.
13 Ja Herra sanoi minulle: "Viskaa se savenvalajalle, tuo kallis hinta, jonka arvoiseksi he ovat minut arvioineet". Niin minä otin ne kolmekymmentä hopearahaa ja viskasin ne Herran huoneeseen savenvalajalle.
Kisha Yahwe akaniambia, “Weka fedha katika hazina, thamani nzuri zaidi ambayo walikupa!” Hivyo nikachukua vipande thelathini vya fedha na kuviweka katika hazina ndani ya nyumbani Yahwe.
14 Sitten minä katkaisin toisen sauvani, Yhteyden, purkaakseni veljeyden Juudan ja Israelin väliltä.
Kisha nikavunja fimbo yangu ya pili, “Umoja,” kuvunja undugu kati ya Yuda na Israeli.
15 Sitten Herra sanoi minulle: "Ota vielä itsellesi hullun paimenen kapineet.
Yahwe akaniambia, “Tena, chukua chombo cha mchungaji mpumbavu kwa ajili yako mwenyewe,
16 Sillä katso, minä olen herättävä maahan paimenen: hukkaantuneista hän ei pidä huolta, hajaantunutta hän ei etsi, ruhjoutunutta hän ei paranna, pystyssäpysyvää hän ei tue; mutta hän syö lihavien lihaa ja halkaisee niiden sorkat.
kwa maana tazama, niko tiyari kumweka mahali mchungaji katika nchi. Hataangalia kondoo wanaoangamia. Hatatafuta kondoo wapoteao, wala kuwaponya kondoo wachechemeao. Hatawalisha kondoo wenye afya, lakini atakula nyama ya kondoo walionona naye atapasua kwato zao.
17 Voi hullua paimenta, joka lampaat hylkää! Käyköön miekka hänen käsivarteensa ja oikeaan silmäänsä. Hänen käsivartensa kuivettukoon, ja hänen oikea silmänsä soetkoon."
Ole kwa wachungaji wasiofaa wanaoliacha kundi la kondoo! Upanga na uje dhidi ya mkono wake na jicho lake la kulia! Mkono wake na ukauke na jicho lake la kulia lipofuke!

< Sakarjan 11 >