< Psalmien 47 >
1 Veisuunjohtajalle; koorahilaisten virsi. Paukuttakaa käsiänne, kaikki kansat, kohottakaa Jumalalle riemuhuuto.
Pigeni makofi, enyi watu wote; mpigieni Mungu kelele za ushindi.
2 Sillä Herra on korkein, peljättävä, kaiken maan suuri kuningas.
Kwa maana Yahwe Aliye Juu anatisha; ni Mfalme mkuu dunia yote.
3 Hän kukistaa kansat meidän allemme ja kansakunnat jalkaimme alle.
Yeye anawatiisha chini yetu na mataifa chini ya miguu yetu.
4 Hän on valinnut meille perintömaamme, joka on Jaakobin, hänen rakkaansa, kunnia. (Sela)
Yeye huchagua urithi kwa ajili yetu, utukufu wa Yakobo ambaye alimpenda. Serah
5 Jumala astuu ylös riemun raikuessa, Herra pasunain pauhatessa.
Mungu ameinuliwa juu kwa shangwe, Kwa mbiu ya shangwe Yahwe yu juu.
6 Veisatkaa Jumalalle, veisatkaa, veisatkaa meidän kuninkaallemme, veisatkaa.
Mwimbieni Mungu sifa, imbeni sifa; mwimbieni sifa Mfalme wetu, imbeni sifa.
7 Sillä Jumala on kaiken maan kuningas. Veisatkaa hänelle virsi.
Kwa maana Mungu ni Mfalme duniani kote; mwimbieni mkiwa na uelewa.
8 Jumala on kansojen kuningas, Jumala istuu pyhällä istuimellansa.
Mungu anatawala mataifa yote; Mungu hukaa kwenye kiti cha enzi.
9 Kansojen päämiehet kokoontuvat Aabrahamin Jumalan kansaksi. Sillä maan kilvet ovat Jumalan; hän on ylen korkea.
Wakuu wa watu wamekusanyika pamoja kwa watu wa Mungu wa Ibrahimu; kwa kuwa ngao za duniani ni za Mungu; yeye ameinuliwa juu sana.