< Psalmien 26 >

1 Daavidin virsi. Auta minut oikeuteeni, Herra, sillä minä olen vaeltanut nuhteettomasti ja turvaan horjumatta Herraan.
Unihukumu mimi, Yahwe, kwa kuwa nimeenenda katika uadilifu; nimeamini katika Yahwe bila kusita.
2 Tutki minua, Herra, ja pane minut koetukselle, koettele minun munaskuuni ja sydämeni.
Unichunguze, Yahwe, na unijaribu; uujaribu usafi wa sehemu zangu za ndani na moyoni mwangu!
3 Sillä sinun armosi on minun silmäini edessä, ja minä olen vaeltanut sinun totuudessasi.
Kwa maana uaminifu wa agano lako uko mbele ya macho yangu, na mwenendo wangu ni katika uaminifu wako.
4 En minä istu valheen miesten seurassa enkä kulje salakavalain kanssa.
Mimi sichangamani na watu waovu, wala sichangamani na watu wanafiki.
5 Minä vihaan pahojen seuraa enkä istu jumalattomien parissa.
Ninachukia waovu, na siishi na waovu.
6 Minä pesen käteni viattomuudessa, ja astun kulkueessa sinun alttarisi ympäri, Herra,
Ninaosha mikono yangu kounesha sina hatia, na kuikaribia madhabahu yako, Yahwe,
7 antaakseni kuulua kiitokseni äänen ja julistaakseni kaikkia sinun ihmeitäsi.
kuimba wimbo wa sauti ya sifa na kutoa taarifa ya matendo yako yote ya ajabu.
8 Herra, minä rakastan sinun huonettasi, sinun asuinsijaasi, sitä paikkaa, jossa sinun kirkkautesi asuu.
Yahwe, ninaipenda nyumba ninayoishi, mahali ambapo utukufu wako unaishi!
9 Älä tempaa pois minun sieluani syntisten kanssa äläkä minun henkeäni verenvuodattajain kanssa,
Usiniangamize pamoja na wenye dhambi, au maisha yangu na watu wenye kiu ya kumwaga damu,
10 joiden käsiä ilkityö tahraa, joiden oikea käsi on lahjuksia täynnä.
ambao katika mikono yao kuna njama, na ambao mkono wa kuume umejaa rushwa.
11 Mutta minä vaellan nuhteettomasti; vapahda minut ja ole minulle armollinen.
Lakini kwangu mimi, nitaenenda katika uadilifu; uniokoe na unihurumie.
12 Minun jalkani seisoo tasaisella maalla; seurakunnan kokouksissa minä kiitän Herraa.
Miguu yangu husimama sehemu salama; katika kusanyiko la watu nitambariki Yahwe!

< Psalmien 26 >