< Psalmien 24 >
1 Daavidin virsi. Herran on maa ja kaikki, mitä siinä on, maanpiiri ja ne, jotka siinä asuvat.
Nchi ni ya Yahwe, na vyote viijazavyo, dunia, na wote wakaao ndani yake.
2 Sillä hän on sen perustanut merten päälle, vahvistanut sen virtojen päälle.
Kwa kuwa yeye aliianzisha juu ya bahari na kuiimarisha juu ya mito.
3 Kuka saa astua Herran vuorelle, kuka seisoa hänen pyhässä paikassansa?
Ni nani atakaye panda mlima wa Yahwe? Ni nani atakaye simama patakatifu pake?
4 Se, jolla on viattomat kädet ja puhdas sydän, joka ei halaja turhuutta eikä vanno väärin.
Yeye ambaye ana mikono misafi na moyo safi; ambaye hajauinua uongo, na haja apa kiapo ili kudanganya.
5 Hän saa siunauksen Herralta ja vanhurskauden pelastuksensa Jumalalta.
Yeye atapokea baraka kutoka kwa Yahwe na haki kutoka kwa Mungu wa wokovu wake.
6 Tämä on se suku, joka häntä kysyy, joka etsii sinun kasvojasi, -tämä on Jaakob. (Sela)
Kizazi cha wale wamtafutao Mungu ni kama hiki, wale ambao wanautafuta uso wa Mungu wa Yakobo.
7 Nostakaa päänne, te portit, nostakaa päänne, te ikuiset ovet, kunnian kuninkaan käydä sisälle!
Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
8 Kuka on se kunnian kuningas? Hän on Herra, väkevä ja voimallinen, Herra, voimallinen sodassa.
Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe, mwenye nguvu na uweza; Yahwe, mwenye uweza katika vita.
9 Nostakaa päänne, te portit, nostakaa päänne, te ikuiset ovet, kunnian kuninkaan käydä sisälle!
Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
10 Kuka on se kunnian kuningas? Hän on Herra Sebaot, hän on kunnian kuningas. (Sela)
Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe wa majeshi, yeye ni Mfalme wa utukufu.