< Psalmien 2 >

1 Miksi pakanat pauhaavat ja kansat turhia ajattelevat?
Kwa nini mataifa wanafanya dhoruba, kwa nini watu wanafanya njama ambazo zitafeli?
2 Maan kuninkaat nousevat, ruhtinaat yhdessä neuvottelevat Herraa ja hänen voideltuansa vastaan:
Wafalme wa nchi kwa pamoja hushikilia misimamo yao na watawala kwa pamoja hufanya njama kinyume na Yahwe na kinyume na Masihi, wakisema,
3 "Katkaiskaamme heidän kahleensa, heittäkäämme päältämme heidän köytensä".
“Ngoja tuzikate pingu walizo tufingia sisi na kuzitupa pingu zao.”
4 Hän, joka taivaassa asuu, nauraa; Herra pilkkaa heitä.
Yeye aketie katika mbingu atacheka kwa dharau mbele yao; Bwana atawadhihaki wao.
5 Kerran hän on puhuva heille vihassansa, peljättävä heitä hirmuisuudessaan:
Kisha ataongea nao katika hasira yake na kuwaogofya kwa gadhabu yake, akisema,
6 "Minä olen asettanut kuninkaani Siioniin, pyhälle vuorelleni".
“Mimi mwenyewe nilimpaka mafuta mfalme wa Sayuni, mlima wangu mtakatifu.”
7 Minä ilmoitan, mitä Herra on säätänyt. Hän lausui minulle: "Sinä olet minun poikani, tänä päivänä minä sinut synnytin.
Nami nitatangaza amri ya Yahwe. Yeye aliniambia, “wewe ni mwanangu! Leo hii nimekuwa baba yako.
8 Ano minulta, niin minä annan pakanakansat sinun perinnöksesi ja maan ääret sinun omiksesi.
Uniombe, nami nitakupa wewe taifa kwa ajili ya urithi na mikoa ya nchi iliyo bora kwa ajili ya umiliki wako.
9 Rautaisella valtikalla sinä heidät muserrat, niinkuin saviastian sinä särjet heidät."
Wewe utawavunja wao kwa fimbo ya chuma; kama vile mtungi wa mfinyanzi, wewe utawavunja wao vipande vipande.”
10 Tulkaa siis järkiinne, kuninkaat, maan tuomarit, ottakaa nuhteesta vaari.
Hivyo sasa, ninyi wafalme; mchukue tahadhari; mjirekebishe.
11 Palvelkaa Herraa pelvolla ja iloitkaa vavistuksella.
Mwabuduni Yahwe kwa hofu na mfurahi mkitetemeka.
12 Antakaa suuta pojalle, ettei hän vihastuisi ettekä te hukkuisi tiellänne. Sillä hänen vihansa syttyy äkisti. Autuaat ovat kaikki, jotka häneen turvaavat.
Mumbusu mwana vinginevyo atawakasirikia, na mtakufa pale pale hasira yake ikiwaka. Ni jinsi gani wamebarikiwa wale wote watafutao usalama ndani yake.

< Psalmien 2 >