< Psalmien 17 >

1 Daavidin rukous. Kuule, Herra, minun oikeata asiaani, tarkkaa minun huutoani, ota korviisi minun rukoukseni, joka ei lähde petollisilta huulilta.
Maombi ya Daudi. Sikia ombi langu kwa ajili ya haki, Yawhe; uusikilize mwito wangu wa msaada. Uyasikilize maombi yangu yatokayo katika midomo isiyo na udanganyifu.
2 Sinulta tulee minulle oikeus, sinun silmäsi katsovat sitä, mikä oikein on.
Uthibitisho wangu na uje kutoka uweponi mwako; macho yako na yaone kile kilicho sahihi!
3 Sinä koettelet minun sydäntäni, tarkkaat sitä yöllä, sinä tutkit minua, mutta et mitään löydä. Jos minä pahaa ajattelen, ei se käy suustani ulos.
Kama utaujaribu moyo wangu, kama utakuja kwangu wakati wa usiku, wewe utanitakasa na hautapata mipango yeyote ya uovu; mdomo wangu hautavunja sheria.
4 Mitä ihmiset tehköötkin, sinun huultesi sanassa minä pysyn ja kavahdan väkivaltaisen teitä.
Kama kwa matendo ya binadamu, ni katika neno la midomo yako ya kuwa nimejiepusha na njia za wahalifu.
5 Minun askeleeni pysyvät sinun poluillasi, minun jalkani eivät horju.
Mwenendo wangu umeshikila kwa umakini mwenendo wako; miguu yangu haija teleza.
6 Minä huudan sinua avukseni, sillä sinä vastaat minulle, Jumala; kallista korvasi minun puoleeni, kuule minun puheeni.
Nakuita wewe, kwa kuwa unanijibu, Mungu; geizia sikio lako kwangu na usikilize ninapo ongea.
7 Osoita ihmeellinen armosi, sinä, joka pelastat vihamiesten vallasta ne, jotka turvaavat sinun oikeaan käteesi.
Onyesha uaminifu wa agano lako katika namna ya ajabu, wewe uokoaye kwa mkono wa haki yako wale wanao kukimbilia wewe kutoka kwa adui zao.
8 Varjele minua niinkuin silmäterää, kätke minut siipiesi suojaan
Unilinde kama mboni ya jicho lako; unifiche katika kivuli cha mbawa zako
9 jumalattomilta, jotka tahtovat minut tuhota, verivihollisiltani, jotka minua saartavat.
kutoka katika uwepo wa waovu ambao wananitusi, adui zangu wanizungukao.
10 He ovat sulkeneet tunnottomat sydämensä, heidän suunsa puhuu ylvästellen.
Wao hawana huruma kwa yeyote; midomo yao huongea kwa majivuno.
11 He ovat kintereillämme, he jo kiertävät meidät, he vaanivat silmillään, lyödäksensä maahan.
Wao wame zizunguka hatua zangu. Wamekaza macho yao wanishambulie mpaka ardhini.
12 Hän on niinkuin saalista himoitseva leijona, niinkuin nuori leijona, joka piilossa väijyy.
Wao ni kama mfano wa hasira ya simba mawindoni. Ni kama simba kijana anapotokea mafichoni.
13 Nouse, Herra, astu hänen eteensä. Paiskaa hänet maahan. Vapahda miekallasi minun sieluni jumalattomista,
Inuka, Yahwe! Uwashambulie! Uwaangushe chini kwenye nyuso zao! Uyaokoe maisha yangu kutokana na waovu kwa upanga wako!
14 kädelläsi ihmisistä, Herra, tämän maailman ihmisistä, joiden osa on tässä elämässä, joiden vatsan sinä täytät antimillasi, joiden pojat tulevat ravituiksi ja jotka jättävät yltäkylläisyytensä lapsilleen.
Uniokoe kutoka kwa watu hawa kwa mkono wako, Yahwe, kutoka kwa watu wa dunia hii ambao utajiri wao ni maisha haya pekee! Wewe utayajaza matumbo ya wale uwathaminio na utajiri; watakuwa na watoto wengi na wataacha utajiri wao kwa watoto wao.
15 Mutta minä saan nähdä sinun kasvosi vanhurskaudessa, herätessäni ravita itseni sinun muotosi katselemisella.
Bali mimi, nitauona uso wako katika haki; Nitashuhudiwa, pale nitakapo amka, na macho yako.

< Psalmien 17 >