< Psalmien 120 >
1 Matkalaulu. Ahdistuksessani minä huudan Herraa, ja hän vastaa minulle.
Katika dhiki yangu nilimuita Yahwe, naye akanijibu.
2 Herra, pelasta minun sieluni valheellisista huulista, petollisesta kielestä.
Uiokoe nasfi yangu, yahwe, dhidi ya wale wadanganyao kwa midomo yao na wanenao hila kwa ndimi zao.
3 Mitä hän sinulle antaa ja mitä siihen vielä lisää, sinä petollinen kieli?
Yahwe atawaadhibu vipi, na atawafanyia kitu gani zaidi, ninyi mlio na ulimi mdanganyifu?
4 Väkivaltaisen teräviä nuolia ynnä kinsteripensaan tulisia hiiliä!
Atawaadhibu kwa mishale ya shujaa iliyo nolewa kwa makaa ya moto ya mretemu.
5 Voi minua, että minun täytyy oleskella muukalaisena Mesekissä, asua Keedarin majojen keskellä!
Ole wangu mimi kwa sababu ninaishi kwa muda Mesheki; huko nyuma niliishi kati ya maskani ya Kedari.
6 Kauan on minun sieluni täytynyt asua niiden seurassa, jotka rauhaa vihaavat.
Kwa muda mrefu sana niliisha na wale waichukiao amani.
7 Minä pidän rauhan, mutta jos sanan sanon, niin he ovat sotaan valmiit.
Nipo kwa ajili ya amani, lakini ninenapo, wao wako kwa ajili ya vita.