< Sananlaskujen 29 >
1 Kuritusta saanut mies, joka niskurina pysyy, rusennetaan äkisti, eikä apua ole.
Mtu aliyepokea makaripio mengi lakini anashupaza shingo yake atavunjika ndani ya muda mfupi na hata pona.
2 Hurskaitten enentyessä kansa iloitsee, mutta jumalattoman hallitessa kansa huokaa.
Watenda mema wanapoongezeka, watu wanafurahi, bali wakati mtu mwovu anapotawala, watu huugua.
3 Viisautta rakastavainen on isällensä iloksi, mutta porttojen seuratoveri hävittää varansa.
Mwenye kupenda hekima baba yake anafurahi, bali anayeshikamana na makahaba huuharibu utajiri wake.
4 Oikeudella kuningas pitää maan pystyssä, mutta verojen kiskoja sen hävittää.
Mfalme huimarisha nchi kwa haki, bali mwenye kudai rushwa huirarua.
5 Mies, joka lähimmäistään liehakoitsee, virittää verkon hänen askeleilleen.
Mtu anayejipendekeza kwa jirani yake anatandaza wavu kwenye miguu yake.
6 Pahalle miehelle on oma rikos paulaksi, mutta vanhurskas saa riemuita ja iloita.
Mtu mbaya hunaswa kwenye mtego wa dhambi yake mwenyewe, bali yeye atendaye haki huimba na kufurahi.
7 Vanhurskas tuntee vaivaisten asian, mutta jumalaton ei siitä mitään ymmärrä.
Atendaye haki hutetea madai ya masikini; mtu mwovu hafahamu maarifa kama hayo.
8 Pilkkaajat kaupungin villitsevät, mutta viisaat hillitsevät vihan.
Mwenye dhihaka huutia moto mji, bali wale wenye busara huigeuza ghadhabu.
9 Viisas mies kun käräjöi hullun miehen kanssa, niin tämä reutoo ja nauraa eikä asetu.
Mtu mwenye busara anapojadiliana na mpumbavu, hughadhabika na kucheka, hakutakuwa na utulivu.
10 Murhamiehet vihaavat nuhteetonta, oikeamielisten henkeä he väijyvät.
Mkatili humchukia mwenye ukamilifu na hutafuta maisha ya mwenye haki.
11 Tyhmä purkaa kaiken sisunsa, mutta viisas sen viimein tyynnyttää.
Mpumabavu huonyesha hasira yake, bali mtu mwenye busara huishikilia na kujituliza mwenyewe.
12 Hallitsija, joka kuuntelee valhepuheita, saa palvelijoikseen pelkkiä jumalattomia.
Kama matawala atazinagatia uongo, maafisa wake wote watakuwa waovu.
13 Köyhä ja sortaja kohtaavat toisensa; kumpaisenkin silmille Herra antaa valon.
Mtu masikini na mkandamizaji wanafanana, maana Yehova huyapa nuru macho yao wote.
14 Kuninkaalla, joka tuomitsee vaivaisia oikein, on valtaistuin iäti vahva.
Kama mfalme atamhukumu masikini kwa uaminifu, kiti chake cha enzi kitaimarishwa milele.
15 Vitsa ja nuhde antavat viisautta, mutta kuriton poika on äitinsä häpeä.
Fimbo na maonyo huleta hekima, bali mtoto huru mbali na makaripio humwaibisha mama yake.
16 Kun jumalattomat lisääntyvät, lisääntyy rikos, mutta vanhurskaat saavat nähdä, kuinka he kukistuvat.
Watu waovu wanapotawala, uovu huongezeka, bali wenye kutenda haki wataona anguko la watu waovu.
17 Kurita poikaasi, niin hän sinua virvoittaa ja sielullesi herkkuja tarjoaa.
Mwadibishe mwanao naye atakupa pumziko; ataleta furaha katika maisha yako.
18 Missä ilmoitus puuttuu, siinä kansa käy kurittomaksi; autuas se, joka noudattaa lakia.
Pasipo na maono ya kinabii watu huenda bila utaratibu, bali mwenye kuitunza sheria amebarikiwa.
19 Ei ota palvelija sanoista ojentuakseen: hän kyllä ymmärtää, mutta ei tottele.
Mtumwa hawezi kurekebishwa kwa maneno, maana ingawa anaelewa, hakuna mwitikio.
20 Näet miehen, kärkkään puhumaan-enemmän on toivoa tyhmästä kuin hänestä.
Je unamwona mtu mwenye haraka katika maneno yake? Kuna matumaini zaidi kwa mpumbavu kuliko kwake.
21 Jos palvelijaansa nuoresta pitäen hemmottelee, tulee hänestä lopulta kiittämätön.
Mwenye kumdekeza mtumwa wake tangu ujana, mwisho wake itakuwa taabu.
22 Pikavihainen mies nostaa riidan, ja kiukkuinen tulee rikkoneeksi paljon.
Mtu mwenye hasira huchochea ugomvi na bwana mwenye hasira sana hutenda dhambi nyingi.
23 Ihmisen alentaa hänen oma ylpeytensä, mutta alavamielinen saa kunnian.
Kiburi cha mtu humshusha chini, bali mwenye roho ya unyenyekevu atapewa heshima.
24 Joka käy osille varkaan kanssa, se sieluansa vihaa; hän kuulee vannotuksen, mutta ei ilmaise mitään.
Anayeshirikiana na mwizi huyachukia maisha yake mwenyewe; husikia laana na wala hasemi chochote.
25 Ihmispelko panee paulan, mutta Herraan luottavainen on turvattu.
Kumwogopa binadamu ni mtego, bali mwenye kumtumaini Yehova atalindwa.
26 Hallitsijan suosiota etsivät monet, mutta Herralta tulee miehelle oikeus.
Wengi huutafuta uso wa mtawala, bali kutoka kwa Yehova huja haki kwa ajili yake.
27 Vääryyden mies on vanhurskaille kauhistus, ja oikean tien kulkija on kauhistus jumalattomalle.
Mtu dhalimu ni chukizo kwa wenye kutenda haki, bali mwenye njia ya haki ni chukizo kwa watu waovu.