< Sananlaskujen 15 >

1 Leppeä vastaus taltuttaa kiukun, mutta loukkaava sana nostaa vihan.
Jawabu la upole huondoa ghadhabu, bali neno la ukatili huchochea hasira.
2 Viisasten kieli puhuu tietoa taitavasti, mutta tyhmäin suu purkaa hulluutta.
Ulimi wa watu mwenye hekima husifu maarifa, bali kinywa cha wapumbavu humwaga upuuzi.
3 Herran silmät ovat joka paikassa; ne vartioitsevat hyviä ja pahoja.
Macho ya Yehova yapo kila mahali, yakiwatazama juu ya waovu na wema.
4 Sävyisä kieli on elämän puu, mutta vilpillinen kieli haavoittaa mielen.
Ulimi unaoponya ni mti wa uzima, bali ulimi wa udanganyifu huvunja moyo.
5 Hullu pitää halpana isänsä kurituksen, mutta joka nuhdetta noudattaa, tulee mieleväksi.
Mpumbavu hudharau marudi ya baba yake, bali yeye anayejifunza kutokana na masahihisho ni mwenye hekima.
6 Vanhurskaan huoneessa on suuret aarteet, mutta jumalattoman saalis on turmion oma.
Katika nyumba ya wale watendao haki kuna hazina kubwa, bali mapato ya watu waovu huwapa taabu.
7 Viisasten huulet kylvävät tietoa, mutta tyhmäin sydän ei ole vakaa.
Midomo ya wenye hekima husambaza maarifa, bali mioyo ya wapumbavu haifanyi hivyo.
8 Jumalattomien uhri on Herralle kauhistus, mutta oikeamielisten rukous on hänelle otollinen.
Yehova anachukia sadaka za watu waovu, bali maombi ya watu waadilifu ndiyo furaha yake.
9 Jumalattoman tie on Herralle kauhistus, mutta joka vanhurskauteen pyrkii, sitä hän rakastaa.
Yehova anachukia njia ya watu waovu, bali anampenda yule ambaye huandama haki.
10 Kova tulee kuritus sille, joka tien hylkää; joka nuhdetta vihaa, saa kuoleman.
Marudi ya ukatili hungojea kwa yeyote ambaye huiacha njia na yule ambaye huchukia masahihisho atakufa.
11 Tuonelan ja manalan Herra näkee, saati sitten ihmislasten sydämet. (Sheol h7585)
Kuzimu na uharibifu vipo wazi mbele za Yehova; je si zaidi sana mioyo ya wana wa wanadamu? (Sheol h7585)
12 Pilkkaaja ei pidä siitä, että häntä nuhdellaan; viisasten luo hän ei mene.
Mwenye mzaha huchukia masahihisho; hatakwenda kwa wenye hekima.
13 Iloinen sydän kaunistaa kasvot, mutta sydämen tuskassa on mieli murtunut.
Moyo wenye furaha husababisha uchangamfu wa uso, bali huzuni huvunja moyo.
14 Ymmärtäväisen sydän etsii tietoa, mutta tyhmien suu hulluutta suosii.
Moyo wa mwenye ufahamu hutafuta maarifa, bali kinywa cha wapumbavu hujilisha kwenye upuuzi.
15 Kurjalle ovat pahoja kaikki päivät, mutta hyvä mieli on kuin alituiset pidot.
Siku zote za watu waliokandamizwa ni taabu, bali moyo wenye furaha unakaramu daima.
16 Parempi vähä Herran pelossa kuin paljot varat levottomuudessa.
Bora kitu kidogo pamoja na kumcha Mungu kuliko hazina kubwa pamoja na ghasia.
17 Parempi vihannesruoka rakkaudessa kuin syöttöhärkä vihassa.
Bora mlo wenye mboga kukiwa na upendo kuliko kuandaliwa ndama aliyenona kwa chuki.
18 Kiukkuinen mies nostaa riidan, mutta pitkämielinen asettaa toran.
Mtu mwenye hasira huchochea mabishano, bali mtu ambaye hukawia kukasirika hutuliza ugomvi.
19 Laiskan tie on kuin orjantappurapehko, mutta oikeamielisten polku on raivattu.
Mapito ya mtu goigoi ni kama sehemu yenye uwa wa miiba, bali mapito ya mtu mwadilifu ni njia kuu iliyojengwa imara.
20 Viisas poika on isällensä iloksi, mutta tyhmä ihminen halveksii äitiänsä.
Mwana mwenye busara huleta furaha kwa baba yake, bali mtu mpumbavu humdharau mama yake.
21 Hulluus on ilo sille, joka on mieltä vailla, mutta ymmärtäväinen mies kulkee suoraan.
Upuuzi humfurahia mtu ambaye amepungukiwa akili, bali mwenye ufahamu hutembea katika njia nyofu.
22 Hankkeet sortuvat, missä neuvonpito puuttuu; mutta ne toteutuvat, missä on runsaasti neuvonantajia.
Mipango huharibika ambapo hakuna ushauri, bali washauri wengi wanafanikiwa.
23 Miehellä on ilo suunsa vastauksesta; ja kuinka hyvä onkaan sana aikanansa!
Mtu anapata furaha wakati anapotoa jibu la kufaa; je ni zuri kiasi gani neno kwa wakati muafaka!
24 Taitava käy elämän tietä ylöspäin, välttääkseen tuonelan, joka alhaalla on. (Sheol h7585)
Njia ya uzima huwapeleka juu watu wenye hekima, ili waondoke kutoka chini kuzimu. (Sheol h7585)
25 Ylpeitten huoneen Herra hajottaa, mutta lesken rajan hän vahvistaa.
Yehova hurarua urithi wa mwenye kiburi, bali huzilinda mali za mjane.
26 Häijyt juonet ovat Herralle kauhistus, mutta lempeät sanat ovat puhtaat.
Yehova huyachukia mawazo ya watu waovu, bali maneno ya upole ni safi.
27 Väärän voiton pyytäjä hävittää huoneensa, mutta joka lahjuksia vihaa, saa elää.
Mporaji huleta shida kwenye familia yake, bali yeye ambaye huchukia rushwa ataishi.
28 Vanhurskaan sydän miettii, mitä vastata, mutta jumalattomien suu purkaa pahuutta.
Moyo wa yule atendaye haki hutafakari kabla ya kujibu, bali kinywa cha watu waovu humwanga ubaya wake wote.
29 Jumalattomista on Herra kaukana, mutta vanhurskasten rukouksen hän kuulee.
Yehova yupo mbali na watu waovu, bali husikia maombi ya wale watendao haki.
30 Valoisa silmänluonti ilahuttaa sydämen; hyvä sanoma tuo ydintä luihin.
Nuru ya macho huleta furaha moyoni na habari njema ni afya kwenye mwili.
31 Korva, joka kuuntelee elämän nuhdetta, saa majailla viisaitten keskellä.
Kama utazingatia wakati mtu anapokurekebisha jinsi ya kuishi, utabaki miongoni mwa watu wenye busara.
32 Joka kuritusta vieroo, pitää sielunsa halpana; mutta joka nuhdetta kuuntelee, se saa mieltä.
Yeye anayekataa karipio hujidharau mwenyewe, bali yule asikilizaye masahihisho hujipatia ufahamu.
33 Herran pelko on kuri viisauteen, ja kunnian edellä käy nöyryys.
Kumcha Yehova hufundisha hekima na unyenyekevu huja kabla ya heshima.

< Sananlaskujen 15 >