< 4 Mooseksen 25 >

1 Niin Israel asettui Sittimiin. Ja kansa rupesi irstailemaan Mooabin tyttärien kanssa.
Israeli akakaa Shitimu, na wanaume wakaanza kufanya ukahaba na wanawake wa Moabu,
2 Nämä kutsuivat kansaa jumaliensa uhreille, ja kansa söi ja kumarsi heidän jumaliansa.
kwa kuwa Wamoabu waliwakaribishsa kutoa sadaka kwa miungu yao. Kwa hiyo watu wakala na kuisujudia miungu ya Moabu.
3 Kun Israel näin antautui palvelemaan Baal-Peoria, syttyi Herran viha Israelia kohtaan.
Watu wa Israeli wakaungana kumwabudu Baali wa Peori, na hasira ya BWANA ikawaka dhidi ya Israeli.
4 Ja Herra sanoi Moosekselle: "Ota kansan kaikki päämiehet ja lävistä heidät paaluihin Herralle, vasten aurinkoa, että Herran vihan hehku kääntyisi pois Israelista".
BWANA akamwambia Musa, “Waue viongozi wote wa watu na uwanyonge mbele yangu ili waonekane wakati wa mchana, ili kwamba hasira yangu kali iondoke kwa Israeli.”
5 Niin Mooses sanoi Israelin tuomareille: "Surmatkoon jokainen miehistään ne, jotka ovat antautuneet palvelemaan Baal-Peoria".
Kwa hiyo Musa akawaambia viongozi wa Israeli, “Kila mmoja wenu lazima awanyonge watu wake ambao wameshiriki kumwabudu Baali wa Peori.”
6 Ja katso, muuan mies israelilaisista tuli ja toi veljiensä luo midianilaisen naisen, Mooseksen ja kaiken israelilaisten seurakunnan nähden, kun nämä olivat itkemässä ilmestysmajan ovella.
Kisha mtu mmoja wa Israeli akaleta mwanamke mmoja aliyekuwa miongoni mwa familia yake. Hili lilitokea mbele ya macho ya Musa na watu wa Israeli, wakati walipokuwa wakilia mbele ya lango la hema ya kukutania.
7 Kun Piinehas, pappi Aaronin pojan Eleasarin poika, näki sen, nousi hän kansan keskeltä ja otti keihään käteensä
Finehasi mwana wa Eliazari, mwana wa Haruni kuhani, alipoona hivyo, akainuka kutoka jamii ya watu akachukua mkuki mkononi mwake.
8 ja seurasi tuota Israelin miestä makuusuojaan ja lävisti heidät molemmat, Israelin miehen ja sen naisen, vatsan kohdalta. Silloin taukosi israelilaisilta vitsaus.
Akamfuata yule mwanaume Muisraeli hemani na kuwachoma kwa mkuki wote wawili kwenye miili yao, wote yule Muisraeli na yule mwanamke. Kwa hiyo ile tauni ambayo Mungu alikuwa ameituma kwa watu wa Israeli ikakoma.
9 Ja niitä, jotka kuolivat tässä vitsauksessa, oli kaksikymmentäneljä tuhatta.
Idadi ya wale waliokufa kwa tauni walikuwa elfu ishirini na nne.
10 Ja Herra puhui Moosekselle sanoen:
BWANA akanena na Musa, akasema,
11 "Piinehas, pappi Aaronin pojan Eleasarin poika, on kääntänyt minun vihani pois israelilaisista, kun hän on kiivaillut minun puolestani heidän keskuudessaan, niin ettei minun ole tarvinnut kiivaudessani tehdä loppua israelilaisista.
“Finehasi mwana wa Eliazari mwana wa Haruni, kuhani amaigeuza hasira yangu isiwe kwa wana wa Israeli kwa sababu alikuwa na wivu kati yao juu ya wivu wangu. Kwa hiyo sijawaangamiza watu wa Israeli kwa hasira yangu.
12 Sano siis: Katso, minä teen hänen kanssansa liiton hänen menestymiseksensä.
Kwa hiyo waambie, 'BWANA anasema, “Tazama, Ninampa Finehasi agano la amani.
13 Ja se tulee hänelle ja hänen jälkeläisillensä ikuiseksi pappeuden liitoksi, koska hän kiivaili Jumalansa puolesta ja toimitti sovituksen israelilaisille."
Kwake na kwa wana wake baada yake, litakuwa agano la kudumu la ukuhani kwa sababu alikuwa na wivu juu yangu, Mungu wake. Amewapatanisha wana wa Israeli.
14 Ja surmatun Israelin miehen nimi, sen, joka surmattiin midianilaisen naisen kanssa, oli Simri, simeonilaisen perhekunta-päämiehen Saalun poika.
Sasa yule Muisraeli aliyeuwawa pamoja na Yule mwanamke Mmidiani alikuwa Zimri mwana wa Salu, kiongozi wa familia ya uzao wa Simeoni.
15 Ja surmatun midianilais-naisen nimi oli Kosbi, Suurin, midianilaisen perhekunnan heimopäällikön, tytär.
Jina la yule Mmidiani aliyeuwawa lilikuwa Cozibi binti wa Zuri, ambaye alikuwa mkuu wa familia wa kabila huko Midiani.
16 Ja Herra puhui Moosekselle sanoen:
Kwa hiyo BWANA akanena na Musa na kusema,
17 "Ahdistakaa midianilaisia ja tuhotkaa heidät.
“Watendee Wamidiani kama maadui na uwaangamize, kwa kuwa waliwatendea kama maadui
18 Sillä he ahdistivat teitä viekkailla juonillansa, joilla he houkuttelivat teidät Peorin ja sisarensa Kosbin, midianilaisen päämiehen tyttären, ansaan, hänen, joka surmattiin Peorin vuoksi tapahtuneen vitsauksen päivänä."
kwa kuwadanganya. Waliwaongoza katika uovu kwa swala la Peori na kwa swala la dada yao Cozibi, binti wa kiongozi wa Wamidiani, ambaye aliuawa siku ile ya tauni kwa swala la Peori.”

< 4 Mooseksen 25 >