< Nehemian 3 >
1 Ylimmäinen pappi Eljasib ja hänen veljensä, papit, nousivat ja rakensivat Lammasportin, jonka he pyhittivät ja jonka ovet he asettivat paikoilleen, edelleen Hammea-torniin asti, jonka he pyhittivät, ja edelleen Hananelin-torniin asti.
Kisha Eliashibu, kuhani mkuu, akasimama pamoja na ndugu zake makuhani, wakajenga lango la kondoo. Walitakasa na kuweka milango yake. Waliweka wakfu hadi mnara wa Hamea na hadi mnara wa Hananeli.
2 Heistä eteenpäin rakensivat Jerikon miehet; ja näistä eteenpäin rakensi Sakkur, Imrin poika.
Baada yao watu wa Yeriko walijenga, na baada yao Zakuri mwana wa Imri alijenga.
3 Ja Kalaportin rakensivat senaalaiset; he kattoivat sen ja asettivat paikoilleen sen ovet, teljet ja salvat.
Wana wa Senaa wakajenga lango la samaki. Wanaweka mihimili yake na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake.
4 Heistä eteenpäin korjasi muuria Meremot, Uurian poika, joka oli Koosin poika; hänestä eteenpäin korjasi Mesullam, Berekjan poika, joka oli Mesesabelin poika; ja hänestä eteenpäin korjasi Saadok, Baanan poika.
Meremoth aliandaa sehemu inayofuata. Yeye ni mwana wa Uria mwana wa Hakosi. Na baada yao Meshulamu akatengeneza. Yeye ni mwana wa Berekia mwana wa Meshezabeli. Karibu nao Sadoki akatengeneza. Yeye ni mwana wa Baana.
5 Hänestä eteenpäin korjasivat muuria tekoalaiset; mutta heidän ylhäisensä eivät notkistaneet niskaansa Herransa palvelukseen.
Baada yao Watekoi wakatengeneza, lakini viongozi wao walikataa kufanya kazi iliyoagizwa na wakuu wao.
6 Vanhan portin korjasivat Joojada, Paaseahin poika, ja Mesullam, Besodjan poika; he kattoivat sen ja asettivat paikoilleen sen ovet, teljet ja salvat.
Yoyada mwana wa Pasea, na Meshulamu mwana wa Besodeya, walitengeneza lango la Kale. Wanaweka mihimili, na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake.
7 Heistä eteenpäin korjasivat muuria gibeonilainen Melatja ja meeronotilainen Jaadon sekä Gibeonin ja Mispan miehet, jotka olivat Eufrat-virran tämänpuoleisen käskynhaltijan vallan alaisia.
Nao, Melatia Mgibeoni, na Yadoni Meronothi, watu wa Gibeoni na Mispa, walifanyia matengenezo juu ya sehemu ambapo mkuu wa mkoa wa ng'ambo ya Mto aliishi.
8 Heistä eteenpäin korjasi muuria Ussiel, Harhajan poika, yksi kultasepistä, ja hänestä eteenpäin korjasi Hananja, yksi voiteensekoittajista; he panivat kuntoon Jerusalemia Leveään muuriin saakka.
Na baada yake Uzieli mwana wa Harhaya, mmoja wa wafua dhahabu, akatengeneza; na baada yake Hanania, mtengenezaji wa manukato. Wakajenga tena Yerusalemu mpaka Ukuta mpana.
9 Heistä eteenpäin korjasi muuria Refaja, Huurin poika, Jerusalemin piirin toisen puolen päällikkö.
Na baada yao Refaya mwana wa Huri akajenga. Alikuwa mtawala wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu.
10 Hänestä eteenpäin korjasi Jedaja, Harumafin poika, oman talonsa kohdalta; hänestä eteenpäin korjasi Hattus, Hasabnejan poika.
Na baada yao Yedaya mwana wa Harumafu akajenga karibu na nyumba yake. Na baada yake Hatushi mwana wa Hashabneya akajenga.
11 Toisen osan korjasivat Malkia, Haarimin poika, ja Hassub, Pahat-Mooabin poika, sekä sen lisäksi Uunitornin.
Malkiya mwana wa Harimu na Hashubu mwana wa Pahat Moabu, wajenga sehemu nyingine pamoja na mnara wa tanuu.
12 Heistä eteenpäin korjasi Sallum, Looheksen poika, Jerusalemin piirin toisen puolen päällikkö, hän ja hänen tyttärensä.
Baada yao Shalumu mwana wa Haloheshi, mkuu wa nusu ya wilaya ya Yerusalemu, akajenga, pamoja na binti zake.
13 Laaksoportin korjasivat Haanun ja Saanoahin asukkaat; he rakensivat sen ja asettivat paikoilleen sen ovet, teljet ja salvat. Sen lisäksi he korjasivat tuhat kyynärää muuria, Lantaporttiin saakka.
Hanuni na wenyeji wa Zanoa walijenga lango la bondeni. Walijenga tena na kuweka milango yake, na vyuma vyake na makomeo yake. Walijenga dhiraa elfu hadi lango la jaa.
14 Lantaportin korjasi Malkia, Reekabin poika, Beet-Keremin piirin päällikkö; hän rakensi sen ja asetti paikoilleen sen ovet, teljet ja salvat.
Malkiya, mwana wa Rekabu, mkuu wa wilaya ya Beth-Hakeremu, akajenga lango la jaa. Alijenga na kuweka milango yake, na vyuma vyake na makomeo yake.
15 Lähdeportin korjasi Sallum, Kolhoosen poika, Mispan piirin päällikkö; hän rakensi sen, teki siihen katon ja asetti paikoilleen sen ovet, teljet ja salvat. Sen lisäksi hän korjasi Vesijohtolammikon muurin, kuninkaan puutarhan luota, aina niihin portaisiin saakka, jotka laskeutuvat Daavidin kaupungista.
Shalumu mwana wa Kolhoze, mkuu wa wilaya ya Mispa, akajenga lango la Chemchemi. Alijenga, na kuweka kifuniko juu yake na kuweka milango yake na vyuma vyake na makomeo yake. Alijenga upya ukuta wa Pwani wa Silowamu kwa bustani ya mfalme, hadi ngazi ya kuongoza kutoka mji wa Daudi.
16 Hänen jälkeensä korjasi Nehemia, Asbukin poika, Beet-Suurin piirin toisen puolen päällikkö, aina Daavidin hautojen kohdalle ja Tekolammikolle ja Urhojentalolle saakka.
Nehemia mwana wa Azbuki, mtawala wa nusu ya wilaya ya Beth-suri, akajenga mahali hapo, toka maburini ya Daudi, mpaka birika lililojengwa na watu, na nyumba ya watu wenye nguvu.
17 Hänen jälkeensä korjasivat muuria leeviläiset: Rehum, Baanin poika; hänestä eteenpäin korjasi Hasabja, Kegilan piirin toisen puolen päällikkö, piirinsä puolesta.
Baada yake, Walawi walijenga, pamoja na Rehumi mwana wa Bani na baada yake, Hashabia, mtawala wa nusu ya wilaya ya Keila, kwa wilaya yake.
18 Hänen jälkeensä korjasivat heidän veljensä: Bavvai, Heenadadin poika, joka oli Kegilan piirin toisen puolen päällikkö.
Baada yake watu wa nchi zao walijenga, ikiwa ni pamoja na Binui mwana wa Henadadi, mkuu wa nusu ya wilaya ya Keila.
19 Hänestä eteenpäin korjasi Eeser, Jeesuan poika, Mispan päällikkö, toisen osan, siltä kohdalta, mistä noustaan asehuoneeseen, joka on Kulmauksessa.
Baada yake alijenga Ezeri, mwana wa Yeshua, mtawala wa Mispa, alijenga sehemu nyingine kuelekea ghala ya silaha, kwenye kona ya ukuta.
20 Hänen jälkeensä korjasi Baaruk, Sabbain poika, suurella innolla toisen osan, Kulmauksesta aina ylimmäisen papin Eljasibin talon oveen saakka.
Baada yake Baruki, mwana wa Zakai, akajenga kwa hiari sehemu nyingine, toka kona ya ukuta mpaka mlango wa nyumba ya Eliashibu, kuhani mkuu.
21 Hänen jälkeensä korjasi Meremot, Uurian poika, joka oli Koosin poika, toisen osan, Eljasibin talon ovesta Eljasibin talon päähän.
Baada yake Meremothi, mwana wa Uria, mwana wa Hakosi, akajenga sehemu nyingine, toka mlango wa nyumba ya Eliashibu mpaka mwisho wa nyumba ya Eliashibu.
22 Hänen jälkeensä korjasivat papit, Lakeuden miehet.
Kisha baada yake makuhani, watu wa eneo hilo karibu na Yerusalemu, walijenga.
23 Heidän jälkeensä korjasivat Benjamin ja Hassub oman talonsa kohdalta; heidän jälkeensä korjasi Asarja, Maasejan poika, joka oli Ananjan poika, talonsa viereltä.
Baada yao Benyamini na Hashubu walijenga kuielekea nyumba yao. Baada yao Azaria mwana wa Maaseya, mwana wa Anania, alijenga karibu na nyumba yake.
24 Hänen jälkeensä korjasi Binnui, Heenadadin poika, toisen osan, Asarjan talosta aina Kulmaukseen ja kulmaan saakka.
Baada yake Binui mwana wa Henadadi akajenga sehemu nyingine, kutoka nyumba ya Azaria hadi kona ya ukuta.
25 Paalal, Uusain poika, korjasi Kulmauksen ja Ylätornin kohdalta, joka ulkonee kuninkaan linnasta vankilan pihaan päin; hänen jälkeensä Pedaja, Paroksen poika
Palali, mwana wa Uzai, akajenga juu ya kona ya ukuta na mnara unaoenea juu kutoka nyumba ya juu ya mfalme katika uwanda wa walinzi. Baada yake Pedaya mwana wa Paroshi akajenga.
26 -temppelipalvelijat asuivat Oofelilla-itäisen Vesiportin ja ulkonevan tornin kohdalta.
Sasa watumishi wa hekalu waliokaa Ofeli walijenga mpaka upande wa Hifadhi ya Maji upande wa mashariki wa mnara unaojitokeza.
27 Hänen jälkeensä korjasivat tekoalaiset toisen osan, suuren, ulkonevan tornin kohdalta aina Oofelin muuriin saakka.
Baada yake, Watekoi walijenga sehemu nyingine, kuelekea mnara mkubwa ulio nje, mpaka ukuta wa Ofeli.
28 Hevosportin yläpuolelta korjasivat papit, kukin oman talonsa kohdalta.
Makuhani wakajenga juu ya lango la farasi, kila mmoja kuelekea nyumba yake.
29 Heidän jälkeensä korjasi Saadok, Immerin poika, oman talonsa kohdalta. Ja hänen jälkeensä korjasi Semaja, Sekanjan poika, Itäportin vartija.
Baada yao Sadoki, mwana wa Imeri, alijenga sehemu hiyo kuelekea nyumba yake. Na baada yake Shemaya mwana wa Shekania, mlinzi wa lango la mashariki, akajenga.
30 Hänen jälkeensä korjasivat Hananja, Selemjan poika, ja Haanun, Saalafin kuudes poika, toisen osan; hänen jälkeensä korjasi Mesullam, Berekjan poika, yliskammionsa kohdalta.
Baada yake Hanania, mwana wa Shelemia, na Hanuni, mwana wa sita wa Salafu, wakajenga sehemu nyingine. Meshulamu mwana wa Berekia akajenga kuelekea kwenye vyumba vyake.
31 Hänen jälkeensä korjasi Malkia, yksi kultasepistä, temppelipalvelijain ja kauppiasten taloon asti, Vartiotornin kohdalta, ja aina Kulmasaliin saakka.
Baada yake Malkiya, mmoja wa wafua dhahabu, akajenga mpaka nyumba ya watumishi wa hekalu na wafanyabiashara waliokuwa wakielekea lango la gereza na mpaka chumba cha juu cha pembeni.
32 Kultasepät ja kauppiaat korjasivat muurin Kulmasalin ja Lammasportin väliltä.
Wafanyabiashara wa dhahabu na wafanyabiashara walijenga kati ya chumba cha juu cha kona na Lango la Kondoo.