< 1 Mooseksen 10 >
1 Tämä on kertomus Nooan poikien, Seemin, Haamin ja Jaafetin, suvusta. Heille syntyi poikia vedenpaisumuksen jälkeen.
Hivi ndivyo vilikuwa vizazi vya wana wa Nuhu, ambao ni, Shemu, Hamu, na Yafethi. Wana wa kiume walizaliwa kwao baada ya gharika.
2 Jaafetin pojat olivat Goomer, Maagog, Maadai, Jaavan, Tuubal, Mesek ja Tiiras.
Wana wa Yafethi walikuwa Gomeri, Magogu, Madai, Yavani, Tubali, Masheki, na Tirasi.
3 Ja Goomerin pojat olivat Askenas, Riifat ja Toogarma.
Na wana wa Gomeri walikuwa Ashikenazi, Rifathi na Togama.
4 Ja Jaavanin pojat olivat Elisa, Tarsis, kittiläiset ja doodanilaiset;
Wana wa Yavani walikuwa Elisha, Tarshishi, Kitimu, na Dodanimu.
5 heistä haarautuivat pakanoiden saarten asukkaat maittensa, eri kieltensä, heimojensa ja kansakuntiensa mukaan.
Kutoka kwa hawa watu wa pwani waligawanyika na kwenda kwenye ardhi zao, kila mtu na lugha yake, kufuatana na koo zao, kwa mataifa yao.
6 Ja Haamin pojat olivat Kuus, Misraim, Puut ja Kanaan.
Wana wa Hamu walikuwa Kushi, Misraimu, Putu, na Kanaani.
7 Ja Kuusin pojat olivat Seba, Havila, Sabta, Raema ja Sabteka. Ja Raeman pojat olivat Saba ja Dedan.
Wana wa Kushi walikuwa Seba, Havila, Sabta, Raama, na Sabteka. Wana wa Raama walikuwa Sheba na Dedani.
8 Ja Kuusille syntyi Nimrod. Hän oli ensimmäinen valtias maan päällä.
Kushi akamzaa Nimrodi, ambaye alikuwa hodari wa kwanza juu ya nchi.
9 Hän oli mahtava metsämies Herran edessä. Siitä on sananparsi: "Mahtava metsämies Herran edessä niinkuin Nimrod".
Alikuwa mwindaji mkuu mbele ya Yahwe. Hii ndiyo sababu hunenwa, “Kama Nimrod mwindaji mkuu mbele za Yahwe.”
10 Ja hänen valtakuntansa alkuna olivat Baabel, Erek, Akkad ja Kalne Sinearin maassa.
Miji ya kwanza ya ufalme wake ilikuwa Babeli, Ereku, Akadi na Kalne, katika ichi ya Shinari.
11 Siitä maasta hän lähti Assuriin ja rakensi Niiniven, Rehobot-Iirin ja Kelahin,
Kutoka katika nchi ile alikwenda Ashuru na akajenga Ninawi, Rehoboth- iri na Kala,
12 sekä Resenin Niiniven ja Kelahin välille; se on tuo suuri kaupunki.
na Raseni ambao ulikuwa kati ya Ninawi na Kala. Ulikuwa mji mkubwa.
13 Ja Misraimille syntyivät luudilaiset, anamilaiset, lehabilaiset, naftuhilaiset,
Misraimu akazaa Waludi, Waanami, Walehabi, na Wanaftuhi,
14 patrokselaiset, kasluhilaiset, joista filistealaiset ovat lähteneet, sekä kaftorilaiset.
Wapathrusi na Wakasluhi ( ambao kwao Wafilisti walitokea), na Wakaftori.
15 Ja Kanaanille syntyivät Siidon, hänen esikoisensa, ja Heet,
Kanaani akamzaa Sidono, mwanawe wa kwanza, na Hethi,
16 sekä jebusilaiset, amorilaiset, girgasilaiset,
pia na Myebusi, na Mwamori, Mgirgashi,
17 hivviläiset, arkilaiset, siiniläiset,
Mhivi, Mwarki, Msini,
18 arvadilaiset, semarilaiset ja hamatilaiset. Sittemmin hajaantuivat kanaanilaisten heimot.
Mwarvadi, Msemari, na Mhamathi. Baadaye koo za wakanaani zikasambaa.
19 Ja kanaanilaisten alue ulottui Siidonista Gerariin päin aina Gassaan asti sekä Sodomaan, Gomorraan, Admaan ja Seboimiin päin aina Lesaan asti.
Mpaka wa Wakanaani ulianzia Sidoni, katika mwelekeo wa Gerari, hata Gaza, na kama kuelekea Sodoma, Gomora, Adma, na Seboimu hata Lasha.
20 Nämä olivat Haamin pojat heimojensa, kieltensä, maittensa ja kansakuntiensa mukaan.
Hawa walikuwa wana wa Ham, kwa koo zao, kwa lugha zao, katika ardhi zao na katika mataifa yao.
21 Myöskin Seemille, Jaafetin vanhimmalle veljelle, josta tuli kaikkien Eeberin poikien kantaisä, syntyi poikia.
Pia walizaliwa wana kwa Shemu, ndugu yake mkubwa wa Yafethi. Shemu pia alikuwa baba yao na watu wote wa Eberi.
22 Seemin pojat olivat Eelam, Assur, Arpaksad, Luud ja Aram.
Wana wa Shemu walikuwa Elamu, Ashuru, Alfaksadi, Ludi, na Aramu.
23 Ja Aramin pojat olivat Uus, Huul, Geter ja Mas.
Wana wa Aramu walikuwa ni Usi, Huli, Getheri, na Mashi.
24 Arpaksadille syntyi Selah, ja Selahille syntyi Eeber.
Arfaksadi akamzaa Sela, na Sela akamzaa Eber.
25 Ja Eeberille syntyi kaksi poikaa: toisen nimi oli Peleg, sillä hänen aikanansa jakaantuivat maan asukkaat, ja hänen veljensä nimi oli Joktan.
Eberi akazaa wana wawili wa kiume. Jina la mmoja aliitwa Pelegi maana katika siku zake nchi iligawanyika. Jina la ndugu yake aliitwa Yoktani.
26 Ja Joktanille syntyi Almodad, Selef, Hasarmavet, Jerah,
Yoktani akamzaa Almodadi, Shelefu, Hasarmawethi, Yera,
27 Hadoram, Uusal, Dikla,
Hadoram, Uzali, Dikla,
29 Oofir, Havila ja Joobab. Kaikki nämä olivat Joktanin poikia.
Ofiri, Havila, na Yobabi. Hawa wote walikuwa wana wa Yoktani.
30 Ja heidän asumasijansa ulottuivat Meesasta aina Sefariin, Itävuorelle asti.
Mpaka wao ulikuwa unaanzia Mesha, hadi Sefari, mlima wa mashariki.
31 Nämä olivat Seemin pojat heimojensa, kieltensä, maittensa ja kansakuntiensa mukaan.
Hawa walikuwa wana wa Shemu, kulingana na koo zao na lugha zao, katika ardhi zao kulingana na mataifa yao.
32 Nämä olivat Nooan poikien heimot sukukuntiensa ja kansakuntiensa mukaan; ja niistä haarautuivat kansat maan päälle vedenpaisumuksen jälkeen.
Hizi zilikuwa koo za wana wa Nuhu, kulingana na vizazi vyao, kwa mataifa yao. Kutokea kwa hawa mataifa yaligawanyika na kwenda juu ya nchi baada ya gharika.