< Esran 10 >

1 Kun Esra näin rukoili ja tunnusti, itkien ja maahan langeten, Jumalan temppelin edustalla, kokoontui hänen luoksensa sangen suuri joukko Israelin miehiä, naisia ja lapsia; sillä kansakin itki katkerasti.
Wakati Ezra akiomba na kutubu, akalia na kujirusha chini mbele ya nyumba ya Mungu, kusanyiko kubwa la wanaume Israel, wanawake na watoto wakakusanyika kwake, kwa kuwa watu walikuwa wakilia sana.
2 Ja Sekanja, Jehielin poika, Eelamin jälkeläisiä, puhkesi puhumaan ja sanoi Esralle: "Me olemme olleet uskottomat Jumalaamme kohtaan, kun olemme ottaneet muukalaisia vaimoja maan kansoista. Mutta kuitenkin on Israelilla vielä toivoa.
Shekania mtoto wa Yehieli, mwana wa Elamu akamwambia Ezra, “Tumekuwa sio waaminifu kwa Mungu na tumeoa wanawake wa kigeni kutoka nchi nyingine. Lakini pamoja na hilo, bado kuna tumaini kwa Israel.
3 Niin tehkäämme nyt Jumalamme kanssa liitto, että me Herran neuvon mukaan ja niiden neuvon mukaan, jotka pelkäävät meidän Jumalamme käskyä, toimitamme pois kaikki ne vaimot ja heistä syntyneet lapset; tehtäköön lain mukaan.
sasa natuweke agano pamoja na Mungu wetu kuwaondoa wanawake wote na watoto wao kulingana na maelekezo ya Bwana, na maelekezo ya wale wanaotetemeka kutokana na amri za Mungu wetu. na hii ifanyike kutokana na sheria.
4 Nouse, sillä tämä on sinun asiasi, ja me olemme sinun kanssasi. Ole luja ja ryhdy toimeen."
Simama, jambo hili linakuhusu wewe, na sisis tuko pamoja na wewe, Uwe imara na kufanya hili.
5 Niin Esra nousi ja vannotti pappien päämiehet, leeviläiset ja kaiken Israelin tekemään näin. Ja he vannoivat.
Hivyo Ezra akasimama na kufanya makuhani na walawi na waisrael wote wakaahidi kufanya kwa njia hiyo. Hivyo wote wakatoa kiapo.
6 Niin Esra nousi Jumalan temppelin edustalta ja meni Joohananin, Eljasibin pojan, kammioon. Sinne tultuaan hän ei syönyt leipää eikä juonut vettä, sillä niin hän suri pakkosiirtolaisten uskottomuutta.
Ndipo Ezra akainuka kutoka mbele ya nyumba ya Mungu na kwenda kwenye chumba ya Yehohanani mtoto wa Eliashibu, Yeye hakula mkate au kunywa maji. Tangu alipokuwa akiomboleza kuhusiana na wale wenye imani haba waliokuwa uhamishoni.
7 Ja kaikille pakkosiirtolaisille kuulutettiin Juudassa ja Jerusalemissa, että heidän tuli kokoontua Jerusalemiin;
Hivyo wakatuma neno katika Yuda na Yerusalem kwa watu wote waliorudi kutoka utumwani kukusanyika Yerusalem.
8 ja joka ei tullut kolmen päivän kuluessa, päämiesten ja vanhinten päätöksen mukaan, sen koko omaisuus oli vihittävä tuhon omaksi ja hän itse tuleva erotetuksi pakkosiirtolaisten seurakunnasta.
Yeyote ambaye hakuja katika siku tatu kutokana na maelekezo kutoka kwa wakuu na viongozi atachukuliwa mali zote na atatengwa na kusanyiko kuu la watu ambao walikuja kutoka uhamisho.
9 Niin kaikki Juudan ja Benjaminin miehet kokoontuivat Jerusalemiin kolmanneksi päiväksi, joka oli yhdeksännen kuun kahdeskymmenes päivä. Ja kaikki kansa asettui Jumalan temppelin aukealle, vavisten sekä asian tähden että rankkasateen vuoksi.
Hivyo watu wote wa Yuda na Benjamini wakakusanyika Yerusalem kwa siku tatu. Ilikuwa ni mwezi wa tisa na siku ya ishirini ya mwezi. watu wote wakasimama mbele ya nyumba ya Mungu na wakatetemeka kwa sababu ya neno na mvua.
10 Ja pappi Esra nousi ja sanoi heille: "Te olette olleet uskottomat, kun olette ottaneet muukalaisia vaimoja, ja niin te olette lisänneet Israelin syyllisyyttä.
Ezra kuhani akasimama na kusema, “Ninyi wenyewe mmefanya uasi, ninyi mmeishi na wanawake wa kigeni na kuongeza makosa ya Israel.
11 Mutta antakaa nyt Herralle, isienne Jumalalle, kunnia ja tehkää hänen tahtonsa: eristäytykää maan kansoista ja muukalaisista vaimoista."
Lakini sasa mpeni sifa Yahwe, Mungu wa watangulizi wenu, na mfanye mapenzi yake, mjitenge na watu wa nchi na wanawake wa kigeni.
12 Niin koko seurakunta vastasi ja sanoi suurella äänellä: "Niinkuin sinä olet puhunut, niin on meidän tehtävä.
Kusanyiko lote likajibu kwa sauti. “Tutatenda kama ulivyosema,
13 Mutta kansaa on paljon, ja on sadeaika, niin ettei voida seisoa ulkona. Eikä tämä ole yhden tai kahden päivän toimitus, sillä me olemme paljon siinä asiassa rikkoneet.
haijalishi, kuna watu wengi na ni kipindi cha mvua. Hatuna nguvu ya kusimama nje na hii si siku moja au mbili za kufanya kazi, kwa kuwa tumekosea katika jambo hili.
14 Käykööt meidän päämiehemme esiin koko seurakunnan puolesta, ja kaikki, jotka kaupungeissamme ovat ottaneet muukalaisia vaimoja, tulkoot tänne määrättyinä aikoina ja heidän kanssansa kunkin kaupungin vanhimmat ja tuomarit, kunnes meistä on käännetty pois Jumalan viha, joka on syttynyt tämän asian tähden."
Hivyo wakuu wetu wawakilishe kusanyiko lote, iwe kwamba wote walioruhusu wanawake wa kigeni kuishi katika miji yetu waje katika muda uliopangwa na viongozi wa mji na waamuzi wa mji hadi hapo hasira ya Mungu itakapoondoka kutoka kwetu.
15 Ainoastaan Joonatan, Asaelin poika, ja Jahseja, Tikvan poika, nousivat tätä vastustamaan, ja Mesullam ja leeviläinen Sabbetai kannattivat heitä.
Yonathan mtoto Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa wakapinga hili, Meshulamu na Shabethai mlawi wakawaunga mkono wao.
16 Mutta pakkosiirtolaiset tekivät näin, ja valittiin pappi Esra sekä miehiä, perhekunta-päämiehiä, perhekuntien mukaan, kaikki nimeltään mainittuja. Kymmenennen kuun ensimmäisenä päivänä he istuivat tutkimaan asiaa,
Hivyo watu waliotoka uhamishoni wakafanya hivi, Ezra kuhani akachagua wanaume, viongozi watamgulizi wa ukoo na nyumba, wao wote kwa majina na wakaliangalia suala hili siku ya kwanza ya mwezi wa kumi.
17 ja ensimmäisen kuun ensimmäiseen päivään he olivat selvillä kaikista miehistä, jotka olivat ottaneet muukalaisia vaimoja.
Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza wakawa wamemaliza kuchunguza wale wanaume walioishi na wanawake wa kigeni.
18 Pappien poikia, jotka olivat ottaneet muukalaisia vaimoja, havaittiin olevan: Jeesuan, Joosadakin pojan, jälkeläisiä ja hänen veljiään: Maaseja, Elieser, Jaarib ja Gedalja,
Miongoni mwa wana wa kikuhani kuna wale walioishi na wanawake wa kigeni. Miongoni mwa wana wa Yoshua mtoto wa Yosadaki na kaka zake ambao walikuwa Maasela, Eliazeri, na Yaribu na Gedalia.
19 jotka kättä lyöden lupasivat toimittaa pois vaimonsa ja syyllisinä uhrata oinaan syyllisyytensä sovittamiseksi;
Hivyo wakaamua kuwaondoa wake zao. kwa kuwa walikuwa na makosa, wakatoa sadaka ya kondoo kwenye mifugo kwa ajili ya makosa yao.
20 Immerin jälkeläisiä Hanani ja Sebadja;
Miongoni mwa wana wa Imeri, Hanani, na Zebadia.
21 Haarimin jälkeläisiä Maaseja, Elia, Semaja, Jehiel ja Ussia;
Miongoni mwa wana wa Harimu, Maaseya, na Eliya na Shemaya, na Yehieli na Uzia.
22 Pashurin jälkeläisiä Eljoenai, Maaseja, Ismael, Netanel, Joosabad ja Elasa.
Miongoni mwa wana wa Pashuri, Elasa
23 Leeviläisiä: Joosabad, Siimei, Kelaja, se on Kelita, Petahja, Juuda ja Elieser.
Miongoni mwa walawi: Yozabadi na Shimei na Kelaya (ndiye Kelita) na Pethaia, na Yuda na Eliezeri. Miongoni mwa waimbaji Eliashibu na. Miongoni mwa walinzi Shalumu, Telemu na Uri.
24 Veisaajia: Eljasib. Ovenvartijoita: Sallum, Telem ja Uuri.
Miongoni mwa Israel waliobaki -
25 Israelilaisia: Paroksen jälkeläisiä Ramja, Jissia, Malkia, Miijamin, Elasar, Malkia ja Benaja;
Miongoni mwa wana wa Paroshi, Ramia na Izia na Malkiya na Miyamini na Eliazari na Malkiya na Benaya
26 Eelamin jälkeläisiä Mattanja, Sakarja, Jehiel, Abdi, Jeremot ja Elia;
Miongoni mwa wana wa Elamu Mataniana Zekaria, na yeehieli, na Abdi na Yeremothi na Eliya.
27 Sattun jälkeläisiä Eljoenai, Eljasib, Mattanja, Jeremot, Saabad ja Asisa;
Miongoni mwa wana wa Zatu: Elionai, na Eliashibu, na Matania na Yeremothi na Zabadi na Aziza.
28 Beebain jälkeläisiä Joohanan, Hananja, Sabbai ja Atlai;
Miongoni mwa wana wa Bebai Yehohanani, na Hanania na Zakai na Athlai.
29 Baanin jälkeläisiä Mesullam, Malluk, Adaja, Jaasub, Seal ja Jeramot;
Miongoni mwa wana wa bani: Meshulami na Maluki, na Adaya na Yashubu na Sheali na Yeremothi.
30 Pahat-Mooabin jälkeläisiä Adna, Kelal, Benaja, Maaseja, Mattanja, Besalel, Binnui ja Manasse;
Miongoni mwa wana wa Pahath-Moabu, Adna, na kelali, na Benaya na Maaseya, na Matania, na Besaleli na Binti na Manase.
31 Haarimin jälkeläisiä Elieser, Jissia, Malkia, Semaja, Simeon,
Na miongoni mwa wana wa Harimu: Eliezeri na Ishiya, na Malkiya na Shemaya na Shimeoni, na
32 Benjamin, Malluk ja Semarja;
Benyamini na Maluki na Shemaria
33 Haasumin jälkeläisiä Mattenai, Mattatta, Saabad, Elifelet, Jeremai, Manasse ja Siimei;
Miongoni mwa wana Hashumu: Matenai, na Matatana Zabadi, na Elifereti na Yeremai, na Manase, na Shimei.
34 Baanin jälkeläisiä Maadai, Amram, Uuel,
Miongoni mwa wana wa Bani: Maadai, na Amramu na Aueli, na
35 Benaja, Beedja, Keluhu,
Benaya, na Bedeya na Keluhi, na
36 Vanja, Meremot, Eljasib,
wania, na Meremothi, Eliashibu,
37 Mattanja, Mattenai, Jaasai,
Matania, na Matenai. na
38 Baani, Binnui, Siimei,
Yaasi. Miongoni mwa wana wa Binui: Shimei,
39 Selemja, Naatan, Adaja,
Sheremia, na Nathani, na Adaya, na
40 Maknadbai, Saasai, Saarai,
Maknadebai, na Shashai, na Sharai
41 Asarel, Selemja, Semarja,
Azareri, na Sheremia, na Shemaria, na
42 Sallum, Amarja ja Joosef;
Shalumu, na Amaria, na Yusufu.
43 Nebon jälkeläisiä Jegiel, Mattitja, Saabad, Sebina, Jaddai, Jooel ja Benaja.
Miongoni wa wana wa Nebo: Yeieli, na Mathiana zabadi, na Zebina, na Ido, na Yoeli na Benaya.
44 Nämä kaikki olivat ottaneet muukalaisia vaimoja; ja osa näistä vaimoista oli synnyttänyt lapsia.
Hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni na walikuwa wamezaa watoto baadhi yao.

< Esran 10 >