< Hesekielin 32 >
1 Kahdentenatoista vuotena, kahdennessatoista kuussa, kuukauden ensimmäisenä päivänä tuli minulle tämä Herran sana:
Katika mwaka wa kumi na mbili, mwezi wa kumi na mbili, siku ya kwanza ya mwezi, neno la Bwana likanijia, kusema:
2 "Ihmislapsi, viritä itkuvirsi faraosta, Egyptin kuninkaasta, ja sano hänelle: Nuori leijona kansojen seassa, sinä olet hukassa! Sinä olit kuin krokodiili virroissa: sinä kuohutit virtojasi, sotkit vettä jaloillasi ja hämmensit sen virtoja.
“Mwanadamu, fanya maombolezo kwa ajili ya Farao mfalme wa Misri na umwambie: “‘Wewe ni kama simba miongoni mwa mataifa, wewe ni kama joka kubwa baharini, unayevuruga maji kwa miguu yako na kuchafua vijito.
3 Näin sanoo Herra, Herra: Minä levitytän verkkoni sinun ylitsesi monien kansojen suurella joukolla, ja ne vetävät sinut ylös minun pyydykselläni.
“‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Nikiwa pamoja na wingi mkubwa wa watu nitautupa wavu wangu juu yako, nao watakukokota katika wavu wangu.
4 Minä viskaan sinut maalle, heitän sinut kedolle, panen asustamaan sinun ylläsi kaikki taivaan linnut ja syötän sinusta kylläisiksi kaiken maan eläimet.
Nitakutupa nchi kavu na kukuvurumisha uwanjani. Nitawafanya ndege wote wa angani watue juu yako na wanyama wote wa nchi watajishibisha nyama yako.
5 Minä jätän sinun lihasi vuorten hyviksi ja täytän raatokasallasi laaksot,
Nitatawanya nyama yako juu ya milima na kujaza mabonde kwa mabaki yako.
6 juotan maan sillä, mikä sinusta valuu, sinun verelläsi aina vuorille asti, ja purojen uomat tulevat sinusta täyteen.
Nitailowanisha nchi kwa damu yako inayotiririka njia yote hadi milimani, nayo mabonde yatajazwa na nyama yako.
7 Minä peitän taivaan, kun sinut sammutan, ja puen mustiin sen tähdet; auringon minä peitän pilviin, eikä kuu anna valonsa loistaa.
Nitakapokuzimisha, nitafunika mbingu na kuzitia nyota zake giza; nitalifunika jua kwa wingu, nao mwezi hautatoa nuru yake.
8 Kaikki taivaan loistavat valot minä puen mustiin sinun tähtesi ja peitän sinun maasi pimeyteen, sanoo Herra, Herra.
Mianga yote itoayo nuru angani nitaitia giza juu yako; nitaleta giza juu ya nchi yako, asema Bwana Mwenyezi.
9 Minä murehdutan monien kansain sydämet, kun saatan tiedoksi sinun perikatosi kansakunnille, maihin, joita sinä et tuntenut;
Nitaifadhaisha mioyo ya mataifa mengi nitakapokuangamiza miongoni mwa mataifa, nikikuleta uhamishoni miongoni mwa nchi ambazo haujapata kuzijua.
10 ja minä tyrmistytän sinun tähtesi monet kansat, ja heidän kuninkaansa kovin värisevät sinun tähtesi, kun minä heilutan miekkaani heidän nähtensä, ja he vapisevat joka hetki kukin omaa henkeänsä sinun kukistumisesi päivänä.
Nitayafanya mataifa mengi wakustaajabie, wafalme wao watatetemeka kwa hofu kwa ajili yako nitakapotikisa upanga wangu mbele yao. Siku ya anguko lako kila mmoja wao atatetemeka kila dakika kwa ajili ya maisha yake.
11 Sillä näin sanoo Herra, Herra: Baabelin kuninkaan miekka yllättää sinut.
“‘Kwa kuwa hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: “‘Upanga wa mfalme wa Babeli utakuja dhidi yako.
12 Minä kaadan sinun meluisan joukkosi sankarien miekoilla; ne ovat julmimpia pakanoista kaikki tyynni. He kukistavat Egyptin komeuden, kaikki sen meluisa joukko tuhotaan.
Nitafanya makundi yako ya wajeuri kuanguka kwa panga za watu mashujaa, taifa katili kuliko mataifa yote. Watakivunjavunja kiburi cha Misri, nayo makundi yake yote ya wajeuri yatashindwa.
13 Ja minä hävitän siitä kaiken karjan runsasten vetten ääriltä. Eikä niitä enää sotke ihmisen jalka, eivätkä sotke niitä karjan sorkat.
Nitaangamiza mifugo yake yote wanaojilisha kando ya maji mengi, hayatavurugwa tena kwa mguu wa mwanadamu wala kwato za mnyama hazitayachafua tena.
14 Silloin minä annan sen vetten laskeutua kirkkaiksi, ja minä panen sen virrat juoksemaan kuin öljyn, sanoo Herra, Herra.
Kisha nitafanya maji yake yatulie na kufanya vijito vyake vitiririke kama mafuta, asema Bwana Mwenyezi.
15 Kun minä teen Egyptin maan autioksi, kun maa tulee autioksi kaikesta, mitä siinä on, ja kun minä surmaan kaikki sen asukkaat, tulevat he tietämään, että minä olen Herra.
Nitakapoifanya Misri kuwa ukiwa na kuiondolea nchi kila kitu kilichomo ndani yake, nitakapowapiga wote waishio humo, ndipo watakapojua kuwa Mimi ndimi Bwana.’
16 Itkuvirsi tämä on, ja sitä kyllä viritetään. Pakanakansain tyttäret sitä virittävät-virittävät sitä Egyptistä ja kaikesta sen meluisasta joukosta, sanoo Herra, Herra."
“Hili ndilo ombolezo watakalomwimbia. Binti za mataifa wataliimba, kwa kuwa Misri na makundi yake yote ya wajeuri wataliimba, asema Bwana Mwenyezi.”
17 Kahdentenatoista vuotena, kuukauden viidentenätoista päivänä tuli minulle tämä Herran sana:
Katika mwaka wa kumi na mbili, mwezi wa kwanza, siku ya kumi na tano ya mwezi, neno la Bwana likanijia kusema:
18 "Ihmislapsi, veisaa kuolinvalitus Egyptin meluisasta joukosta, saata se ja mahtavain pakanakansojen tyttäret alas maan syvyyksiin, hautaanvaipuneitten pariin.
“Mwanadamu, omboleza kwa ajili ya makundi ya wajeuri wa Misri na uwatupe kuzimu yeye na binti za mataifa yenye nguvu, waende huko pamoja nao washukao shimoni. ()
19 Oletko vielä kaikkia muita ihanampi? Astu alas ja anna laittaa makuusijasi ympärileikkaamattomien pariin.
Je, ninyi mnamzidi nani kwa uzuri? Shukeni chini! Nanyi mkalazwe pamoja na hao wasiotahiriwa!
20 He kaatuvat miekallasurmattujen joukkoon. Miekka on jo annettu! Temmatkaa pois Egypti kaikkine meluisine joukkoineen.
Wataanguka miongoni mwa wale waliouawa kwa upanga. Upanga umefutwa, mwache aburutwe mbali pamoja na hao wajeuri wake wote.
21 Mahtavimmat sankareista puhuvat tuonelan keskeltä sille ynnä sen auttajille: 'Alas ovat astuneet, siellä makaavat ympärileikkaamattomat, miekalla surmatut'. (Sheol )
Kutoka kuzimu viongozi hodari watanena kuhusu Misri pamoja na wale walioungana nao, ‘Wameshuka chini, nao wamelala kimya pamoja na hao wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.’ (Sheol )
22 Siellä on Assur kaikkine joukkoinensa. Niitten haudat ovat hänen ympärillänsä. Kaikki tyynni ovat surmattuja, miekkaan kaatuneita.
“Ashuru yuko huko pamoja na jeshi lake lote, amezungukwa na makaburi ya watu wake wote waliouawa, wale wote walioanguka kwa upanga.
23 Hänen hautansa ovat pohjimmaisessa kuopassa, ja hänen joukkonsa on hänen hautansa ympärillä; ne ovat kaikki tyynni surmattuja, miekkaan kaatuneita, nuo, jotka levittivät kauhua elävien maassa.
Makaburi yao yako kwenye kina cha chini cha shimo na jeshi lake limelala kulizunguka kaburi lake. Wote waliokuwa wameeneza hofu kuu katika nchi ya walio hai wameuawa, wameanguka kwa upanga.
24 Siellä on Eelam, ja koko hänen meluisa joukkonsa on hänen hautansa ympärillä; kaikki tyynni surmattuja, miekkaan kaatuneita, jotka ympärileikkaamattomina astuivat alas maan syvyyksiin, nuo, jotka levittivät kauhuansa elävien maassa, mutta saavat kantaa häpeänsä hautaanvaipuneitten parissa.
“Elamu yuko huko, pamoja na makundi yake yote ya wajeuri wakiwa wamelizunguka kaburi lake. Wote wameuawa, wameanguka kwa upanga. Wote waliokuwa wameeneza hofu katika nchi ya walio hai walishuka kuzimu bila kutahiriwa. Wanaichukua aibu yao pamoja na wale washukao shimoni. ()
25 Surmattujen keskellä on makuusija annettu hänelle ynnä kaikelle hänen meluisalle joukolleen. Niitten haudat ovat hänen ympärillänsä. Kaikki tyynni ne ovat ympärileikkaamattomia, miekalla surmattuja, sillä he olivat kauhuna elävien maassa, mutta saavat kantaa häpeänsä hautaanvaipuneitten parissa. Surmattujen keskelle on hänet pantu.
Kitanda kimetandikwa kwa ajili yake miongoni mwa waliouawa, pamoja na makundi yake yote ya wajeuri wakiwa wamelizunguka kaburi lake. Wote ni watu wasiotahiriwa, wameuawa kwa upanga. Kwa sababu vitisho vyao vilienea katika nchi ya walio hai, wameichukua aibu yao pamoja na wale washukao shimoni, nao wamewekwa miongoni mwa waliouawa.
26 Siellä on Mesek-Tuubal kaikkine meluisine joukkoineen. Niitten haudat ovat hänen ympärillänsä; ne ovat kaikki tyynni ympärileikkaamattomia, miekalla surmattuja, sillä ne levittivät kauhuansa elävien maassa.
“Mesheki na Tubali wako humo, pamoja na makundi yao ya wajeuri wakiwa wameyazunguka makaburi yao. Wote hawakutahiriwa, wameuawa kwa upanga kwa sababu walieneza vitisho vyao katika nchi ya walio hai.
27 He eivät makaa sankarien parissa, jotka ovat kaatuneet ympärileikkaamattomien joukosta, jotka ovat astuneet alas tuonelaan sota-aseinensa, joitten pään alle on pantu heidän miekkansa ja joitten luiden yllä on heidän syntivelkansa, sillä sankarien kauhu oli elävien maassa. (Sheol )
Je, hawakulala na mashujaa wengine wasiotahiriwa waliouawa, ambao wameshuka kaburini wakiwa na silaha zao za vita, ambao panga zao ziliwekwa chini ya vichwa vyao na uovu wao juu ya mifupa yao? Adhabu kwa ajili ya dhambi zao ilikuwa juu ya mifupa yao, ingawa vitisho vya mashujaa hawa vilikuwa vimeenea hadi kwenye nchi ya walio hai. (Sheol )
28 Sinutkin muserretaan ympärileikkaamattomien joukossa, ja sinä saat maata miekallasurmattujen parissa.
“Wewe pia, ee Farao, utavunjwa nawe utalala miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga.
29 Siellä on Edom, sen kuninkaat ja kaikki sen ruhtinaat, jotka sankaruudessaan pantiin miekallasurmattujen pariin. He makaavat ympärileikkaamattomien ja hautaanvaipuneitten parissa.
“Edomu yuko humo, wafalme wake wote na wakuu wake wote, ambao ijapokuwa wana nguvu, wamelazwa pamoja na wale waliouawa kwa upanga. Wamelala pamoja na wasiotahiriwa, pamoja na wale washukao shimoni.
30 Siellä ovat kaikki pohjoisen maan ruhtinaat ja kaikki siidonilaiset, jotka ovat astuneet surmattujen pariin kauhistavaisuudessaan, ovat tulleet häpeään sankaruudessaan ja makaavat ympärileikkaamattomina miekallasurmattujen parissa ja saavat kantaa häpeänsä hautaanvaipuneitten parissa. -
“Wakuu wote wa kaskazini na Wasidoni wote wako huko, wameshuka chini pamoja na waliouawa kwa aibu ijapokuwa kuna vitisho vilivyosababishwa na nguvu zao. Wamelala bila kutahiriwa pamoja na wale waliouawa kwa upanga na kuchukua aibu yao pamoja na wale washukao chini shimoni.
31 Ne on farao näkevä ja tuleva lohdutetuksi kaikesta meluisasta joukostansa. Miekalla on surmattu farao kaikkine sotaväkineen, sanoo Herra, Herra.
“Farao, yeye pamoja na jeshi lake lote, atakapowaona atafarijiwa kwa ajili ya makundi yake yote ya wajeuri, wale waliouawa kwa upanga, asema Bwana Mwenyezi.
32 Sillä minä levitin hänen kauhuansa elävien maassa, mutta faraolle ynnä kaikelle hänen meluisalle joukolleen laitetaan makuusija ympärileikkaamattomien sekaan, miekallasurmattujen pariin, sanoo Herra, Herra."
Ingawa nilimfanya Farao aeneze vitisho vyake katika nchi ya walio hai, Farao pamoja na makundi yake yote ya wajeuri watalazwa miongoni mwa wasiotahiriwa, pamoja na wale waliouawa kwa upanga, asema Bwana Mwenyezi.”