< Efesolaisille 3 >

1 Sen takia minä, Paavali, teidän, pakanain, tähden Kristuksen Jeesuksen vanki, notkistan polveni-
Kwa sababu ya hii mimi, Paulo, ni mfungwa wa Yesu Kristo kwa ajili yenu Mataifa.
2 olette kaiketi kuulleet siitä Jumalan armon taloudenhoidosta, mikä on minulle teitä varten annettu,
Na amini ya kwamba mmesikia juu ya kazi ya neema ya Mungu aliyo nipa kwa ajili yenu.
3 että näet tämä salaisuus on ilmestyksen kautta tehty minulle tiettäväksi, niinkuin olen siitä edellä lyhyesti kirjoittanut;
Nawaandikieni kutokana na jinsi ufunuo ulivyo funuliwa kwangu. Huu ni ukweli uliyofichika ambao niliandika kwa kifupi kwenye barua nyingine.
4 josta te sitä lukiessanne voitte huomata, kuinka perehtynyt minä olen Kristuksen salaisuuteen,
Usomapo kuhusu haya, utaweza kutambua busara yangu katika ukweli huu uliofichika kuhusu Kristo.
5 jota menneiden sukupolvien aikana ei ole ihmisten lapsille tiettäväksi tehty, niinkuin se nyt Hengessä on ilmoitettu hänen pyhille apostoleilleen ja profeetoille:
Kwa vizazi vingine ukweli huu haukufanywa utambulike kwa wana wa watu. Ila kwa sasa umewekwa wazi kwa Roho kwa Mitume waliotengwa na Manabii.
6 että näet pakanatkin ovat kanssaperillisiä ja yhtä ruumista ja osallisia lupaukseen Kristuksessa Jeesuksessa evankeliumin kautta,
Ukweli huu uliofichika ni kwamba watu wa Mataifa ni washiriki wenzetu na wajumbe wenzetu wa mwili. Niwashiriki pamoja na ahadi ya Kristo Yesu kupitia injili.
7 jonka palvelijaksi minä olen tullut Jumalan armon lahjan kautta, joka minulle on annettu hänen voimansa vaikutuksesta.
Na kwa hili nimefanyika mtumishi kwa zawadi ya neema ya Mungu iliyotolewa kwangu kupitia utendaji wa nguvu yake.
8 Minulle, kaikista pyhistä halvimmalle, on annettu tämä armo: julistaa pakanoille evankeliumia Kristuksen tutkimattomasta rikkaudesta
Mungu alitoa zawadi hii kwangu, japo kuwa mimi ni mtu mdogo wa wote katika wale waliotengwa kwa ajili ya Mungu. Zawadi hii ni kwamba inanipasa kuwatangazia mataifa injili yenye utajiri usiochunguzika wa Kristo.
9 ja saattaa kaikille ilmeiseksi, mitä on sen salaisuuden taloudenhoito, joka ikuisista ajoista asti on ollut kätkettynä Jumalassa, kaiken Luojassa, (aiōn g165)
inanipasa kuwaangazia watu wote juu ya nini ni mpango wa Mungu wa siri. Huu ni mpango ambao ulikuwa umefichwa kwa miaka mingi iliyopita, na Mungu ambaye aliviumba vitu vyote. (aiōn g165)
10 että Jumalan moninainen viisaus seurakunnan kautta nyt tulisi taivaallisten hallitusten ja valtojen tietoon
Hii ilikuwa kwamba, kupitia Kanisa, watawala na mamlaka katika sehemu za mbingu wapate kujua pande nyingi za asili ya hekima ya Mungu.
11 sen iankaikkisen aivoituksen mukaisesti, jonka hän oli säätänyt Kristuksessa Jeesuksessa, meidän Herrassamme, (aiōn g165)
Haya yangetokea kupitia mpango wa milele ambao aliukamilisha ndani ya Kristo Yesu Bwana wetu. (aiōn g165)
12 jossa meillä, uskon kautta häneen, on uskallus ja luottavainen pääsy Jumalan tykö.
Kwa kuwa katika Kristo tuna ujasiri na uwezo wa kuingia kwa ujasiri kwa sababu ya imani yetu kwake.
13 Siksi minä pyydän, ettette lannistuisi niiden ahdistusten vuoksi, joita minä teidän tähtenne kärsin, sillä ne ovat teidän kunnianne.
Kwa hiyo nawaomba msikate tamaa kwasababu ya mateso yangu kwa ajili yenu. Haya ni utukufu wenu.
14 Sentähden minä notkistan polveni Isän edessä,
Kwa sababu hii napiga magoti kwa Baba.
15 josta kaikki, millä isä on, taivaissa ja maan päällä, saa nimensä,
ambaye kwa yeye kila familia mbinguni na juu ya nchi imeitwa jina.
16 että hän kirkkautensa runsauden mukaisesti antaisi teidän, sisällisen ihmisenne puolesta, voimassa vahvistua hänen Henkensä kautta
Ninaomba kwamba apate kuwanemesha, kutokana na utajiri wa utukufu wake, awafanye imara kwa nguvu kupitia Roho wake, ambaye yu ndani yenu.
17 ja Kristuksen asua uskon kautta teidän sydämissänne,
Ninaomba kwamba Kristo aishi ndani ya mioyo yenu kupitia imani.
18 niin että te, rakkauteen juurtuneina ja perustuneina, voisitte kaikkien pyhien kanssa käsittää, mikä leveys ja pituus ja korkeus ja syvyys on,
Ninaomba kwamba muwe na shina na msingi wa upendo wake. Muwe katika pendo lake ili muweze kuelewa, pamoja na wote waaminio, jinsi upana, na urefu na kimo na kina cha upendo wa Kristo.
19 ja oppia tuntemaan Kristuksen rakkauden, joka on kaikkea tietoa ylempänä; että tulisitte täyteen Jumalan kaikkea täyteyttä.
Ninaomba Kwamba mjue ukuu wa upendo wa Kristo, ambao unazidi ufahamu. Mfanye haya ili mjazwe na ukamilifu wote wa Mungu.
20 Mutta hänelle, joka voi tehdä enemmän, monin verroin enemmän kuin kaikki, mitä me anomme tai ymmärrämme, sen voiman mukaan, joka meissä vaikuttaa,
Na sasa kwake yeye awezaye kufanya kila jambo, zaidi ya yote tuyaombayo au tuyawazayo, kupitia nguvu yake itendayo kazi ndani yetu,
21 hänelle kunnia seurakunnassa ja Kristuksessa Jeesuksessa kautta kaikkien sukupolvien, aina ja iankaikkisesti! Amen. (aiōn g165)
kwake yeye kuwe utukufu ndani ya kanisa na katika Kristo Yesu kwa vizazi vyote milele na milele. Amina. (aiōn g165)

< Efesolaisille 3 >