< Aamoksen 7 >
1 Tämän näytti minulle Herra, Herra: Katso, hän loi heinäsirkkoja, kun äpäreheinä alkoi nousta; ja katso, se oli äpäreheinä kuninkaan niitosten jälkeen.
Hivi ndivyo ambavyo Bwana Yahwe alivyonionyesha. Tazama, aliumba kundi kubwa la nzige wakati wa kuchipuka kwa mmea, na, tazama, ulikuwa ni mmea wa mwisho baada ya mavuno ya mfalme.
2 Ja kun ne olivat syöneet loppuun maan kasvit, sanoin minä: "Herra, Herra, anna anteeksi. Kuinka voi Jaakob pysyä, sillä hän on vähäinen?"
Wakati walipomaliza kula mbogamboga za nchi, kisha nikasema, “Bwana Yahwe, tafadhali nisamehe; Je Yakobo ataishije? kwa kuwa yeye ni mdogo sana.”
3 Niin Herra katui sitä. "Ei se ole tapahtuva", sanoi Herra.
Yahwe akapunguza hasira kuhusu hili. “Haitatokea,” akasema.
4 Tämän näytti minulle Herra, Herra: Katso, Herra, Herra kutsui tulen toimittamaan tuomiota, ja se kulutti suuren syvyyden, ja se kulutti peltomaan.
Hivi ndivyo ambavyo Bwana Yahwe alivyonionyesha: Tazama, Bwana Yahwe aliita juu ya moto kuhukumu. Nao ukakausha sana, kilindi chini ya dunia na kutaka kuitekeza nchi, pia.
5 Niin minä sanoin: "Herra, Herra, lakkaa jo. Kuinka voi Jaakob pysyä, sillä hän on vähäinen?"
Lakini nikasema, “Bwana Yahwe, acha tafadhali; Yakobo ataishije? Kwa kuwa yeye ni mdigo sana.”
6 Niin Herra katui sitä. "Ei sekään ole tapahtuva", sanoi Herra, Herra.
Yahwe akagairi kuhusiana na hili, “Hili halitajitokeza pia,” asema Bwana Yahwe.
7 Tämän hän näytti minulle: Katso, Herra seisoi pystysuoralla muurilla, kädessänsä luotilanka.
Hivi ndivyo ambavyo Yahwe alivyo nionyesha: Tazama, Bwana amesimama karibu na ukuta, pamoja na uzi wa timiza kwenye mkono wake.
8 Ja Herra sanoi minulle: "Mitä sinä näet, Aamos?" Minä vastasin: "Luotilangan". Ja Herra sanoi minulle: "Katso, minä olen laskenut luotilangan kansani Israelin keskelle. Minä en enää mene säästäen sen ohitse,
Yahwe akanambia, “Amosi, unaona nini?” nikasema, “Uzi wa timazi.” Kisha Bwana akasema, “Tazama, nitaweka uzi wa timazi miongoni mwa watu wangu Israeli. Sintowaharibu tena.
9 vaan Iisakin uhrikukkulat tulevat autioiksi ja Israelin pyhäköt raunioiksi. Ja minä nousen ja nostan miekan Jerobeamin sukua vastaan."
Mahala pa juu pa Isaka pataharibiwa, patakatifu pa Israeli pataangamia, na nitainuka juu ya nyumba ya Yeroboamu kwa upanga.”
10 Silloin Amasja, Beetelin pappi, lähetti Jerobeamille, Israelin kuninkaalle, tämän sanan: "Aamos on tehnyt salaliiton sinua vastaan Israelin heimon keskuudessa. Ei maa kestä kaikkea, mitä hän puhuu.
Kisha Amazia, yule kuhani wa Betheli, akatuma ujumbe kwa Yeroboamu, mfalme wa Israeli: “amosi amefanya njama dhidi yako katikati ya nyumba ya Israeli. Nchi haiwezi kubeba maneno yote haya.
11 Sillä näin on Aamos sanonut: 'Jerobeam kuolee miekkaan, ja Israel viedään pakkosiirtolaisuuteen, pois omasta maastansa'."
Kwa kuwa hivi ndivyo asemavyo Amosi, 'Yeroboamu atakufa kwa upanga, na hakika Israeli itakwenda utumwani kutoka nchi yake.”'
12 Ja Amasja sanoi Aamokselle: "Sinä näkijä, mene matkaasi ja pakene Juudan maahan, syö leipäsi siellä ja ennusta siellä.
Amazia akamwambia Amosi, “Mwonaji, nenda, kimbia irudie nchi ya Yuda, na hapo ule mkate na kutabiri.
13 Mutta Beetelissä älä ennusta enää, sillä se on kuninkaan pyhäkkö ja valtakunnan temppeli."
Lakini usitabiri tena hapa katika Betheli, kwa kuwa ni patakatifu pa mfalme na nyumba ya kifalme.”
14 Niin Aamos vastasi ja sanoi Amasjalle: "En minä ole profeetta enkä profeetanoppilas, vaan minä olen paimen ja metsäviikunapuiden viljelijä.
Kisha Amosi akamwambia Amazia, “Mimi sio nabii wala mwana wa nabii. Mimi ni mchungaji wa mifugo, na mtunza mikuyu.
15 Ja Herra otti minut laumojeni äärestä, ja Herra sanoi minulle: 'Mene ja ennusta minun kansaani Israelia vastaan'.
Lakini Yahwe akanichukua kutoka kuchunga mifugo na kunambia, 'Nenda, katabiri kwa watu wangu Israeli.'
16 Kuule siis nyt Herran sana: Sinä sanot: 'Älä ennusta Israelia vastaan, äläkä saarnaa Iisakin heimoa vastaan'.
Sasa sikia neno la Yahwe. Wewe usemaye, 'Usitabiri juu ya Israeli, na usiongee juu ya nyumba ya Isaka.
17 Sentähden, näin sanoo Herra: Sinun vaimosi joutuu portoksi kaupungissa, sinun poikasi ja tyttäresi kaatuvat miekkaan, sinun maasi jaetaan mittanuoralla, sinä itse kuolet saastaisessa maassa, ja Israel viedään pakkosiirtolaisuuteen, pois omasta maastansa."
Kwa hiyo hivi ndivyo Yahwe asemavyo, 'Mke wako atakuwa kahaba katika mji; wana wako waume na binti zako wataanguka kwa upanga; nchi yako itapimwa na kugawanywa; utakufa katika nchi najisi, na Israeli hakika itakwenda utumwani kutoka nchi yake.”'