< Aamoksen 6 >
1 Voi suruttomia Siionissa, huolettomia Samarian vuorella, kansoista ensimmäisen ylimyksiä, joiden tykö Israelin heimo tulee!
Ole wao wanaostarehe katika Sayuni, na kwa wale ambao wameokoka katika nchi ya mlima wa Samaria, watu mashuhuri bora wa mataifa, ambao nyumba ya Israeli huja kwa ajili ya msaada!
2 Menkää Kalneen ja katsokaa, sieltä kulkekaa Suureen Hamatiin ja käykää filistealaisten Gatiin: ovatko ne paremmat kuin nämä valtakunnat, onko niiden alue suurempi kuin teidän alueenne?
Viongozi wenu husema, “Pita kwenda Kalne na mkatazame; kutoka huko nendeni hadi Hamathi, mji mkubwa; kisha nendeni chini hata Gathi ya Wapelestina. Je ni wabora kuliko falme zenu mbili? Je kuna mpaka mkubwa kuliko mpaka wenu?”
3 Voi teitä, jotka lykkäätte kauas pahan päivän, mutta vedätte luoksenne väkivallan, valtaistuimelle istumaan;
Ole wao wale waiwekao siku ya majanga na kufanya ufalme kuwa kinyume kusogea karibu.
4 jotka makaatte norsunluusohvilla ja venytte leposijoillanne, syötte karitsoita laumasta ja vasikoita navetasta;
Wamelala juu ya vitanda vya pembe na kupumzika juu ya viti vyao. Wakala wana kondoo kutoka kwenye kundi na ndama kutoka kwenye zizi.
5 jotka sepustatte lauluja harpulla säestäen ja sommittelette soittimia kuin mikäkin Daavid;
Wanaimba nyimbo za kijinga kwenye muziki wa kinubi; wanatunga kwenye vyombo kama vya Daudi.
6 jotka juotte viiniä maljoista ja voitelette itsenne parhaalla öljyllä, mutta ette murehdi Joosefin sortumista!
Wanakunywa mvinyo kutoka kwenye bakuli na kujipaka mafuta wenyewe kwa mafuta ya marahamu, lakini hawahuzuniki juu ya mateso ya Yusufu.
7 Sentähden heidän nyt täytyy mennä pakkosiirtolaisuuteen pakkosiirtolaisten etunenässä. Silloin lakkaavat venyjäin ilohuudot.
Hivyo sasa watakwenda utumwani pamoja na watumwa wakwanza, na kelele za hao waliojinyoosha zitapita.
8 Herra, Herra on vannonut itse kauttansa, sanoo Herra, Jumala Sebaot: Jaakobin ylpeys on minulle kauhistus, minä vihaan hänen palatsejansa, ja minä jätän alttiiksi kaupungin kaikkinensa.
“Mimi Bwana Yahwe, nimeapa kwa nafsi yangu -hivi ndivyo Bwana Yahwe asemavyo, Mungu wa majeshi, naizira fahari ya Yakobo; nachukia boma zake. Kwa hiyo nitautoa huo mji pamoja vyote vilivyomo humo.”
9 Ja jos silloin kymmenen miestä jää jäljelle yhteen taloon, niin he kuolevat.
Itakuja kuhusu kwamba kama kuna wanaume kumi waliobakia kwenye nyumba moja, watakufa.
10 Ja jos kuolleen korjaa hänen omaisensa ja polttajansa, viedäkseen luut pois talosta, ja jos hän kysyy joltakin, joka on talon perimmäisessä sopessa: "Onko sinun tykönäsi vielä ketään?" niin tämä vastaa: "Ei ole", ja toinen sanoo: "Hiljaa!" -sillä Herran nimeä ei saa mainita.
Wakati ndugu wa mtu huyo atakapokuja kuchukua miili yao-yule ambaye awachomaye baada ya kuleta maiti katika nyumba-kama akisema kwa mtu katika nyumba, “Je kuna mtu yuko pamoja nawe?” Vipi kama yule akisema, “Hapana.” Kisha atasema, “Kaa kimya, kwa kuwa hatulitaja jina la Yahwe.”
11 Sillä katso, Herra antaa käskyn, ja hän lyö suuren talon kappaleiksi ja pienen talon pirstaleiksi.
Tazama, Yahwe atatoa amri, na nyumba kubwa itapigwa kuwa vipande vipande, na nyumba ndogo kuwa na nyufa.
12 Juoksevatko hevoset kallionseinää, kynnetäänkö sitä härjillä? Sillä te muutatte oikeuden myrkyksi ja vanhurskauden hedelmän koiruohoksi,
Je farasi watakimbia juu ya mteremko wa miamba? Je mtu atalima huko na ng'ome? Bado mmegeuza haki kuwa sumu na tunda la haki kuwa uchungu.
13 te, jotka iloitsette Loodabarista ja jotka sanotte: "Emmekö omalla voimallamme valloittaneet Karnaimia?"
Ninyi mnaofurahia juu ya Lo Debari, msemao, “Je hatukuchukua Karnaimu kwa nguvu zetu wenyewe?”
14 Sillä katso, minä nostatan teitä vastaan, te Israelin heimo, sanoo Herra, Jumala Sebaot, kansan, joka on ahdistava teitä siitä asti, mistä mennään Hamatiin, hamaan Pajupuroon saakka.
Lakini tazama, nitainua juu yenu taifa, nyumba ya Israeli-hivi ndivyo asemavyo Bwana Yahwe, Mungu wa majeshi. Watawatesa ninyi kutoka Lebo Hamathi hata kijito cha Araba.”