< 2 Kuninkaiden 9 >
1 Profeetta Elisa kutsui erään profeetanoppilaan ja sanoi hänelle: "Vyötä kupeesi ja ota tämä öljyastia mukaasi ja mene Gileadin Raamotiin.
Nabii Elisha akamwita mmoja wa watoto wa manabii na kumwambia, “Vaa kwa kwa safari, halafu chukua hii chupa ndogo ya mafuta kwenye mikono yako na uende Romoth Geliadi.
2 Ja tultuasi sinne hae sieltä käsiisi Jeehu, Joosafatin poika, Nimsin pojanpoika; mene sisään, käske hänen nousta toveriensa keskeltä ja vie hänet sisimpään huoneeseen.
Wakati utakapofika, mtafute Yehu mwana wa Yehoshafati mwana wa Nimshi, na uende ukaingie na kumfanya ainuke kutoka miongoni mwa rafiki zake, na ukampeleke katika chumba cha ndani.
3 Ota sitten öljyastia, vuodata öljyä hänen päähänsä ja sano: 'Näin sanoo Herra: Minä olen voidellut sinut Israelin kuninkaaksi'. Avaa sitten ovi ja pakene viivyttelemättä."
Kisha chukua ile chupa ya mafuta na imiminie kwenye kichwa chake na kusema, 'Yahwe anasema hivi: “Nimekumiminia mafuta uwe mfalme juu ya Israeli. “Halafu fungua mlango, na kukimbia; usichelewe.”
4 Niin nuorukainen, profeetan palvelija, meni Gileadin Raamotiin.
Basi yule kijana, yule nabii kijana, akaenda Romoth Geliadi.
5 Ja kun hän tuli sinne, niin katso: sotaväen päälliköt istuivat siellä. Niin hän sanoi: "Minulla on asiaa sinulle, päällikkö". Jeehu kysyi: "Kenelle meistä kaikista?" Hän vastasi: "Sinulle itsellesi, päällikkö".
Wakati alipofika, kumbe, wale manahodha wa lile jeshi walikuwa wamekaa. Hivyo yule nabii kijana akasema, “Nimekuja mara moja naneno kwako, nahodha.” Yehu akajibu, “kwa yupi katika sisi?” Yule nabii kijana akajibu, “Kwako nahodha.”
6 Silloin tämä nousi ja meni sisälle huoneeseen; ja hän vuodatti öljyä tämän päähän ja sanoi hänelle: "Näin sanoo Herra, Israelin Jumala: Minä olen voidellut sinut Herran kansan, Israelin, kuninkaaksi.
Basi Yehu akainuka na kwenda kwenye nyumba, na yule nabii akammiminia mafuta kwenye kichwa chake na kumwambia Yehu, “Yahwe, Mungu wa Israeli, anasema hivi: 'Nimekumiminia mafuta uwe mfalme juu ya watu wa Yahwe, juu ya Isaraeli.
7 Ja sinä olet surmaava herrasi Ahabin suvun; sillä minä kostan Iisebelille palvelijaini, profeettain, veren ja kaikkien Herran palvelijain veren.
Wewe lazima uiue familia ya Ahabu bwana wako, ili niweze kulipiza kisasi cha damu ya watumishi wangu manabii, na damu ya watumishi wote wa Yahwe, ambao waliokuwa wameuawa kwa mkono wa Yezebeli.
8 Ja koko Ahabin suku on hukkuva: minä hävitän Israelista Ahabin miespuoliset jälkeläiset, kaikki tyynni.
Kwa kuwa nyumba yote ya Ahabu itaangamia, na nitamkatilia mbali kila mtoto wa kiume wa Ahabu, yeyote awe mtumwa au mtu huru.
9 Ja minä teen Ahabin suvulle saman, minkä Jerobeamin, Nebatin pojan, suvulle ja saman, minkä Baesan, Ahian pojan, suvulle.
Nitaifanya nyumba ya Ahabu kama nyumba ya Yerobohamu mwana wa Nebati na kama nyumba ya Baasha mwana wa Ahiya.
10 Ja koirat syövät Iisebelin Jisreelin vainiolla, eikä kukaan ole hautaava häntä." Sitten hän avasi oven ja pakeni.
Mbwa watamla Yezebeli katika Yezreeli, na hakutakuwa na mtu wa kumzika.” Kisha nabii akafungua mlango na kukimbia.
11 Kun Jeehu tuli ulos herransa palvelijain luo, kysyttiin häneltä: "Onko kaikki hyvin? Miksi tuo hullu kävi sinun luonasi?" Hän vastasi heille: "Tehän tunnette sen miehen ja hänen puheensa".
Kisha Yehu akatoka kwenda kwa watumishi wa bwana wake, na mmoja akamwambia, “Je kila kitu kiko sawa? Kwa nini huyu mwenda wazimu amekuja kwako?” Yehu akawajibu, “Mnamjua huyo mtu na mambo asemayo.”
12 Mutta he sanoivat: "Valhetta! Sano meille totuus." Hän sanoi: "Niin ja niin hän puhui minulle ja sanoi: 'Näin sanoo Herra: Minä olen voidellut sinut Israelin kuninkaaksi'".
Wakasema, “Huo ni uongo. Tuambie.” Yehu akajibu, “Alisema hivi na vile juu yangu, na pia akasema, 'hivi ndivyo Yahwe asemavyo: Nimekumiminia mafuta kama mfalme juu ya Israeli.””
13 Silloin he ottivat kiiruusti kukin vaatteensa ja panivat ne hänen allensa paljaille portaille; ja he puhalsivat pasunaan ja huusivat: "Jeehu on tullut kuninkaaksi".
Kisha kila mmoja wao akachukua vazi haraka na kuweka chini ya Yehu juu ya madaraja. Wakapiga baragumu na kusema, “Yehu ni mfalme.”
14 Niin Jeehu, Joosafatin poika, Nimsin pojanpoika, teki salaliiton Jooramia vastaan. Jooram oli ollut kaiken Israelin kanssa puolustamassa Gileadin Raamotia Hasaelia, Aramin kuningasta, vastaan.
Katika njia hii Yehu mwana wa Yehoshafati mwana wa Nimshi akafanya njama juu ya Yoramu. Basi Yoramu alikuwa akiilinda Ramothi Gileadi, yeye na Israeli yote, kwa sababu ya Hazaeli mfalme wa Shamu,
15 Mutta kuningas Jooram oli tullut takaisin parantuakseen Jisreelissä haavoista, joita aramilaiset olivat iskeneet häneen hänen taistellessaan Hasaelia, Aramin kuningasta, vastaan. Ja Jeehu sanoi: "Jos se teille kelpaa, niin älkää päästäkö pakoon kaupungista ketään, joka menisi ilmoittamaan tätä Jisreeliin".
lakini mfalme Yoramu alikuwa amesharudi kwa Yezreeli ili kuponywa yale majeraha aliyokuwa ameyapewa na Washami, wakati akiwa anapigana dhidi ya Hazaeli mfalme wa Shamu. Yehu akawaambia watumishi wa Yoramu, “kama hili ndilo wazo lako, kisha usimwache mtu aondoke na kwenda nje ya mji, ili aende kupeleka habari hii Yezreeli.”
16 Sitten Jeehu nousi vaunuihinsa ja lähti Jisreeliin, sillä Jooram makasi siellä; ja Ahasja, Juudan kuningas, oli tullut sinne katsomaan Jooramia.
Basi Yehu akaendesha gari la farasi mpaka Yezreeli; kwa kuwa Yoramu alikuwa amelala huko. Basi Ahazi mfalme wa Yuda alikuwa ameshuka chini kuonana na Yoramu.
17 Mutta tähystäjä seisoi Jisreelin tornissa, ja kun hän näki Jeehun joukon tulevan, sanoi hän: "Minä näen väkijoukon". Niin Jooram sanoi: "Otettakoon ratsumies ja lähetettäköön heitä vastaan kysymään, onko kaikki hyvin".
Mlinzi alikuwa amesimama juu ya mnara katika Yezreeli, akaliona lile kundi la Yehu alipokuwa akija kwa mbali kidogo; akasema, “Naona kundi la watu wanakuja.” Yoramu akasema, “Chukua mwendesha farasi, na umtume akakutane nao; mwambie aseme, “Je mnakuja kwa amani?””
18 Ja ratsumies lähti häntä vastaan ja sanoi: "Näin kysyy kuningas: 'Onko kaikki hyvin?'" Jeehu vastasi: "Mitä se sinua liikuttaa, onko hyvin? Käänny ja seuraa minua." Niin tähystäjä ilmoitti sanoen: "Sanansaattaja on tullut heidän luoksensa, mutta ei palaa".
Hivyo mwendesha farasi akatoka kumlaki; akasema, “Mfalme asema hivi: Je mnakuja kwa amani?”' Basi Yehu akasema, “Wewe una nini na amani? Geuka na unifuate nyuma.” Kisha yule mlinzi akamwambia mfalme, Yule mjumbe ameshaonana nao, lakini anarudi.”
19 Silloin hän lähetti toisen ratsumiehen. Kun tämä oli tullut heidän luoksensa, sanoi hän: "Näin kysyy kuningas: 'Onko kaikki hyvin?' Jeehu vastasi: "Mitä se sinua liikuttaa, onko hyvin? Käänny ja seuraa minua."
Kisha akapeleka mpanda farasi wa pili, ambaye alikuja kwao na kusema, “Mfalme asema hivi: 'Je mnakuja na amani?”' Yehu akajibu, “Wewe una nini na amani? Geuka na kunifuata nyuma.
20 Niin tähystäjä ilmoitti sanoen: "Hän on tullut heidän luoksensa, mutta ei palaa. Ja ajo on aivan kuin Jeehun, Nimsin pojan, ajoa; sillä hän ajaa niinkuin hurja."
Tena yule mlinzi akatoa taarifa, “Amekwisha kuonana nao, lakini hatorudi. Kwa kuwa hilo gari la farasi limekuwa likiendeshwa ndivyo ambavyo Yehu mwana wa Nimshi aendeshavyo; anaendesha kwa kasi.”
21 Silloin Jooram sanoi: "Valjastettakoon!" Ja he valjastivat hänen sotavaununsa. Niin Jooram, Israelin kuningas, ja Ahasja, Juudan kuningas, lähtivät kumpikin sotavaunuissansa ja menivät Jeehua vastaan. He kohtasivat hänet jisreeliläisen Naabotin maapalstalla.
Hivyo Yoramu akasema, “Andaa gari langu la farasi liwe tayari.” Wakaandaa gari lake la farasi, na Yoramu mfalme wa Israeli na Ahazi mfalme wa Yuda akaendesha, kila mmoja kwenye gari lake la farasi, kumlaki Yehu. Wakamkuta kwenye mali ya Nabothi Myezreeli.
22 Kun Jooram näki Jeehun, kysyi hän: "Onko kaikki hyvin, Jeehu?" Tämä vastasi: "Kuinka kaikki voisi olla hyvin, kun sinun äitisi Iisebelin haureus ja hänen monet velhoutensa yhä vielä jatkuvat?"
Wakati Yoramu alipomuona Yehu, alisema, “Je unakuja katika hali ya amani, Yehu?” Akajibu, “Amani gani hapo, wakati uzinzi wa ukahaba hufanywa na uchawi wa mama yako Yezebeli umejaa tele?”
23 Silloin Jooram käänsi vaununsa ja pakeni, huutaen Ahasjalle: "Kavallus, Ahasja!"
Basi Yoramu akarudisha magari yake ya farasi na kukimbia na kumwambia Ahazia, “Kuna udanganyifu, Ahazia.
24 Mutta Jeehu sieppasi jousen käteensä ja ampui Jooramia hartioiden väliin, niin että nuoli meni sydämen lävitse, ja hän vaipui vaunuihinsa.
Ndipo Yehu akauvuta upinde wake kwa nguvu zake zote na kumpiga Yoramu kati ya mabega yake; mshale ukaenda kwenye moyo wake, akaanguka chini kwenye gari lake la farasi.
25 Sitten hän sanoi Bidkarille, vaunusoturille: "Ota hänet ja heitä jisreeliläisen Naabotin maapalstalle; sillä muistathan, että Herra meidän ratsastaessamme rinnakkain hänen isänsä Ahabin jäljessä lausui hänestä tämän ennustuksen:
Ndipo Yehu akamwambia Bidkari nahodha wake, “Mchukue na mtupie kwenye shamba la Nabothi Myezreeni. Fikiria kuhusu vile ambavyo wewe na mimi tulivyoendesha pamoja baada ya Ahabu baba yake, Yahwe aliuweka juu unabii dhidi yake:
26 'Totisesti, minä näin eilen Naabotin ja hänen poikiensa veren, sanoo Herra; ja minä olen juuri tällä maapalstalla kostava sinulle, sanoo Herra'. Ota siis hänet ja heitä tälle maapalstalle, Herran sanan mukaan."
Jana niliona damu ya Nabothi na damu ya watoto wake - asema Yahwe - na nitahakikisha unalipia hili shamba - asema Yahwe. Sasa basi, mchukue na mtupe kwenye hili shamba, sawa sawa na neno la Yahwe.”
27 Kun Ahasja, Juudan kuningas, sen näki, pakeni hän Beet-Gaaniin päin. Mutta Jeehu ajoi häntä takaa ja sanoi: "Ampukaa hänetkin vaunuihinsa". Ja he ampuivat häntä Guurin solassa, joka on Jibleamin luona; mutta hän pakeni Megiddoon ja kuoli siellä.
Wakati Ahazi yule mfalme wa Yuda alipoliona hili, akakimbia kwa njia ya Bethi Hagani. Lakini Yehu akamfuata, na kusema, “Muulie humo kwenye gari la farasi,” na wakampiga mahali pa kupandia Guri, karibu na Ebleamu. Ahazi akakimbilia Megido na kufia pale.
28 Ja hänen palvelijansa veivät hänet vaunuissa Jerusalemiin ja hautasivat hänet hänen omaan hautaansa, hänen isiensä viereen, Daavidin kaupunkiin.
Watumishi wake wakaubeba mwili wake kwa magari ya farasi kwenda Yerusalemu na kumzika kwenye kaburi lake pamoja na baba zake katika mji wa Daudi.
29 Ahasja oli tullut Juudan kuninkaaksi Jooramin, Ahabin pojan, yhdentenätoista hallitusvuotena.
Basi ilikuwa mwaka wa kumi na moja wa Yoramu mwana wa Ahabu huyo Ahazia akaanza kutawala juu ya Yuda.
30 Sitten Jeehu tuli Jisreeliin. Kun Iisebel kuuli sen, maalasi hän ihomaalilla silmäluomensa, koristeli päänsä ja katseli ulos akkunasta.
Wakati Yahu alipokuja kwa Yezebeli, Yezebeli akasikia juu ya hilo, akapaka wanja kwenye macho yake, akatengeneza nywele zake vizuri, na kuchungulia kwenye dirisha.
31 Ja kun Jeehu tuli portista sisään, kysyi Iisebel: "Kävikö hyvin Simrille, herransa murhaajalle?"
Kadiri Yehu alipokuwa akiingia kwenye lango, akamwambia, “Je unakuja kwa amani, wewe Zimri, muuaji wa bwana wako?”
32 Hän käänsi kasvonsa akkunaa kohti ja sanoi: "Kuka on minun puolellani? Kuka?" Niin pari kolme hoviherraa katsoi alas häneen.
Yehu akatazama juu ya dirisha na kusema, “Ni nani yuko upande wangu? Nani?” Matowashi wawili au watatu wakachungulia nje.
33 Jeehu sanoi: "Syöskää hänet alas". Ja he syöksivät hänet alas, niin että hänen vertansa pirskui seinään ja hevosiin; ja nämä tallasivat hänet jalkoihinsa.
Basi Yehu aksema, “Mtupeni chini.” Hivyo wakamtupa Yezebeli chini, na damu yake nyingine ikamwagika kwenye ukuta na farasi, na Yehu akamkanyaga kanyaga chini ya miguu.
34 Sitten Jeehu meni sisään, söi ja joi. Ja hän sanoi: "Korjatkaa se kirottu ja haudatkaa hänet, sillä onhan hän kuninkaan tytär".
Basi Yehu akaingia hiyo sehemu, akala na kunywa. Kisha akasema, “Mtazamani sasa huyu mwanamke aliyelaaniwa na kumzika, kwa kuwa ni binti wa mfalme.”
35 Mutta kun he menivät hautaamaan häntä, eivät he löytäneet hänestä muuta kuin pääkallon, jalat ja kädet.
Wakaenda kumzika, lakini hawakumkuta ila fuvu, miguu, na viganga vya mikono yake.
36 Ja he tulivat takaisin ja ilmoittivat sen Jeehulle. Niin hän sanoi: "Tässä on toteutunut Herran sana, jonka hän puhui palvelijansa tisbeläisen Elian kautta: 'Jisreelin vainiolla koirat syövät Iisebelin lihan;
Basi wakarudi na kumwambia Yehu. Akasema, “Hili ndilo neno la Yahwe ambalo ameliongea kupitia Eliya Mtishbi, likisema, 'Katika nchi Yezreeli mbwa ataula mwili wa Yezebeli,
37 ja Iisebelin ruumis on oleva niinkuin pellon lanta Jisreelin vainiolla, niin ettei voida sanoa: Tämä on Iisebel'".
na mwili wa Yezebeli utakuwa kama kinyesi juu ya uso wa mashamba katika nchi ya Yezreeli, kwa hiyo basi hakuna atakayeweza kusema, “Huyu ni Yezebeli.””