< 2 Kuninkaiden 15 >

1 Jerobeamin, Israelin kuninkaan, kahdentenakymmenentenä seitsemäntenä hallitusvuotena tuli Asarja, Amasjan poika, Juudan kuninkaaksi.
Katika mwaka wa ishirini na saba wa Yeroboamu mfalme wa Israeli, Azaria mwana wa Amazia mfalme wa Yuda akaanza kutawala.
2 Hän oli kuudentoista vuoden vanha tullessaan kuninkaaksi ja hallitsi Jerusalemissa viisikymmentä kaksi vuotta. Hänen äitinsä oli nimeltään Jekolja, Jerusalemista.
Azaria alikuwa na umri wa miaka kumi na sita alipoanza kutawala, na alitawala kwa mda wa miaka hamsini na mbili katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Yekolia, na alikuwa anatokea Yerusalemu.
3 Ja hän teki sitä, mikä on oikein Herran silmissä, aivan niinkuin hänen isänsä Amasja oli tehnyt.
Alifanya yaliyo mema machoni pa Yahwe, kama baba yake Amazia alivyofanya.
4 Kuitenkaan eivät uhrikukkulat hävinneet, vaan kansa uhrasi ja suitsutti yhä edelleen uhrikukkuloilla.
Lakini, mahali pa juu hapakuwa pameondolewa. Watu wakaendelea kutoa sadaka na kufukiza ubani katika mahala pa juu.
5 Ja Herra löi kuningasta, niin että hän oli pitalitautinen kuolinpäiväänsä saakka. Hän asui eri talossa, mutta Jootam, kuninkaan poika, oli linnan päällikkönä ja tuomitsi maan kansaa.
Yhawe akampiga mfalme hivyo basi akawa na ukoma mpaka siku ya kifo chake na alikaa kwenye nyumba ya pekee. Yothamu, mtoto wa mfalme, alikuwa juu ya watu na kuwaongoza watu wa nchi.
6 Mitä muuta on kerrottavaa Asarjasta ja kaikesta, mitä hän teki, se on kirjoitettuna Juudan kuningasten aikakirjassa.
Kama kwa mambo mengine yanayomhusu Azaria, yote aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
7 Ja Asarja meni lepoon isiensä tykö, ja hänet haudattiin isiensä viereen Daavidin kaupunkiin. Ja hänen poikansa Jootam tuli kuninkaaksi hänen sijaansa.
Hivyo Azaria alilala pamoja na babu zake katika mji wa Daudi. Yothamu, mtoto wake, akawa mfalme katika mahala pake.
8 Asarjan, Juudan kuninkaan, kolmantenakymmenentenä kahdeksantena hallitusvuotena tuli Sakarja, Jerobeamin poika, Israelin kuninkaaksi, ja hän hallitsi Samariassa kuusi kuukautta.
Katika mwaka wa thelathini na nane mwaka wa Azaria mfalme wa Yuda, Zekaria mwana wa Yeroboamu akatawala juu ya Israeli katika Samaria kwa miezi sita.
9 Ja hän teki sitä, mikä on pahaa Herran silmissä, niinkuin hänen isänsäkin olivat tehneet; hän ei luopunut Jerobeamin, Nebatin pojan, synneistä, joilla tämä oli saattanut Israelin tekemään syntiä.
Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe, kama baba zake waliyoyafanya. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye alisababisha Israeli kuasi
10 Ja Sallum, Jaabeksen poika, teki salaliiton häntä vastaan ja löi hänet kuoliaaksi kansan nähden ja tuli kuninkaaksi hänen sijaansa.
Shalumu mwana wa Yabeshi akafanya njama dhidi ya Zekaria, akamshambulia katika Ibleamu, na kumuua. Kisha akawa mfalme katika mahala pake.
11 Mitä muuta on kerrottavaa Sakarjasta, katso, se on kirjoitettuna Israelin kuningasten aikakirjassa.
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Zekaria, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
12 Näin toteutui Herran sana, jonka hän oli puhunut Jeehulle sanoen: "Sinun poikasi istukoot Israelin valtaistuimella neljänteen polveen": niin tapahtui.
Hili ndilo lililokuwa neno la Yahwe ambalo aliongea na Yehu, kusema, “Kizazi chako kitakaa katika kiti cha Israeli mpaka kizazi cha nne.” Hiyo ikatokea.
13 Sallum, Jaabeksen poika, tuli kuninkaaksi Ussian, Juudan kuninkaan, kolmantenakymmenentenä yhdeksäntenä hallitusvuotena, ja hän hallitsi Samariassa kuukauden päivät.
Shalumu mwana wa Yabeshi akaanza kutawala katika mwaka wa thelathini na tisa wa Azaria mfalme wa Yuda, na kutawala kwa mwezi mmoja tu katika Samaria.
14 Mutta silloin Menahem, Gaadin poika, lähti liikkeelle Tirsasta, tuli Samariaan ja löi Sallumin, Jaabeksen pojan, kuoliaaksi Samariassa. Ja hän tuli kuninkaaksi tämän sijaan.
Menahemu mwana wa Gadi akapanda kutoka Tirza kwenda Samaria. Akamshambulia Shalumu mwana wa Yabeshi hapo, katika Samria. Akamuua na kuwa mfalme katika mahali pake.
15 Mitä muuta on kerrottavaa Sallumista ja salaliitosta, jonka hän teki, katso, se on kirjoitettuna Israelin kuningasten aikakirjassa.
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Shalumu na njama aliyoifanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio cha wafle wa Israeli.
16 Siihen aikaan Menahem hävitti Tifsahin ja kaiken, mitä siellä oli, niin myös sen alueen Tirsasta lähtien, koska he eivät avanneet hänelle portteja; hän hävitti sen ja halkaisi kaikki raskaat vaimot.
Ndipo Menahemu akamshambulia Tifsa na wote waliokuwa pale, na mipaka yote kuzunguka Tizra, kwasababu hawakufungua kwenye mji. Hivyo akaushambulia, na akawapasua wanawake wajawazito wote katika hicho kijiji.
17 Juudan kuninkaan Asarjan kolmantenakymmenentenä yhdeksäntenä hallitusvuotena tuli Menahem, Gaadin poika, Israelin kuninkaaksi, ja hän hallitsi Samariassa kymmenen vuotta.
Katika mwaka wa thelathini na tisa wa Ahazia mfalme wa Yuda, Menahemu mwana wa Gadi akaanza kutawala; alitawala kwa miaka kumi katika Samaria.
18 Hän teki sitä, mikä on pahaa Herran edessä; hän ei luopunut koko elinaikanaan mistään Jerobeamin, Nebatin pojan, synneistä, joilla tämä oli saattanut Israelin tekemään syntiä.
Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Katika maisha yake yote, hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye alifanya Israeli kufanya dhambi.
19 Puul, Assurin kuningas, hyökkäsi maahan; ja Menahem antoi Puulille tuhat talenttia hopeata, että tämä auttaisi häntä ja vahvistaisi kuninkuuden hänen käsiinsä.
Kisha Pulu mfalme wa Ashuru akaja kinyume cha nchi, na Menahemu akampatia Pulu talanta elfu moja za fedha, hivyo msaada wa Pulu ungeweza kuwa na yeye kuimarisha utawala wa Israeli katika nchi yake.
20 Ja Menahem otti rahat verona Israelilta, kaikilta varakkailta miehiltä, niin että jokainen joutui maksamaan Assurin kuninkaalle viisikymmentä sekeliä hopeata.
Menahemu akatoza hii pesa kutoka Israeli kwa kumtaka kila mtu tajiri alipe shekeli hamsini za fedha kwake kumpatia mfalme wa Ashura. Hivyo mfalme wa Ashuru akarudi na hakukaa pale katika ile nchi.
21 Niin Assurin kuningas palasi takaisin eikä jäänyt siihen maahan. Mitä muuta on kerrottavaa Menahemista ja kaikesta, mitä hän teki, se on kirjoitettuna Israelin kuningasten aikakirjassa.
Kama kwa mabo mengine yanayomuhusu Menahemu, na yote aliyoyafanya, je hayajaandikwa kwenye kitabu cha matukio ya waflme wa Israeli?
22 Ja Menahem meni lepoon isiensä tykö. Ja hänen poikansa Pekahja tuli kuninkaaksi hänen sijaansa.
Hivyo Menahemu akalala pamoja na babu zake, na Pekahia mtoto wake akawa mfalme katika mahala pake.
23 Juudan kuninkaan Asarjan viidentenäkymmenentenä hallitusvuotena tuli Pekahja, Menahemin poika, Israelin kuninkaaksi, ja hän hallitsi Samariassa kaksi vuotta.
Katika mwaka wa hamsini wa Azaria mfalme wa Yuda, Pekahia mwana wa Menahemu akaanza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; alitawala kwa muda wa miaka miwili.
24 Hän teki sitä, mikä on pahaa Herran silmissä; hän ei luopunut Jerobeamin, Nebatin pojan, synneistä, joilla tämä oli saattanut Israelin tekemään syntiä.
Alifanya yaliyo maovu usoni pa Yahwe. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambazo kwa hizo alisababisha Israeli kufanya dhambi.
25 Ja Pekah, Remaljan poika, hänen vaunusoturinsa, teki salaliiton häntä vastaan ja tappoi hänet Samariassa kuninkaan linnan palatsissa, sekä hänet että Argobin ja Arjen, jolloin Pekahilla oli mukanaan viisikymmentä Gileadin miestä. Näin tämä surmasi hänet ja tuli kuninkaaksi hänen sijaansa.
Pekahia alikuwa na afisa aliyekuwa anaitwa Peka mwana wa Remalia, ambaye alifanya njama dhidi yake. Pamoja na watu hamsini wa Gileadi, Peka akamuua Pekahia pamoja na Argobu na Arie katika Samaria, katika ngome ya nyumba ya mfalme. Peka akamuua alipomua Pekahia akawa mfalme katika mahala pake.
26 Mitä muuta on kerrottavaa Pekahjasta ja kaikesta, mitä hän teki, katso, se on kirjoitettuna Israelin kuningasten aikakirjassa.
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Pekahia, yote aliyoyafanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
27 Juudan kuninkaan Asarjan viidentenäkymmenentenä toisena hallitusvuotena tuli Pekah, Remaljan poika, Israelin kuninkaaksi, ja hän hallitsi Samariassa kaksikymmentä vuotta.
Katika mwaka wa hamsini na mbili wa Azia mfalme wa Yuda, Peka mwana wa Remalia akaanza kutawala juu ya Israeli katika Samaria; alitawala miaka Ishirini.
28 Hän teki sitä, mikä on pahaa Herran silmissä; hän ei luopunut Jerobeamin, Nebatin pojan, synneistä, joilla tämä oli saattanut Israelin tekemään syntiä.
Alifanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Hakuziacha dhambi za Yeroboamu mwana wa Nabati, ambaye alisababisha Israeli kufanya dhambi.
29 Israelin kuninkaan Pekahin aikana tuli Tiglat-Pileser, Assurin kuningas, ja valloitti Iijonin, Aabel-Beet-Maakan, Jaanoahin, Kedeksen, Haasorin, Gileadin ja Galilean, koko Naftalin maan, ja vei asukkaat pakkosiirtolaisuuteen Assuriin.
Katika siku za Peka mfalme wa Israeli, Tiglath Pileseri mfalme wa Ashuru akaja na kuichukua Iyoni, Abel Beth Maaka, Yanoa, Kadeshi, Hazori, Gileadi, na nchi yote ya Naftali. Akawachukua hao watu hadi Ashuru.
30 Mutta Hoosea, Eelan poika, teki salaliiton Pekahia, Remaljan poikaa, vastaan ja löi hänet kuoliaaksi ja tuli kuninkaaksi hänen sijaansa Jootamin, Ussian pojan, kahdentenakymmenentenä hallitusvuotena.
Hivyo Hoshea mwana wa Ela akafanya njama dhidi ya Peka mwana wa Remalia. Akaishambulia na kisha kumuua. Kisha akawa mfalme katika mahali pake, katika mwaka wa ishirini wa Yothamu mwana wa Uzia.
31 Mitä muuta on kerrottavaa Pekahista ja kaikesta, mitä hän teki, katso, se on kirjoitettuna Israelin kuningasten aikakirjassa.
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Peka, yote aliyoyafanya, yameandikwa kwenye kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli.
32 Israelin kuninkaan Pekahin, Remaljan pojan, toisena hallitusvuotena tuli Jootam, Juudan kuninkaan Ussian poika, kuninkaaksi.
Katika mwaka wa pili wa Peka mwana wa Remalia, mfalme wa Israeli, Yothamu mwana wa Azaria, mfalme wa Yuda akaanza kutawala.
33 Hän oli kahdenkymmenen viiden vuoden vanha tullessaan kuninkaaksi ja hallitsi Jerusalemissa kuusitoista vuotta. Hänen äitinsä oli nimeltään Jerusa, Saadokin tytär.
Alikuwa na umri wa miaka ishirini alipoanza kutawala; alitawala kwa muda wa miaka kumi na sita katika Yerusalimu. Mama yake alikuwa anaitwa Yerusha; alikuwa binti ya Sadoki.
34 Hän teki sitä, mikä on oikein Herran silmissä, aivan niinkuin hänen isänsä Ussia oli tehnyt.
Yotahmu alifanya yaliyo sahihi usoni pa Yahwe. Alifuata mfano wa yote baba yake Azaria aliyofanya.
35 Kuitenkaan uhrikukkulat eivät hävinneet, vaan kansa uhrasi ja suitsutti yhä edelleen uhrikukkuloilla. Hän rakennutti Yläportin Herran temppeliin.
Ila, mahali pa juu hapakuchukuliwa. Watu walikuwa wakitio sadaka na kufukiza ubani katika mahali pa juu. Yothamu akajenga lango la juu la nyumba ya Yahwe.
36 Mitä muuta on kerrottavaa Jootamista ja kaikesta, mitä hän teki, se on kirjoitettuna Juudan kuningasten aikakirjassa.
Kama kwa mambo mengine yanayomuhusu Yothamu, na yote aliyoyafanya, je yameandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Yuda?
37 Niihin aikoihin alkoivat Resin, Aramin kuningas, ja Pekah, Remaljan poika, Herran lähettäminä käydä Juudan kimppuun.
Katika zamani hizo Yahwe akaanza kumtuma dhidi ya Yuda Rezini mfalme wa Sahmu, na Peka mwana wa Remalia.
38 Ja Jootam meni lepoon isiensä tykö, ja hänet haudattiin isiensä viereen, isänsä Daavidin kaupunkiin. Ja hänen poikansa Aahas tuli kuninkaaksi hänen sijaansa.
Yothamu akalala pamoja na babu zake na akazikwa pamoja na babu zake katika mji wa Daudi, babu yake. Kisha Ahazi, mtoto wake, akwa mfalme katika mhali pake.

< 2 Kuninkaiden 15 >