< 2 Aikakirja 28 >

1 Aahas oli kahdenkymmenen vuoden vanha tullessaan kuninkaaksi, ja hän hallitsi Jerusalemissa kuusitoista vuotta. Hän ei tehnyt sitä, mikä on oikein Herran silmissä, niinkuin hänen isänsä Daavid,
Ahazi alikuwa na umri wa miaka ishirini na mitano alipoanza kutawala, na akatawala miaka kumi na sita katika Yerusalemu. Hakufanya yaliyoadili katika macho ya Yahwe, kama Daudi babu yake alivyokuwa amefanya.
2 vaan vaelsi Israelin kuningasten teitä; jopa hän teki valettuja kuvia baaleille.
Badala yake, alitembea katika njia za wafalme wa Israeli; pia alitengeneza sanamu za kusubu kwa ajila ya Mabaali.
3 Ja hän poltti uhreja Ben-Hinnomin laaksossa ja poltti poikansa tulessa, niiden kansain kauhistavien tekojen mukaan, jotka Herra oli karkoittanut israelilaisten tieltä.
Zaidi ya hayo, akafukiza uvumba katika bonde la Beni Hinomu na akawaweka watoto wake ndani ya moto, kwa mjibu wa desturi za uzinzi za watu ambao Yahwe aliwafukuza nje ya nchi zao mbele za watu wa Israeli.
4 Ja hän teurasti ja poltti uhreja uhrikukkuloilla ja kummuilla ja jokaisen viheriän puun alla.
Akatoa sadaka na kufukiza uvumba katika sehemu za juu na juu ya vilima na chini ya kila mti wenye majani mabichi.
5 Sentähden Herra, hänen Jumalansa, antoi hänet Aramin kuninkaan käsiin. He voittivat hänet ja ottivat hänen väestään suuren joukon vangiksi ja veivät Damaskoon. Hänet annettiin myöskin Israelin kuninkaan käsiin, ja tämä tuotti hänelle suuren tappion.
Kwa hiyo Yahwe Mungu wa Ahazi, akamweka katika mikono ya mfalme wa Shamu. Waaramu wakamshinda na kuchukua kutoka kwake kundi kubwa la mateka, wakawapeleka Damesiki. Ahazi pia aliwekwa katika mikono ya mfalme wa Israeli ambaye alimshinda kwa mauji makuu.
6 Pekah, Remaljan poika, surmasi Juudasta satakaksikymmentä tuhatta yhtenä päivänä, kaikki sotakuntoisia miehiä, koska he olivat hyljänneet Herran, isiensä Jumalan.
Kwa maana Peka mwana wa Remalia, aliwaua katika Yuda wanajeshi 120, 00 kwa siku moja, wote walikuwa wanaume hodari, kwa maana walikuwa wamemsahau Yahwe, Mungu wa babu zao.
7 Ja Sikri, efraimilainen urho, tappoi kuninkaan pojan Maasejan, linnan esimiehen Asrikamin ja kuninkaan lähimmän miehen Elkanan.
Zikri, mtu mwenye nguvu kutoka Efraimu, akawaua Maaseya mwana wa mfalme, Azrikamu, mwangalizi mkuu wa ikulu, na Elkana, ambaye alikuwa karibu na mfalme.
8 Ja israelilaiset veivät veljiltään vangeiksi vaimoja, poikia ja tyttäriä kaksisataa tuhatta, ryöstivät heiltä myös paljon saalista ja veivät saaliin Samariaan.
Jeshsi la Israeli likachukua mateka kutoka kwa ndugu zao 200, 000 wake, wana, na mabinti. Pia wakachukua nyara nyingi, ambazo walipeleka Samaria.
9 Siellä oli Herran profeetta nimeltä Ooded; tämä meni sotajoukkoa vastaan, kun se oli tulossa Samariaan, ja sanoi heille: "Katso, Herra, teidän isienne Jumala, on vihastunut Juudaan ja antanut heidät teidän käsiinne, ja te olette tappaneet heitä raivossa, joka ulottuu taivaaseen asti.
Lakini nabii wa Yahwe alikuwapo huko, jina lake aliitwa Odedi. Alikwenda nje kukutana na jeshi likiingia Samaria. Akawaambia, “Kwa sababu Yahwe, Mungu wa babu zenu, alikuwa na hasiri na Yuda, akawatia katika mikono yenu. Lakini mmewaua katika hasira inayofika juu mbinguni.
10 Ja nyt te ajattelette pakottaa tämän Juudan väen ja Jerusalemin orjiksenne ja orjattariksenne. Eikö teillä jo ole tunnollanne kyllin rikkomuksia Herraa, Jumalaanne, vastaan?
Sasa ninyi badala ya kuwahifadhi wanaume na wanawake wa Yuda na Yerusalemu kama watumwa wenu. Lakini je hamko na hatia ya dhambi zenu zidi ya Yahwe Mungu wenu?
11 Niin kuulkaa nyt minua ja palauttakaa vangit, jotka olette ottaneet veljienne joukosta; sillä Herran vihan hehku on teidän päällänne."
Sasa basi, nisikilizeni: warudisheni wafubgwa, ambao mmewachukua wa ndugu zenu, kwa maana ghadhabu ya Yahwe iko juu yenu.”
12 Silloin muutamat efraimilaisten päämiehistä, Asarja, Joohananin poika, Berekia, Mesillemotin poika, Hiskia, Sallumin poika, ja Amasa, Hadlain poika, nousivat sotaretkeltä tulevia vastaan
Kisha baadhi ya viongozi wa watu wa Efraimu—Azaria mwana wa Yohanani, Berekia mwana wa Meshiremothi, na Yehizikia mwana wa Shalumu, na Amasa mwana wa Hadlai, wakasimama kinyume na wale waliorudi kutoka vitani.
13 ja sanoivat heille: "Älkää tuoko tänne noita vankeja, sillä te saatatte meidät syyllisiksi Herran edessä, kun ajattelette lisätä meidän syntejämme ja syyllisyyttämme. Onhan meidän syyllisyytemme jo suuri, ja vihan hehku on Israelin päällä."
Wakasema kwao, “Lazimaa msiwaleta wafungwa hapa, kwa kuwa mlikusudia jambo ambalo litaleta juu yetu dhambi dhidi ya Yahwe, kuongeza dhambi juu yetu na makosa yetu, kwa maana makosa yetu ni makuu, na kuna hasira kali dhidi ya Israeli.”
14 Silloin aseväki luopui vangeista ja saaliista päämiesten ja koko seurakunnan edessä.
Hivyo watu wenye silaha wakawaacha wafungwa na mateka mbele ya viongozi wa Israeli na kusanyiko lote
15 Ja nimeltä mainitut miehet nousivat ja ottivat huostaansa vangit ja antoivat saaliista vaatteita kaikille heidän joukossaan, jotka olivat alasti. He antoivat näille vaatteita ja kenkiä, ruokaa ja juomaa, voitelivat heitä ja toimittivat heille, kaikille uupuneille, aasit ja veivät heidät Jerikoon, Palmukaupunkiin, lähelle heidän veljiänsä. Sitten he palasivat Samariaan.
Watu ambao walipangwa kwa majina wakanyanyuka na kuwachukua wafungwa, na kuwavika wote waliokuwa uchi miongoni mwa mateka. Wakawavika na kuwapa viatu. Wakawapa chakula wale na kunywa. Wakawahudumia majeraha yao na kuwaweka waliodhaifu juu ya punda. Wakawarudisha kwenye familia zao katika Yeriko, (Ulioitwa mji wa mitende). Kisha wakarudi Samaria.
16 Siihen aikaan kuningas Aahas lähetti sanansaattajat Assurin kuningasten tykö saadaksensa apua.
Wakati huo Mfalme Ahazi akatuma wajumbe kwa wafalme wa Ashuru kuwaomba wamsaidie.
17 Sillä vielä edomilaisetkin olivat tulleet ja voittaneet Juudan ja ottaneet vankeja.
Kwa maana Waedomu walikuwa wamekuja tena na kuvamia Yuda, wakachukua wafungwa.
18 Ja filistealaiset olivat tehneet ryöstöretken Alankomaan ja Juudan Etelämaan kaupunkeihin ja valloittaneet Beet-Semeksen, Aijalonin ja Gederotin, niin myös Sookon ja sen tytärkaupungit, Timran ja sen tytärkaupungit ja Gimson ja sen tytärkaupungit, ja he olivat asettuneet niihin.
Wafilisti pia wakavamia miji ya nchi ya chini na ya Negebu ya Yuda. Waliichukua Beth-shemeshi, Ayaloni, Giderothi, SoKo pamoja na vijiji vyake, Timna pamoja na vijiji vyake. Wakaenda kuishi katika sehemu hizo.
19 Sillä Herra nöyryytti Juudaa Aahaan, Israelin kuninkaan, tähden, koska tämä oli harjoittanut kurittomuutta Juudassa ja ollut uskoton Herraa kohtaan.
Kwa kuwa Yahwe aliishusha chini Yuda kwa sababu ya Ahazi, mfalme wa Israeli; kwa maana alikuwa ametenda maovu katika Yuda na alikuwa ametenda dhambi nzito sana dhidi ya Yahwe.
20 Niin Tillegat-Pilneser, Assurin kuningas, lähti häntä vastaan ja ahdisti häntä eikä tukenut häntä.
Tiglath-pileseri, mfalme wa Ashuru, akaja kwake na akampa tabu badala ya kumpa nguvu.
21 Sillä vaikka Aahas ryösti Herran temppeliä ja kuninkaan ja päämiesten linnoja ja antoi kaiken Assurin kuninkaalle, ei hänellä ollut siitä apua.
Kwa kuwa Ahazi aliteka nyara nyumba ya Yahwe na nyumba ya mfalme na viongozi, kwa ajili ya kuvitoa vitu vya thamani kwa mfalme wa Ashuru. Lakini kufanya hivyo hakukumfaidisha yeye.
22 Silloinkin kun häntä ahdistettiin, oli hän, kuningas Aahas, edelleen uskoton Herraa kohtaan.
Mfalme Ahazi huyu huyu akatenda dhambi hata zaidi dhidi ya Yahwe katika muda wa mateso yake.
23 Sillä hän uhrasi Damaskon jumalille, jotka olivat voittaneet hänet; hän ajatteli: "Koska Aramin kuningasten jumalat ovat auttaneet heitä, uhraan minäkin niille, että ne minuakin auttaisivat". Mutta ne tulivatkin hänelle ja koko Israelille lankeemukseksi.
Kwa maana aliwatolea dhabihu mingu wa Dameski, miungu ambao walimshinda. Akasema, “Kwa sababu miungu wa mfalme wa Aramu waliwasaidia, nitawatolea sadaka ili wanisaidie.” Lakini walikuwa watesi wake na Israeli yote.
24 Ja Aahas kokosi Jumalan temppelin kalut ja hakkasi Jumalan temppelin kalut kappaleiksi. Hän sulki Herran temppelin ovet ja teetti itselleen alttareita Jerusalemin joka kolkkaan.
Ahazi akazikusanya pamoja samani za nyumba ya Mungu na kuzikata vipande vipande. Akaifunga milango ya nyumba ya Yahwe na kuzitengeneza madhabahu kwa ajili yake mwenyewe katika kila kona ya Yerusalemu.
25 Ja jokaiseen Juudan kaupunkiin hän teetti uhrikukkuloita polttaakseen uhreja muille jumalille; ja niin hän vihoitti Herran, isiensä Jumalan.
Katika kila mji wa Yuda akafanya sehemu za juu kwa ajili ya kutolea sadaka za kuteketezwa kwa miungu wengine. Akamfanya Yahwe, Mungu wa babu zake, akasirike.
26 Mitä muuta on kerrottavaa hänestä ja kaikesta hänen vaelluksestaan, sekä aikaisemmasta että myöhemmästä, katso, se on kirjoitettuna Juudan ja Israelin kuningasten aikakirjassa.
Sasa matendo yake yaliyobaki, na njia zake zote, mwanzo na mwisho, ona, yameandikwa katika kitabu cha wafalme wa Yuda na Israeli.
27 Ja Aahas meni lepoon isiensä tykö, ja hänet haudattiin kaupunkiin, Jerusalemiin; sillä häntä ei viety Israelin kuningasten hautoihin. Ja hänen poikansa Hiskia tuli kuninkaaksi hänen sijaansa.
Ahazi akalala pamoja na babu zake, na wakamzika katika mji, katika Yerusalemu, lakini hawakumleta kwenye makaburi ya wafalme wa Israeli. Hezekia, mwanaye, akawa mfamle katika nafasi yake.

< 2 Aikakirja 28 >