< 1 Aikakirja 24 >
1 Nämä olivat Aaronin poikien osastot: Aaronin pojat olivat Naadab, Abihu, Eleasar ja Iitamar.
Makundi vya kazi kulingana na uzao wa Aroni yalikuwa haya: Nadabu, Abihu, Eleazari na Ithamari.
2 Mutta Naadab ja Abihu kuolivat ennen isäänsä, eikä heillä ollut poikia. Niin palvelivat ainoastaan Eleasar ja Iitamar pappeina.
Nadabu na Abihu walikufa kabla ya baba yao kufa. Walikuwa hawana watoto, kwahiyo Eleazari na Ithamari walitumika kama makuhani.
3 Ja Daavid yhdessä Saadokin kanssa, joka oli Eleasarin poikia, ja Ahimelekin kanssa, joka oli Iitamarin poikia, jakoi heidät osastoihin heidän palvelusvuorojensa mukaan.
Daudi pamoja na Zadoki, uzao wa Eleazari, na Ahimeleki, uzao wa Ithamari, waliwagawanya katika makundi yao ya kazi kama makuhani.
4 Kun Eleasarin pojilla havaittiin olevan enemmän päämiehiä kuin Iitamarin pojilla, jaettiin heidät niin, että Eleasarin pojat saivat kuusitoista päämiestä perhekunnilleen ja Iitamarin pojat kahdeksan päämiestä perhekunnilleen.
Kulikuwa na wanaume viongozi zaidi kati ya uzao wa Eleazari kuliko kati ya uzao wa Ithamari, kwahiyo waligawanya uzao wa Eleazari katika makundi kumi na sita. Walifanya hivyo na viongozi wa ukoo na uzao wa Ithamari. Magawanyo haya yalikuwa nane kwa idadi, sambamba na koo zao.
5 Heidät jaettiin arvalla, toiset niinkuin toisetkin, sillä pyhäkköruhtinaat ja Jumalan ruhtinaat otettiin sekä Eleasarin pojista että Iitamarin pojista.
Waliwagawanya bila upendeleo kwa kura, kwa kuwa walikuwa waamuzi watakatifu na waamuzi wa Mungu, kutoka pande zote uzao wa Eleazari na uzao wa Ithamari.
6 Ja Semaja, Netanelin poika, kirjuri, joka oli Leevin sukua, kirjoitti heidät muistiin kuninkaan, päämiesten, pappi Saadokin ja Ahimelekin, Ebjatarin pojan, sekä pappien ja leeviläisten perhekuntien päämiesten läsnäollessa. Yksi perhekunta otettiin vuorotellen Eleasarin ja Iitamarin suvusta.
Shemaia mwana wa Nethaneli mwandishi, Mlawi, aliandika majina yao mbele ya mfalme, muamuzi, kuhani Zadoki, Ahimeleki mwana wa Abiathari, na viongozi wa makuhani na familia za Walawi. Ukoo mmoja ulichaguliwa kwa kura kutoka uzao wa Eleazari, na kisha uliofata utachaguliwa kutoka uzao wa Ithhamari.
7 Ensimmäinen arpa tuli Joojaribille, toinen Jedajalle,
Kura ya kwanza ilienda kwa Yehoiaribu, ya pili kwa Yedaia,
8 kolmas Haarimille, neljäs Seoromille,
ya tatu kwa Harimu, ya nne kwa Seorimu,
9 viides Malkialle, kuudes Miijaminille,
ya tano kwa Malikija, ya sita kwa Mijamini,
10 seitsemäs Koosille, kahdeksas Abialle,
ya saba kwa Hakozi, ya nane kwa Abija,
11 yhdeksäs Jeesualle, kymmenes Sekanjalle,
ya tisa kwa Yeshua, ya kumi kwa Shekania,
12 yhdestoista Eljasibille, kahdestoista Jaakimille,
ya kumi na moja kwa Eliashibu, ya kumi na mbili kwa Yakimu,
13 kolmastoista Huppalle, neljästoista Jesebabille,
ya kumi na tatu kwa Hupa, ya kumi na nne kwa Yesheheabu,
14 viidestoista Bilgalle, kuudestoista Immerille,
ya kumi na tano kwa Biliga, ya kumi na sita kwa Imma,
15 seitsemästoista Heesirille, kahdeksastoista Pissekselle,
ya kumi na saba kwa Heziri, ya kumi na nane kwa Hapizezi,
16 yhdeksästoista Petahjalle, kahdeskymmenes Hesekielille,
ya kumi na tisa kwa Pethaia, ya ishirini kwa Yehezikeli,
17 kahdeskymmenes yhdes Jaakinille, kahdeskymmenes kahdes Gaamulille,
ya ishirini na moja kwa Yakini, ya ishirini na mbili kwa Gamuli,
18 kahdeskymmenes kolmas Delajalle, kahdeskymmenes neljäs Maasjalle.
ya ishirini na tatu kwa Delaia, na ya ishirini na nne kwa Maazia.
19 Nämä ovat heidän palvelusvuoronsa, kun he menevät Herran temppeliin, niinkuin heidän isänsä Aaron oli heille säätänyt, sen mukaan, kuin Herra, Israelin Jumala, oli häntä käskenyt.
Hii ilikuwa taratibu ya utumishi wao, walipo kuja kwenye nyumba ya Yahweh, wakifuata utaratibu waliopewa na Aruni babu yao, kama Yahweh, Mungu wa Israeli, alivyo waagiza.
20 Mitä tulee muihin Leevin jälkeläisiin, niin oli Amramin jälkeläisiä Suubael, Suubaelin jälkeläisiä Jehdeja,
Hawa walikuwa Walawi waliobakia: Wana wa Amiramu, Shebueli; wana wa Shebaeli, Yedeia.
21 Rehabjan jälkeläisiä päämies Jissia,
Wana wa Rehabia: wana wa Rehabia, Ishia kiongozi.
22 jisharilaisia Selomot, Selomotin jälkeläisiä Jahat.
Wa Waizari, Shelomothi; mwana wa Shelomothi, Yahathi.
23 Ja Jerian jälkeläisiä olivat: Amarja toinen, Jahasiel kolmas, Jekamam neljäs.
Wana wa Hebroni: Yeria kiongozi, Amaria wapili, Yahazieli watatu, na Yekameamu wanne.
24 Ussielin jälkeläisiä oli Miika, Miikan jälkeläisiä Saamir.
Wana wa uzao wa Uzieli ulimjumuisha Mika. Uzao wa Mika ulimjumuisha Shamiri.
25 Miikan veli oli Jissia; Jissian jälkeläisiä oli Sakarja.
Kaka wa Mika alikuwa Ishia. Wana wa Ishia akijumuishwa Zakaria.
26 Merarin jälkeläisiä olivat Mahli ja Muusi sekä hänen poikansa Jaasian jälkeläiset.
Wana na Merari: Mahli na Mushi. Mwana wa Yaazia, Beno.
27 Merarilla oli jälkeläisiä pojastaan Jaasiasta ynnä Sooham, Sakkur ja Ibri.
Wana wa Merari: Yaazia, Beno, Shohamu, Zakuri, na Ibrri.
28 Mahlista polveutui Eleasar, jolla ei ollut poikia.
Wana wa Mahili: eleazari, ambaye alikuwa hana wana.
29 Kiisistä polveutui Jerahmeel, joka oli Kiisin jälkeläisiä.
Wana wa Kishi: Yerameli
30 Ja Muusin jälkeläisiä olivat Mahli, Eeder ja Jerimot. Nämä olivat leeviläisten jälkeläiset heidän perhekuntiensa mukaan.
wana wa Mushi: Mahli, Eda, na yerimothi. Walikuwa walawi, walio orodheshwa na familia zao.
31 Myöskin nämä, niinhyvin perhekuntapäämiehet kuin heidän nuoremmat veljensä, heittivät arpaa samoin kuin heidän veljensä, Aaronin pojat, kuningas Daavidin, Saadokin ja Ahimelekin sekä pappien ja leeviläisten perhekuntien päämiesten läsnäollessa.
Wanaume hawa ambao walikuwa vichwa katika nyumba za baba zao na kila wadogo zao, walipiga kura katika uwepo wa Mfalme Daudi, na Zadoki na Ahimeleki, pamoja na viongozi wa familia wa makuhani na Walawi. Walirusha kura kama uzao wa Aroni walivyofanya.