< Laulujen laulu 1 >
Wimbo ulio bora wa Solomoni.
2 Hän suuta antakoon minun, suunsa antamisella; sillä sinun rakkautesi on suloisempi kuin viina,
Unibusu kwa busu la kinywa chako, kwa maana upendo wako unafurahisha kuliko divai.
3 Sinun hyväin voidettes hajuin tähden. Sinun nimes on vuodatettu öljy; sen piikaiset sinua rakastavat.
Manukato yako yananukia vizuri, jina lako ni kama manukato yaliyomiminwa. Ndiyo sababu wanawali wanakupenda!
4 Vedä minua, niin me juoksemme perässäs: Kuningas vie minun kammioonsa: Me iloitsemme ja riemuitsemme sinusta, me muistamme sinun rakkauttas enempi kuin viinaa: hurskaat rakastavat sinua.
Nichukue twende nawe, na tufanye haraka! Mfalme na anilete ndani ya vyumba vyake. Marafiki Tunakushangilia na kukufurahia, tutasifu upendo wako zaidi kuliko divai. Mpendwa Tazama jinsi ilivyo bora wakupende!
5 Minä olen musta, mutta sangen otollinen, te Jerusalemin tyttäret, niinkuin Kedarin majat, niinkuin Salomon kirjoiteltu vaate.
Mimi ni mweusi, lakini napendeza, enyi binti za Yerusalemu, mweusi kama mahema ya Kedari, kama mapazia ya hema la Solomoni.
6 Älkäät sitä katsoko, että minä niin musta olen; sillä päivä on minun polttanut: minun äitini lapset vihastuivat minun päälleni: he ovat asettaneet minun viinamäen vartiaksi, mutta en minä varjellut viinamäkeäni.
Usinikazie macho kwa sababu mimi ni mweusi, kwa sababu nimefanywa mweusi na jua. Wana wa mama yangu walinikasirikia na kunifanya niwe mtunza mashamba ya mizabibu. Shamba langu mwenyewe la mizabibu nimeliacha.
7 Sano minulle sinä, jota minun sieluni rakastaa: kussas laidunta pidät, ja kussas lounaalla lepäät? ettei minun pitäisi poikkeeman kumppanies lauman tykö.
Niambie, wewe ambaye ninakupenda, unalisha wapi kundi lako la kondoo na ni wapi unapowapumzisha kondoo wako adhuhuri. Kwa nini niwe kama mwanamke aliyefunikwa shela karibu na makundi ya rafiki zako?
8 Jos et sinä sinuas tunne, sinä kaikkein ihanaisin vaimoin seassa, niin mene lammasten jäljille, ja kaitse vohlias paimenien huonetten tykönä.
Kama hujui, ewe mwanamke mzuri kuliko wote, fuata nyayo za kondoo, na kulisha wana-mbuzi wako karibu na hema za wachungaji.
9 Minä vertaan sinun, ystäväni, ratsaskaluihini, Pharaon vaunuihin.
Mpenzi wangu, ninakufananisha na farasi jike aliyefungwa katika mojawapo ya magari ya vita ya Farao.
10 Sinun sasupääs ovat ihanat pankkuin keskellä, ja sinun kaulas kultakäädyissä.
Mashavu yako yanapendeza yakiwa na vipuli, shingo yako ikiwa na mikufu ya vito.
11 Me teemme sinulle kultaiset pankut, hopianastoilla.
Tutakufanyia vipuli vya dhahabu, vyenye kupambwa kwa fedha.
12 Kuin kuningas istui pöytänsä tykönä, antoi nardukseni hajunsa.
Wakati mfalme alipokuwa mezani pake, manukato yangu yalisambaza harufu yake nzuri.
13 Ystäväni on minun mirrhamkimppuni, joka minun rinnoillani riippuu.
Mpenzi wangu kwangu mimi ni kifuko cha manemane kati ya matiti yangu.
14 Minun ystäväni on minulle Kyprin viinamarjan rypäle, Engeddin viinamäessä.
Mpenzi wangu kwangu mimi ni kama kishada cha maua ya mhina kutoka mashamba ya mizabibu ya En-Gedi.
15 Katso, armaani, sinä olet ihana: katso, sinä olet ihana, silmäs ovat niinkuin kyhkyläisen silmät.
Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu! Tazama jinsi ulivyo mzuri! Macho yako ni kama ya hua.
16 Katso, ystäväni, sinä olet ihana ja suloinen, ja meidän vuoteemme myös viheriöitsee.
Tazama jinsi ulivyo mzuri, mpenzi wangu! Ee, tazama jinsi unavyopendeza! Na kitanda chetu ni cha majani mazuri.
17 Meidän huoneemme kaaret ovat sedripuusta, vuolteet hongasta.
Nguzo za nyumba yetu ni mierezi, na mapao yetu ni miberoshi.