< Psalmien 45 >

1 Morsiamen opetusvirsi kukkasesta Koran lapsilta edelläveisaajalle. Minun sydämeni ajattelee kauniin laulun: minä veisaan kuninkaasta, minun kieleni on jalon kirjoittajan kynä.
Moyo wangu unafurika kwa neno zuri; nitasoma kwa sauti maneno niliyo yaandika kuhusu mfalme; ulimi wangu ni kalamu ya mwandishi mwenye ustadi.
2 Sinä olet kaikkein kaunein ihmisten lasten seassa: armo on vuodatettu sinun huulissas; sentähden siunaa Jumala sinua ijankaikkisesti.
Wewe u mzuri sana kuliko mwanadamu yeyote; neema imemiminwa midomoni mwako; Kwa hiyo tunajua ya kuwa Mungu amekubariki milele.
3 Pane miekkas vyölles, sinä sankari, ja kaunista itses kunniallisesti.
Weka upanga wako upande wako, wewe uliye mwenye nguvu, katika utukufu wako na enzi yako.
4 Menesty sinun kauneudessas, kiiruhda sinus sanan totuuden, siveyden ja vanhurskauden tähden, niin sinun oikia kätes ihmeellisiä osoittaa.
Katika enzi yako enenda katika ushindi kwa sababu ya uaminifu, upole, na haki; mkono wako wa kuume utakufundisha mambo ya kutisha.
5 Terävät ovat sinun nuoles, että kansat lankeevat etees maahan, jotka sydämestänsä kuninkaan viholliset ovat.
Mishale yako ni mkali; watu huanguka chini yako; mishale yako imo ndani ya mioyo ya adui za mfalme.
6 Jumala, sinun istuimes pysyy aina ja ijankaikkisesti; sinun valtakuntas valtikka on oikeuden valtikka.
Kiti chako cha enzi, Mungu ni cha milele na milele; na fimbo ya haki ni fimbo ya utawala wako.
7 Sinä rakastit vanhurskautta, ja vihasit jumalatointa menoa: sentähden, oi Jumala, on sinun Jumalas voidellut sinua ilo-öljyllä enempi kuin sinun osaveljes.
Umeipenda haki na kuchukia uovu; kwa hiyo Mungu, Mungu wako, amekupaka mafuta ya furaha kuliko wenzako.
8 Kaikki sinun vaattees ovat sula Mirrham, Aloe ja Ketsia. Kuin sinä elephantin luisesta tuvastas lähdet, niin he ilahuttavat sinun.
Mavazi yako yote hunukia manemane, udi, na mdalasini; kukoka katika majumba ya pembe vyombo vya muziki wa nyuzi vimekufurahisha.
9 Sinun kaunistuksessas käyvät kuningasten tyttäret: morsian seisoo oikialla kädelläs sulassa kalliimmassa kullassa.
Binti za wafalme ni kati ya wake zako waheshimiwa; na mkono wako wa kuume amesimama malikia aliye vaa mavazi ya dhahabu ya Ofiri.
10 Kuule, tytär, katso, ja kallista korvas: unohda kansas ja isäs huone,
Sikiliza, mwanangu, tafakari na utege sikio lako; uwasahahu watu wako na watu wa nyumba ya baba yako.
11 Niin kuningas saa halun kauneutees; sillä hän on sinun herras, ja sinun pitää häntä kumartaman.
Hivyo mfalme atautamani uzuri wako; yeye ni Bwana wako; umstahi.
12 Tyron tytär lahjoinensa, rikkaat kansan seassa sinua imartelevat.
Binti wa Tiro atakuwepo akiwa na zawadi; matajiri kati wa watu watajipendekeza kwako.
13 Kuninkaan tytär on kokonansa kunniallinen sisältä: hän on kultaisessa vaatteessa puetettu.
Binti mfalme katika jumba la kifahari ana utukufu wote; mavazi yake yametengenezwa kwa dhahabu.
14 Hän viedään monella tavalla kudotuissa vaatteissa kuninkaan tykö: neitseet, hänen ystävänsä, jotka häntä seuraavat, tuodaan sinun tykös.
Naye ataongozwa kwa mfalme akiwa katika mavazi ya dhahabu; mabikra, wenzake wanoumfuata, wataletwa kwako mafalme.
15 Ne viedään ilolla ja riemulla, ja he menevät kuninkaan tupaan.
Wao wataongozwa kwa furaha na shangwe; wataingia mahali pa mfalme.
16 Sinun isäis siaan pitää sinun lapsia saaman, jotka asetat päämiehiksi kaikkeen maailmaan.
Katika mahali pa baba zako watoto wako watakuwepo, ambao wewe utawafanya kuwa wakuu katika nchi yote.
17 Minä tahdon muistaa sinun nimeäs sukukunnasta niin sukukuntaan: sentähden pitää kansat sinua kiittämän aina ja ijankaikkisesti.
Nami nitalifanya jina lako kukumbukwa katika uzao wote; kwa hiyo watu watakushukuru milele na milele.

< Psalmien 45 >