< Psalmien 25 >
1 Davidin Psalmi. Sinun tykös, Herra, ylennän minä sieluni.
Kwako, Yahwe, nayainua maisha yangu!
2 Minun Jumalani! sinuun minä turvaan, älä salli minua häväistä, ettei minun viholliseni iloitsisi minusta.
Mungu wangu, ninaamini katika wewe. Usiniache niaibishwe; usiwaache maadui zangu wafurahie ushindi wao kwangu.
3 Sillä ei yksikään tule häpiään, joka sinua odottaa; mutta irralliset pilkkaajat saavat häpiän.
Asiaibishwe mtu yeyote anaye kutumaini bali waaibishwe wale watendao hila bila sababu!
4 Herra, osoita minulle sinun ties, ja opeta minulle sinun polkus.
Unijulishe njia zako, Yahwe; unifundishe njia zako.
5 Johdata minua totuudessas, ja opeta minua; sillä sinä olet Jumala, joka minua autat, yli päivää minä odotan sinua.
Uniongoze kwenye kweli yako na unifundishe, kwa kuwa wewe ni Mungu wa wokovu wangu; ninakutumainia wewe siku zote za maisha yangu.
6 Muista, Herra, laupiuttas ja hyvyyttäs, joka maailman alusta on ollut.
Kumbuka, Yahwe, matendo yako ya huruma na uaminifu wa agano lako; kwa kuwa vimekuwapo siku zote.
7 Älä muista nuoruuteni syntejä ja ylitsekäymistäni; mutta muista minua sinun laupiutes jälkeen, sinun hyvyytes tähden, Herra!
Usizikumbuke dhambi za ujana wangu wala uasi wangu; Uniweke akilini mwako pamoja na uaminifu wa agano kwa zababu ya uzuri wa wako, Yahwe!
8 Herra on hyvä ja vakaa, sentähden saattaa hän syntiset tielle.
Yahwe ni mzuri na mwenye haki; kwa hiyo yeye huwafundisha njia mwenye dhambi.
9 Hän johdattaa oikeudella raadollisen, ja opettaa siveille hänen tiensä.
Yeye huwaelekeza wanyenyekevu kwa kile kilicho sahihi na yeye huwafundisha wao njia yake.
10 Kaikki Herran tiet ovat hyvyys ja totuus niille, jotka hänen liittonsa ja todistuksensa pitävät.
Njia zote za Yahwe ni za upendo wa kudumu na niaminifu kwa wote wanao tunza agano na maagizo ya amri zake.
11 Sinun nimes tähden, Herra, ole armollinen minun pahalle teolleni, joka suuri on.
Kwa ajili ya jina lako, Yahwe, unisamehe dhambi zangu, kwa kuwa ni nyingi mno.
12 Kuka on se mies, joka Herraa pelkää? sillä hän opettaa parhaan tien.
Ni nani ambaye anamuogopa Yahwe? Bwana atamfundisha yeye katika njia ambayo anapaswa kuichagua.
13 Hänen sielunsa asuu hyvyydessä, ja hänen sikiänsä omistaa maan.
Maisha yake yataenenda katika uzuri; na uzao wake utairithi nchi.
14 Herran salaisuus on niillä, jotka häntä pelkäävät, ja liittonsa ilmoittaa hän heille.
Urafiki wa Yahwe ni kwa ajili ya wale wanao mheshimu yeye, naye hulifanya agano lake lijulikane kwao.
15 Minun silmäni katsovat alati Herraa, sillä hän kirvoittaa minun jalkani verkosta.
Siku zote macho yangu yanamtazama Yahwe, kwa kuwa yeye ataifungua miguu yangu kwenye nyavu.
16 Käännä sinuas minun puoleeni, ja ole minulle armollinen; sillä minä olen yksinäinen ja raadollinen.
Unigeukie mimi na unihurumie; kwa maana niko peke yangu na niliye matesoni.
17 Minun sydämeni murheet ovat moninaiset: vie siis minua ulos tuskistani.
Maumivu ya moyo wangu yameongezeka; uniondoe katika dhiki hii!
18 Katsos minun vaivaisuuteni ja raadollisuuteni puoleen, ja anna kaikki minun syntini anteeksi.
Tazama mateso yangu na taabu yangu; unisamehe dhambi zangu zote.
19 Katsos, kuinka monta vihollista minulla on? ja sulasta kateudesta he minua vihaavat.
Ona maadui zangu, kwa maana ni wengi; wananichukia kwa chuki ya kikatili.
20 Varjele minun sieluni ja vapahda minua, älä laske minua häpiään; sillä sinuun minä turvaan.
Uyalinde maisha yangu na uniokoe; usiniache niaibishwe, Kwa kuwa kwako nakimbilia usalama!
21 Vakuus ja oikeus varjelkoon minua; sillä minä odotan sinua.
Uadilifu na unyofu vinihifadhi, kwa kuwa nina kutumainia wewe.
22 Jumala, vapahda Israel kaikista tuskistansa.
Mungu, uiokoe Israeli, na shida yake yote!