< Psalmien 24 >
1 Davidin Psalmi. Herran on maa, ja kaikki mitkä siinä ovat, maan piiri ja ne jotka sen päällä asuvat.
Nchi ni ya Yahwe, na vyote viijazavyo, dunia, na wote wakaao ndani yake.
2 Sillä hän on perustanut sen merten päälle, ja virtain päälle sen vahvistanut.
Kwa kuwa yeye aliianzisha juu ya bahari na kuiimarisha juu ya mito.
3 Kuka astuu Herran vuorelle? ja kuka taitaa seisoa hänen pyhässä siassansa?
Ni nani atakaye panda mlima wa Yahwe? Ni nani atakaye simama patakatifu pake?
4 Jolla viattomat kädet ovat ja on puhdas sydämestä, joka ei halaja turhuutta eikä vanno väärin,
Yeye ambaye ana mikono misafi na moyo safi; ambaye hajauinua uongo, na haja apa kiapo ili kudanganya.
5 Se saa siunauksen Herralta, ja vanhurskauden autuutensa Jumalalta.
Yeye atapokea baraka kutoka kwa Yahwe na haki kutoka kwa Mungu wa wokovu wake.
6 Tämä on se sukukunta, joka häntä etsii, joka kysyy sinun kasvojas, Jakob, (Sela)
Kizazi cha wale wamtafutao Mungu ni kama hiki, wale ambao wanautafuta uso wa Mungu wa Yakobo.
7 Tehkäät portit avaraksi ja ovet maailmassa korkiaksi, kunnian Kuninkaan mennä sisälle.
Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
8 Kuka on kunnian Kuningas? se on Herra, väkevä ja voimallinen, Herra voimallinen sodassa.
Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe, mwenye nguvu na uweza; Yahwe, mwenye uweza katika vita.
9 Tehkäät portit avaraksi ja ovet maailmassa korkiaksi, kunnian Kuninkaan mennä sisälle!
Inueni vichwa vyenu, ninyi malango; muinuliwe juu, milango ya kudumu, ili kwamba Mfalme wa utukufu aweze kuingia!
10 Kuka on kunnian Kuningas? se on Herra Zebaot, hän on kunnian Kuningas, (Sela)
Huyu Mfalme wa utukufu ni nani? Yahwe wa majeshi, yeye ni Mfalme wa utukufu.