< Psalmien 143 >
1 Davidin Psalmi. Herra! kuule minun rukoukseni, ota anomiseni korviis, sinun totuutes tähden, kuule minua sinun vanhurskautes tähden,
Zaburi ya Daudi. Ee Bwana, sikia sala yangu, sikiliza kilio changu unihurumie; katika uaminifu na haki yako njoo unisaidie.
2 Ja älä käy tuomiolle palvelias kanssa; sillä ei yksikään elävä ole vakaa sinun edessäs.
Usimhukumu mtumishi wako, kwa kuwa hakuna mtu anayeishi aliye mwenye haki mbele zako.
3 Sillä vihollinen vainoo minun sieluani, ja lyö minun elämäni rikki maahan asti: hän panee minun pimeyteen, niinkuin kuolleet maailmassa.
Adui hunifuatilia, hunipondaponda chini; hunifanya niishi gizani kama wale waliokufa zamani.
4 Minun henkeni on minussa ahdistettu: sydämeni on minussa kulutettu.
Kwa hiyo roho yangu inazimia ndani yangu, moyo wangu ndani yangu unakata tamaa.
5 Minä muistelen entisiä aikoja: minä ajattelen kaikkia sinun tekojas, ja tutkistelen sinun kättes töitä.
Nakumbuka siku za zamani; natafakari juu ya kazi zako zote, naangalia juu ya kazi ambazo mikono yako imezifanya.
6 Minä levitän käteni sinun puolees: minun sieluni janoo sinua, niinkuin karkia maa, (Sela)
Nanyoosha mikono yangu kwako, nafsi yangu inakuonea kiu kama ardhi kame.
7 Herra, kuule minua nopiasti, henkeni katoo: älä kasvojas minulta kätke, etten minä niiden kaltaiseksi tulisi, jotka hautaan menevät.
Ee Bwana, unijibu haraka, roho yangu inazimia. Usinifiche uso wako, ama sivyo nitafanana na wale washukao shimoni.
8 Suo minun varhain kuulla sinun armojas, sillä sinuun minä toivon: ilmoita minulle tie, jota minä käyn; sillä minä ylennän sieluni sinun tykös.
Asubuhi uniletee neno la upendo wako usiokoma, kwa kuwa nimeweka tumaini langu kwako. Nionyeshe njia nitakayoiendea, kwa kuwa kwako nainua nafsi yangu.
9 Pelasta minua, Herra, vihollisistani! sinun tykös minä pakenen.
Ee Bwana, uniokoe na adui zangu, kwa kuwa nimejificha kwako.
10 Opeta minua tekemään sinun suosios jälkeen; sillä sinä olet minun Jumalani: sinun hyvä henkes viekään minua tasaista tietä.
Nifundishe kufanya mapenzi yako, kwa maana wewe ndiwe Mungu wangu, Roho wako mwema na aniongoze katika nchi tambarare.
11 Herra, virvoita minua nimes tähden: vie sieluni hädästä ulos sinun vanhurskautes tähden.
Ee Bwana, kwa ajili ya jina lako, hifadhi maisha yangu, kwa haki yako nitoe katika taabu.
12 Ja teloita viholliseni sinun laupiutes tähden, ja kadota kaikki, jotka minun sieluani ahdistavat, sillä minä olen palvelias.
Kwa upendo wako usiokoma, nyamazisha adui zangu; waangamize watesi wangu wote, kwa kuwa mimi ni mtumishi wako.