< Psalmien 131 >

1 Davidin veisu korkeimmassa Kuorissa. Herra! ei minun sydämeni ole paisunut, eikä minun silmäni ole ylpiät; enkä minä vaella suurissa asioissa, jotka minulle työläät ovat.
Wimbo wa kwenda juu. Wa Daudi. Moyo wangu hauna kiburi, Ee Bwana, macho yangu hayajivuni; sijishughulishi na mambo makuu kunizidi wala mambo ya ajabu mno kwangu.
2 Kuin en minä sieluani asettanut ja vaikittanut, niin minun sieluni tuli vieroitetuksi, niinkuin lapsi äidistänsä vieroitetaan.
Lakini nimetuliza na kunyamazisha nafsi yangu; kama mtoto aliyeachishwa kunyonya na mama yake, kama mtoto aliyeachishwa kunyonya ndivyo ilivyo nafsi iliyoko ndani yangu.
3 Israel toivokaan Herran päälle, hamasta nyt ja ijankaikkiseen.
Ee Israeli, mtumaini Bwana tangu sasa na hata milele.

< Psalmien 131 >