< 3 Mooseksen 8 >

1 Ja Herra puhui Mosekselle, sanoen:
Yahweh akazungumza na Musa, akisema,
2 Ota Aaron poikinensa ja vaatteet, ja voidellusöljy: niin myös mulli rikosuhriksi, ja kaiksi oinasta, ja myös kori happamattomia leipiä.
“Walete Aroni na wanawe pamoja naye, mavazi na mafuta ya upako, fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi, kondoo dume wawili, na kikapu cha mkate usio na hamira.
3 Ja kokoo kaikki kansa, seurakunnan majan oven eteen.
Ita kusanyiko lote kwenye ingilio la hema la kukutania.”
4 Moses teki niinkuin Herra hänelle käskenyt oli: ja kokosi kansan seurakunnan majan oven eteen.
Kwa hiyo Musa akafanya kama Yahweh alivyomwamru, nalo kusanyiko lilikuja pamoja mbele ya ingilio la hema la kukutania. Kisha Musa akaliambia kusanyiko,
5 Ja Moses sanoi kansalle: tämä on se minkä Herra on käskenyt tehdä.
“Hivi ndivyo alivyotuamru Yahweh tutende.”
6 Ja Moses otti Aaronin poikinensa, ja pesi heidät vedellä.
Musa akamleta Aroni na wanawe na kuwaosha kwa maji.
7 Ja puetti hänen yllensä hameen, ja vyötti hänen vyöllä ja puetti hänen ylishameella, ja pani päällisvaatteen hänen päällensä: niin myös vyötti hänen päällisvaatteen vyöllä, ja vaatetti hänen sillä.
Akamvika Aroni kanzu ya ndani yenye urefu wa kufika magotini na kumfunga ukumbuu kiunoni mwake, akamvika joho la nje lenye mikono mirefu na kumvika kile kizibao chenye vipande viwili tumboni na mgongoni na kukifunga kuzunguka kiunoni mwake kwa mshipi uliosokotwa kwa ustadi na kukikaza mwilini mwake.
8 Ja pani hänen päällensä rintavaatteen: ja pani rintavaatteen päälle valkeudet ja täydellisyydet.
Kisha Musa akaweka kifuko kifuani mwa Aroni, na ndani ya kifuko hicho akaweka Urimu na Thumimu.
9 Ja pani hiipan hänen päähänsä: ja pani hiipan päälle hänen otsallensa kultaisen otsalehden, pyhän kruunun, niinkuin Herra Mosekselle käskenyt oli.
Na kisha akamfunga kiremba kichwani, na juu ya kiremba kwa mbele, akaweka bamba la dhahabu; liwe taji takatifu, kama Yahweh alivyomwamru yeye.
10 Ja Moses otti voidellusöljyn, ja voiteli majan ja kaikki mitä siinä oli: ja pyhitti ne.
Musa akayatwaa hayo mafuta ya upako, akalipaka lile hema la kukutania na kila kitu kilichokuwamo ndani yake na kuvitenga kwa ajili ya Yahweh.
11 Ja priiskotti sitä seitsemän kertaa alttarille, ja voiteli alttarin ja kaikki sen astiat, ja pesoastian jalkoinensa, ja pyhitti ne.
Akayanyunyiza hayo mafuta juu ya madhabahu mara saba, na kisha akaipaka mafuta hiyo madhabahu na vyombo vyake vyote, na sinia la kunawia na kitako chake ili kuvitenga wa ajili ya Yahweh.
12 Ja kaasi voidellusöljyä Aaronin pään päälle, ja voiteli hänen ja pyhitti.
Akamimina sehemu ya mafuta ya upako juu ya kichwa cha Aroni na kisha akampaka mafuta ili kumtenga.
13 Ja Moses toi aaronin pojat, ja puetti heidän yllensä hameet, vyötti heidät vyöllä, ja sitoi lakit heidän päähänsä: niin kuin Herra hänelle käskenyt oli.
Musa akawaleta wana wa Aroni na kuwavika kila mmoja kanzu ya ndani yenye urefu wa kufika magotini. Kila mmoja wao akamfunga kwa ukumbuu kiunoni mwake na kuwafunga vitambaa vya kitani kichwani pao, kama vile Yahweh alivyokuwa amemru Musa.
14 Ja antoi tuoda mullin rikosuhriksi ja Aaron poikinensa pani kätensä rikosuhrin mullin pään päälle,
Musa akamleta huyo fahali kwa ajili ya sadaka ya dhambi, naye Aroni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa cha fahali ambaye wamemelete kwa ajili ya sadaka ya dhambi.
15 Ja teurasti sen. Ja Moses otti verestä, ja pani sormellansa alttarin sarviin ympärinsä, ja puhdisti alttarin, ja kaasi veren alttarin pohjalle, ja pyhitti sen, sovittaaksensa (kansaa) sen päällä.
Musa akamchinja, na kisha akachukua sehemu ya damu yake kwa kidole chake na kuiweka juu ya mpembe za madhabahu, akaitakasa hiyo madhabahu, na kuitenga kwa Mungu, ambapo kwa kufanya hivyo, aliisababisha madhabahu kuwa sehemu ya kufaa kwa kufanyia upatanisho.
16 Ja otti kaiken sisällysten lihavuuden, ja maksan kalvon, ja molemmat munaskuut, ynnä lihavuuden kanssa, ja Moses suitsutti ne alttarilla.
Akachukua mafuta yote yaliyokuwa sehemu za ndani, kile kiwambo cha ini, zile figo mbili pamoja na mafuta yake, Musa akaichoma hiyo nyama yote juu ya madhabahu.
17 Mutta mullin vuotinensa, lihoinensa ja sontinensa poltti hän tulessa ulkona leiristä, niinkuin Herra Mosekselle käskenyt oli.
Lakini yule fahali, ngozi yake, nyama yake na kinyesi chake, akavichoma nje ya kambi, kama vile Yehweh alivyokuwa amemwamru yeye.
18 Ja hän toi oinaan polttouhriksi, ja Aaron poikinensa panivat kätensä oinaan pään päälle.
Musa akamleta yule konndoo dume kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa, naye Aroni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa cha huyo kondoo.
19 Ja se teurastettiin, ja Moses priiskotti hänen verensä alttarille ympäri.
Musa akamchinja kondoo na kuinyunyizia damu yake kila upande wa madhabahu.
20 Ja leikkasi oinaan kappaleiksi, ja Moses suitsutti pään ja kappaleet ja lihavuuden,
Naye akamkatakata kondoo vipande vipande na akakiteketeza kichwa chake pamoja na vile vipande na mafuta.
21 Ja pesi sisällykset ja jalat vedellä; ja Moses suitsutti koko oinaan alttarilla: se on polttouhri makiaksi hajuksi, se on tuliuhri Herralle, niinkuin Herra hänelle käskenyt oli.
Akaziosha kwa maji zile sehemu za ndani pamoja na miguu na akamteketeza kandoo mzima juu ya madhabahu. Ilikuwa ni dhabihu ya kuteketezwa na ilitoa harufu ya kupendeza, sadaka iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamru Musa.
22 Ja toi myös toisen oinaan, täytösuhrin oinaan, ja Aaron poikinensa pani kätensä oinaan pään päälle.
Kisha Musa akamleta yule kondoo dume mwingine, kondoo wa kuwekwa wakfu, naye Aroni na wanawe wakaweka mikono yao juu ya kichwa cha kondoo.
23 Ja Moses teurasti sen ja otti hänen vertansa, ja sivui Aaronin oikian korvan lehteen, niin myös oikian käden peukaloon, ja oikian jalan isoon varpaaseen.
Aroni akamchinja, naye Musa akachukua sehemu ya damu na kuiweka kwenye ncha ya sikio la Aroni la kulia, juu ya dole gumba la mkono wake wa kulia, na kwenye kidole kikumbwa cha mguu wake wa kulia.
24 Ja Moses toi myös Aaronin pojat, ja sivui verellä heidän oikian korvansa lehden, ja heidän oikian kätensä peukaloon, ja heidän oikian jalkansa isoon varpaaseen, ja Moses priiskotti veren alttarille ympäri.
Akawaleta wana wa Aroni, naye akaweka sehemu ya damu ya kondoo yule kwenye ncha ya sikio lao la kulia, kwenye dole gumba lao cha mkono wa kulia na kwenye kidole chao kikubwa cha mguu wa kulia. Kisha Musa akainyunyiza damu ya huyo kila upande wa madhabahu
25 Ja otti lihavuuden ja saparon ja kaiken sisällysten lihavuuden, ja maksan kalvon ja molemmat munaskuut heidän lihavuutensa kanssa, niin myös oikian lavan.
Naye akayatwaa yale mafuta, mafuta ya mkiani, mafuta liyolikuwa sehemu za ndani, na mafuta yafunikayo ini, zile figo mbili pamoja na mafuta yake na paja la kulia.
26 Hän otti myös korista, jossa happamattomat leivät olivat Herran edessä, yhden happamattoman kyrsän, ja öljyllä voidellun kyrsän, ja ohukaisen kyrsän, ja pani ne lihavuuden ja oikian lavan päälle,
Akachukua mkate mmoja kutoka kwenye kikapu cha mikate isiyo na hamira ambayoo ilikuwa mbele za Yahweh, akatwaa mkate moja usio na hamira, na mkate mmoja ulioandaliwa kwa mafuta, na mkate mwemba wa kaki na akaiweka juu ya mafuta na juu ya paja la kulia la kondoo.
27 Ja antoi kaikki nämät Aaronin käsiin, ja hänen poikainsa käsiin, ja häälytti ne häälytykseksi Herran edessä.
Akaiweka yote mikoni mwa Aroni na katika mikono ya wanawe na kuitikisa mbele za Yahweh kuwa sadaka ya kutikiswa
28 Ja sitte otti Moses ne heidän käsistänsä ja poltti alttarilla polttouhrin päällä: se on täytösuhri lepytyshajuksi, se on tuliuhri Herralle.
Kisha Musa akaichukua mikate hiyo kutoka mikononi mwao na kuiteketeza juu ya madhabahu kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa. Zilikuwa ni sadaka ya kuwekwa wakfu na ilitoa harufu ya kupendeza. Ilikuwa sadaka iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto.
29 Ja Moses otti rinnan ja häälytti sen häälytykseksi Herran edessä: täytösuhrin oinaasta sai Moses osan, niinkuin Herra hänelle käskenyt oli.
Musa akakichukua kidari na kukitikisa kuwa sadaka ya kutikiswa kwa Yahweh. Ilikuwa ni mgao wa Musa wa kondoo wa kuwekewa mikono kwa makuhani, Kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamuru yeye.
30 Ja Moses otti voidellusöljyä ja verta, joka oli alttarilla, ja priiskotti Aaronin ja hänen vaatettensa päälle, niin myös hänen poikainsa ja heidän vaatettensa päälle, ja pyhitti niin Aaronin ja hänen vaatteensa, niin myös hänen poikansa ja heidän vaatteensa hänen kanssansa.
Musa akatwaa sehemu ya mafuta ya upako na damu iliyokuwa juu ya madhabahu; naye akayanyunyiza haya juu ya nguo za Aroni, juu ya nguo zake mwenyewe na juu ya nguo za wana wa Aruni waliokua pamoja naye. Kwa njia hii alimtenga Aroni na nguo zake, na wanawe na nguo zao kwa ajili ya Yahweh.
31 Ja Moses sanoi Aaronille ja hänen pojillensa: keittäkäät lihaa seurakunnan majan oven edessä, ja syökäät se siinä paikassa, niin myös leipää, joka täytösuhrin korissa on, niinkuin minä käskin sanoen: Aaron poikinensa pitää ne syömän.
Kwa hiyo Musa akawambia Aruni na wanawe, “Ipikeni nyama mbele ya ingilio la hema la kukutania, na hapo mtaila pamoja na mkate ulio kwenye kikapu cha kuwekwa wakfu, kama ilivyoamriwa, kusema, 'Aroni na wanawe wataila.'
32 Vaan mitä jää tähteeksi lihasta ja leivästä, sen teidän pitää polttaman tulessa.
Masalio yoyote ya nyama na mikate utayateketeza kwa moto.
33 Ja ei teidän pidä lähtemän seitsemänä päivänä seurakunnan majan ovesta, siihenasti, koska tiedän täytösuhrinne päivät täytetään; sillä seitsemänä päivänä teidän kätenne täytetään.
Na hamtatoka kwenye ingilio la hema la kukutania kwa muda wa siku saba, hata zitakapotimia siku za kuwekwa mikono kwenu. Kwa kuwa kwa muda wa siku saba, Yahweh atawaweka wakfu.
34 Niinkuin se tänäpänä tapahtunut on, niin Herra on käskenyt tehtää, että te sovitettaisiin.
Kilichotendeka siku hii— Yahweh ndiye amekiamru kitendekeke ili kufanya upatanisho kwa ajili yenu.
35 Ja teidän pitää oleman seitsemän päivää seurakunnan majan oven edessä, yli päivää ja yötä, ja teidän pitää ottaman vaarin Herran vartioista, ettette kuolisi; sillä niin on minulle käsketty.
Mtakaa kwenye ingilio la hema la kukutania mchana na usiku siku saba, nanyi ishikeni amri ya Yahweh ili msije mkafa, kwa sababu hivi ndivyo ilivyoamriwa.
36 Ja Aaron poikinensa teki kaiken sen, kuin Herra Moseksen kautta käskenyt oli.
Kwa hiyo Aroni na wanawe wakafanya mambo yote ambayo Yahweh alikuwa amewaamru kwa kinywa cha Musa.

< 3 Mooseksen 8 >