< Tuomarien 5 >

1 Niin veisasi Debora ja Barak Abinoamin poika sinä päivänä, sanoen:
Ndipo Debora na Baraka mwana wa Abinoamu wakaimba wimbo huu:
2 Että Israelin puolesta on täydellisesti kostettu ja että kansa antoi itsensä mieluisesti siihen, sentähden kiittäkäät Herraa.
“Wakuu katika Israeli wanapoongoza, wakati watu wanapojitoa kwa hiari yao wenyewe: mhimidini Bwana!
3 Kuulkaat te kuninkaat ja ottakaat vaari te päämiehet: minä, minä veisaan Herralle, ja Herralle Israelin Jumalalle minä veisaan.
“Sikieni hili, enyi wafalme! Sikilizeni, enyi watawala! Nitamwimbia Bwana, nitaimba; kwa wimbo nitamhimidi Bwana, Mungu wa Israeli.
4 Herra, kuin sinä läksit Seiristä ja kävit Edomin kedolta, silloin maa vapisi, taivaat myös tiukkuivat, ja pilvet pisaroitsivat vettä.
“Ee Bwana, ulipotoka katika Seiri, ulipopita katika mashamba ya Edomu, nchi ilitetemeka, mbingu nazo zikamwaga, naam, mawingu yakamwaga maji.
5 Vuoret vuosivat Herran edessä, itse Sinai Herran, Israelin Jumalan edessä.
Milima ilitetemeka mbele za Bwana, hata ule wa Sinai, mbele za Bwana, Mungu wa Israeli.
6 Samgarin Anatin pojan aikana ja Jaelin aikana tiet katosivat, ja ne kuin kohdastansa käymän piti, kävivät vääriä polkuja.
“Katika siku za Shamgari mwana wa Anathi, katika siku za Yaeli, barabara kuu hazikuwa na watu; wasafiri walipita njia za kando.
7 Talonpojat puuttuivat Israelista, ne puuttuivat siihenasti kuin minä Debora tulin, siihenasti kuin minä tulin äidiksi Israeliin.
Mashujaa walikoma katika Israeli, walikoma mpaka mimi, Debora, nilipoinuka, nilipoinuka kama mama katika Israeli.
8 Hän valitsi uusia jumalia: silloin oli sota porteissa: ei siellä nähty kilpeä eikä keihästä neljänkymmenen tuhannen seassa Israelissa.
Walipochagua miungu migeni, vita vilikuja katika malango ya mji, hapakuonekana ngao wala mkuki miongoni mwa mashujaa 40,000 katika Israeli.
9 Minun sydämelläni on ilo Israelin valtamiehistä: he ovat hyväntahtoiset kansan seassa; kiittäkäät Herraa.
Moyo wangu u pamoja na wakuu wa Israeli, pamoja na wale wanaojitoa wenyewe kwa hiari yao miongoni mwa watu. Mhimidini Bwana!
10 Te jotka ajatte kaunisten aasein päällä, te jotka istutte oikeudessa, te jotka käytte teitä myöten, puhukaat näistä.
“Nanyi mpandao punda weupe, mkiketi juu ya matandiko ya thamani, nanyi mtembeao barabarani, fikirini
11 Kussa ampujat huusivat vedenkantajain seassa, siellä julistettakaan Herran vanhurskautta ja hänen talonpoikainsa vanhurskautta Israelissa; silloin meni Herran kansa porttein tykö.
juu ya sauti za waimbaji mahali pa kunyweshea maji. Wanasimulia matendo ya haki ya Bwana, matendo ya haki ya mashujaa wake katika Israeli. “Ndipo watu wa Bwana walipoteremka malangoni pa mji.
12 Nouse, nouse, Debora: nouse, nouse ja veisaa virsiä, valmista itses, Barak, vangiksi ota sinun vangitsiat, sinä Abinoamin poika.
‘Amka, amka! Debora! Amka, amka, uimbe! Ee Baraka! Inuka, chukua mateka wako uliowateka, ee mwana wa Abinoamu.’
13 Silloin rupesi se jäänyt vallitsemaan voimallista kansaa: Herra on hallinnut väkeviä minun kauttani.
“Ndipo mabaki ya watu wakashuka dhidi ya wenye nguvu, watu wa Bwana, wakashuka dhidi ya mashujaa wenye nguvu.
14 Ephraimista oli heidän juurensa Amalekia vastaan, ja sinun jälkees BenJamin sinun kansoissas; Makirista ovat tulleet hallitsiat ja Sebulonista kirjoittajat.
Kutoka Efraimu wakaja watu, ambao chimbuko lao ni Amaleki; Benyamini akiwa miongoni mwa watu waliokufuata. Kutoka Makiri wakashuka viongozi, na kutoka Zabuloni wale washikao fimbo ya jemadari.
15 Isaskarin päämiehet olivat myös Deboran kanssa, ja Isaskar oli niinkuin Barak laaksoon lähetetty jalkaväkinensä; Rubenin eroituksessa ovat suuret sydämen ajatukset.
Wakuu wa Isakari walikuwa pamoja na Debora; naam, Isakari alikuwa pamoja na Baraka, wakija nyuma yake kwa mbio wakielekea bondeni. Katika jamaa za Reubeni, palikuwa na kujihoji kukubwa moyoni.
16 Miksis istuit kahden joukon välillä, kuullakses laumain määkynätä? Rubenin eroituksessa ovat suuret sydämen ajatukset.
Kwa nini ulikaa katikati ya mazizi ya kondoo kusikiliza sauti ya filimbi zinazoita makundi? Kwa jamaa za Reubeni, palikuwa na kujihoji kukubwa moyoni.
17 Gilead jäi toiselle puolelle Jordania, ja miksi Dan asui haahtein seassa? Asser istui meren satamissa ja asui langenneissa kylissänsä.
Gileadi alikaa ngʼambo ya Yordani. Naye Dani, kwa nini alikaa kwenye merikebu siku nyingi? Asheri alikaa kwa utulivu ufuoni mwa bahari, akikaa kwenye ghuba zake ndogo.
18 Sebulonin kansa antoi henkensä alttiiksi kuolemaan, Naphtali myös, kedon korkeudella.
Watu wa Zabuloni walihatarisha maisha yao, vilevile nao watu wa Naftali.
19 Kuninkaat tulivat ja sotivat; silloin sotivat Kanaanin kuninkaat Taanakissa Megiddon veden tykönä: ei he saaneet rahaa saaliiksensa.
“Wafalme walikuja na kufanya vita; wafalme wa Kanaani walipigana huko Taanaki karibu na maji ya Megido, lakini hawakuchukua fedha wala nyara.
20 Taivaasta sotivat tähdet juoksussansa, he sotivat Siseraa vastaan.
Kutoka mbinguni nyota zilipigana, nyota kutoka njia zake zilipigana na Sisera.
21 Kisonin ojan kieritti heitä, Kedumin oja, Kisonin oja; minun sieluni tallaa väkeviä.
Mto wa Kishoni uliwasomba, ule mto wa zamani, mto wa Kishoni. Songa mbele, ee nafsi yangu, kwa ujasiri!
22 Silloin sotkuivat hevosten kaviot heitä, heidän väkeväinsä hätäisessä paossa.
Ndipo kwato za farasi zikafanya mshindo: farasi wake wenye nguvu huenda mbio kwa kurukaruka.
23 Kirotkaat Merosta, sanoi Herran enkeli, kiroten kirotkaat hänen asuvaisiansa, ettei he tulleet Herran avuksi, Herran avuksi sankarien seassa.
Malaika wa Bwana akasema, ‘Merozi alaaniwe. Walaaniwe watu wake kwa uchungu, kwa kuwa hawakuja kumsaidia Bwana, kumsaidia Bwana dhidi ya hao wenye nguvu.’
24 Siunattu olkoon Jael vaimoin seassa, Heberin Keniläisen emäntä, siunattu olkoon hän majoissansa vaimoin seassa.
“Yaeli abarikiwe kuliko wanawake wote, mkewe Heberi, Mkeni, abarikiwe kuliko wanawake wote waishio kwenye mahema.
25 Kuin hän vettä anoi, niin hän rieskaa antoi; hän kantoi voita kalliissa maljassa.
Aliomba maji, naye akampa maziwa; kwenye bakuli la heshima akamletea maziwa mgando.
26 Hän otti naulan käteensä ja sepän vasaran oikiaan käteensä, ja löi Siseran ja runteli hänen päänsä, musersi ja lävisti hänen korvainsa juuren.
Akanyoosha mkono wake akashika kigingi cha hema, mkono wake wa kuume ukashika nyundo ya fundi. Akampiga Sisera kwa nyundo, akamponda kichwa chake, akamvunjavunja na kumtoboa paji lake la uso.
27 Hänen jalkainsa juureen kumarsi hän maahan, hän lankesi maahan ja pani maata: hänen jalkainsa juureen kumarsi hän itsensä ja lankesi maahan, siinä kuin hän kumarsi itsensä, siinä hän myös makasi hukutettuna.
Aliinama miguuni pa Yaeli, akaanguka; akalala hapo. Pale alipoinama miguuni pake, alianguka; pale alipoinamia, ndipo alipoanguka, akiwa amekufa.
28 Siseran äiti katsoi akkunasta ja itki huutain häkistä: miksi viipyy hänen vaununsa tulemasta? miksi ovat hänen vaununsa pyörät niin jääneet jälkeen?
“Kupitia dirishani mamaye Sisera alichungulia; nyuma ya dirisha alilia, akasema, ‘Mbona gari lake linachelewa kufika? Mbona vishindo vya magari yake vimechelewa?’
29 Ne viisaimmat hänen ylimmäisistä vaimoistansa vastasivat häntä, että hän sanojansa kertoi.
Wanawake wenye busara kuliko wengine wote wakamjibu; naam, husema moyoni mwake,
30 Eikö he löydä ja jaa saalista, jokaiselle miehelle piian taikka kaksi, ja Siseralle kirjavia ja ommeltuja vaatteita, neulalla ommeltuja vaatteita, kirjavia molemmin puolin kaulan ympäri, saaliiksi.
‘Je, hawapati na kugawanya nyara: msichana mmoja au wawili kwa kila mtu, mavazi ya rangi mbalimbali kwa Sisera kuwa nyara, mavazi ya rangi mbalimbali yaliyotariziwa, mavazi yaliyotariziwa vizuri kwa ajili ya shingo yangu: yote haya yakiwa nyara?’
31 Kaikki sinun vihollises niin hukkukoon, Herra! Mutta ne, kuin sinua rakastavat, olkoon niinkuin ylöskäypä aurinko voimassansa. Ja maa oli levossa neljäkymmentä ajastaikaa.
“Adui zako wote na waangamie, Ee Bwana! Bali wote wakupendao na wawe kama jua lichomozavyo kwa nguvu zake.” Hivyo nchi ikawa na amani kwa miaka arobaini.

< Tuomarien 5 >