< Jobin 41 >

1 Taidatkos vetää Leviatanin ongella, ja sitoa hänen kielensä nuoralla?
Je waweza kumvua mamba kwa ndoano ya samaki? Au kumfunga taya zake kwa kamba?
2 Taidatkos panna ongen hänen sierameensa, ja hänen leukaluunsa pistää naskalilla lävitse?
Je waweza kuweka kamba katika pua zake, au kumtoboa taya yake kwa ndoano?
3 Luuletkos, että hän sinua paljon rukoilee, ja liehakoitsee sinun edessäs?
Je atafanya maombi mengi kwako? Je atazungumza na wewe kwa maneno laini?
4 Luuletkos, että hän tekee liiton sinun kanssas, saadakses häntä alinomaiseksi orjakses?
Je atafanya agano na wewe, ili kwamba umchukue kwa ajili ya mtumishi milele?
5 Taidatkos leikitä hänen kanssansa niinkuin linnun kanssa, eli sitoa hänen sinun piikais sekaan?
Je utacheza pamoja naye kama ambavyo ungecheza na ndege? Je utamfunga kwa ajili ya mtumishi wako wa kike?
6 Luuletkos hänen kumppaneilta leikattaman, jaettaa kauppamiehille.
Je makundi ya wavuvi waweza kumfanyia biashara? Je watamgawanya ili kufanya biashara miongoni mwa wafanya biashara?
7 Taidatkos täyttää koko verkkohuoneen hänen nahallansa, eli kalamiesten kokkoin hänen päällänsä.
Je waweza kuijaza ngozi yake kwa vyusa au kichwa chake kwa mikuki ya kuvulia?
8 Koska sinä häneen rupeet kädelläs, niin muista, ettäs tulet sotaan, josta et sinä mitään voita.
Weka mkono wako juu yake mara moja, nawe utaikumbuka vita na hautaendelea kufanya hivyo tena.
9 Katso, hänen toivonsa pettää hänen; sillä koska hän hänen näkee, mukeltaneeko hän pois?
Tazama, matumaini ya kila mtu ambaye hufanya hivyo ni uongo; je si kila mmoja atatupwa chini katika nchi mbele yake?
10 Ei ole niin rohkiaa, kuin tohtii hänen herättää: kuka siis seisoo minun edessäni?
Hakuna aliye mkali ambaye aweza kuthubutu kumtikisa mamba; Ni nani basi awezaye kusimama mbele yake?
11 Kuka on minulle jotakin ennen antanut, että minä sen hänelle maksaisin? Minun ovat kaikki, mitä kaikkein taivasten alla on.
Ni nani kwanza aliyenipa kitu chochote ili kwamba niweze kumlipa? Chochote kilicho chini ya anga ni changu.
12 Minun täytyy puhua kuinka suuri, kuinka väkevä ja kuinka kaunis hän on.
Sitanyamaza kimya kuhusu miguu ya mamba, wala kuhusu jambo linalohusu nguvu zake, wala kuhusu umbo lake zuri.
13 Kuka riisuu hänen vaatteensa? Kuka tohtii ruveta hänen hampaisiinsa?
Nani awezaye kuiondoa ngozi yake? Nani anaweza kumchoma kwa silaha mara mbili?
14 Kuka voi avata hänen leukaluunsa, jotka ovat hirmuiset hänen hammastensa ympäri?
Nani awezaye kuifungua milango ya uso wake, imezungukwa na meno yake ambayo yanaogofya?
15 Hänen suomuksensa ovat pulskiat, kiinnitetyt toinen toiseensa, niinkuin sinetti.
Mgongo wake umefanywa kwa magamba yenye mistari, yamefungwa kwa pamoja kama chapa.
16 Yksi on kiinni toisessa, niin ettei tuuli pääse lävitse.
Moja li karibu na jingine na ya kuwa hakuna hewa inaweza kupita katikati yake.
17 Ne ovat kiinni toinen toisessansa ja pysyvät yhdessä, ettei heitä taideta eroittaa.
Yameunganishwa moja kwa jingine; yamegandamana kwa pamoja, ili kwamba hayawezi kutenganishwa.
18 Hänen aivastamisestansa kiiltää valkeus, ja hänen silmänsä ovat niinkuin aamuruskon silmälaudat.
Mwanga hung'ara kutoka katika kupumua kwake; macho yake ni kama kope za mapambazuko ya asubuhi.
19 Hänen sunstansa käyvät tulisoitot ulos, ja tuliset kipinät sinkoilevat.
Ndani ya mdomo wake hutoka miali ya mwanga, chembe za moto huruka nje.
20 Hänen sieraimistansa käy ulos savu, niinkuin kiehuvasta padasta ja kattilasta.
Katika pua zake hutoka moshi kama chungu kinachotokota juu ya moto ambao umechochewa ili uwe na joto sana.
21 Hänen henkensä on niinkuin tulinen hiili, ja hänen suustansa käy liekki ulos.
Pumzi yake huwasha mkaa na kuwa mwali; moto hutoka katika mdomo wake.
22 Hänen kaulansa on vahva; ja se on hänen ilonsa, kuin hän tekee jotakin vahinkoa.
Katika shingo yake kuna nguvu, na kitisho hucheza mbele yake.
23 Hänen lihansa jäsenet ovat kiinni toinen toisessansa, ne ovat hänessä kiinni, ettei hän liikuteta.
Nofu za mwili wake zimeunganishwa pamoja; ziko imara katika yeye; wala haziwezi kuondolewa.
24 Hänen sydämensä on kova niinkuin kivi, ja niin vahva kuin alimmainen myllyn kivi.
Moyo wake ni mgumu kama jiwe - hakika, ni mgumu kama jiwe la chini la kusagia.
25 Kuin hän korottaa itsensä, niin väkevät peljästyvät; kuin hän joutuu edes, niin ei siellä armoa ole.
Na anaposimama mwenyewe, hata miungu huogopa; hurudi nyuma kwasababu ya hofu.
26 Jos hänen tykönsä mennään miekalla eli keihäällä, aseilla eli haarniskoilla, niin ei hän itsiänsä liikuta.
Na ikiwa atapigwa kwa upanga, hauwezi kumfanya kitu chochote, wala mkuki, wala mshale, wala aina yoyote ya silaha iliyochongoka.
27 Ei hän rautaa tottele enempi kuin kortta, eikä vaskea enempi kuin lahopuuta.
Yeye hufikiri juu ya chuma kana kwamba ni majani makavu na hufikiri juu ya fedha kana kwamba ni ubao uliooza.
28 Ei häntä nuolet karkota, ja linkokivet ovat hänelle niinkuin akanat.
Mshale hauwezi akamfanya akimbie; kwake yeye mawe ya kombeo huwa kama makapi.
29 Vasara on hänen edssänsä niinkuin korsi; hän pilkkaa liehuvia keihäitä.
Marungu huyaangalia kama majani makavu; yeye hucheka juu ya mkuki unaovuma.
30 Ja hän taitaa maata terävällä kivellä, hän makaa terävällä niinkuin sontatunkiolla.
Sehemu zake za chini zi kama vipande vilivyochongoka vya vyungu; huacha alama zilizosambaa katika udongo kana kwamba alikuwa ni chombo cha kusagia.
31 Hän saattaa syvän meren kiehumaan niinkuin padan, ja liikuttaa yhteen niinkuin voiteen.
Yeye hukifanya kilindi kichemke kama chungu cha maji ya moto; huifanya bahari kama chungu cha lihamu.
32 Hänen jälkeensä polku valkenee; hän tekee syvyydet sangen harmaaksi.
Yeye huifanya njia ing'are nyuma yake; mtu mmoja angedhani kilindi kuwa cheupe.
33 Ei ole maalla hänen vertaistansa; hän on tehty pelkäämättömäksi.
Hakuna cha kumlinganisha juu ya dunia, ambaye yeye alikuwa ameumbwa kuishi pasipo hofu.
34 Hän katsoo kaikki korkiat ylön; hän on kaikkein ylpeiden kuningas.
Hukiona kila kitu chenye kiburi; yeye ni mfalme juu ya wana wote wa kiburi.”

< Jobin 41 >