< Jobin 17 >
1 Minun henkeni on heikko, minun päiväni ovat lyhetyt, ja hauta on käsissä.
Roho yangu imemezwa, na siku zangu zimekwisha; kaburi lipo tayari kwa ajili yangu mimi.
2 En minä ketäkään pettänyt, ja kuitenkin minun silmäni täytyy olla murheessa.
Hakika kuna wenye mzaha pamoja nami; ni lazima daima jicho langu litazame kukasirisha kwao.
3 Nyt siis taivuta sinus, ja ole itse minun takaukseni! kukas muu olis, joka minua takais?
Nipe sasa ahadi, uwe uthibitisho kwangu mimi pamoja na wewe mwenyewe; nani mwingine yuko pale ambaye atanisaidia mimi?
4 Ymmärryksen olet sinä heidän sydämistänsä kätkenyt, sentähden et sinä korota heitä.
Kwa kuwa wewe Mungu umemeitunza mioyo yao kutoka katika ufahamu; kwa hiyo, wewe hautawaheshimisha wao juu yangu mimi.
5 Hän kerskaa ystävillensä saaliistansa, mutta hänen lastensa silmät pitää vaipuman.
Yeye ambaye huwapinga rafiki zake hadharani, kwa ajili ya tuzo, macho ya watoto wake yatashindwa kuona.
6 Hän on minun pannut sananlaskuksi kansain sekaan, ja ääniksi heidän keskellensä.
Lakini amenifanya mimi kuwa neno la kuzungumziwa na watu; wao wananitemea mate katika uso wangu mimi.
7 Minun silmäni ovat pimenneet minun suruni tähden, ja kaikki minun jäseneni ovat niinkuin varjo.
Jicho langu pia halioni vizuri kwa sababu ya huzuni; sehemu zangu zote za mwili ni nyembamba kama vivuli.
8 Tästä hurskaat hämmästyvät, ja viattomat asettavat heitänsä ulkokullatuita vastaan.
Watu wanyoofu watapendezwa na hiki; mtu asiye na hatia atajitia yeye mwenyewe juu ya kushindana dhidi ya watu wasiomcha Mungu.
9 Hurskas pysyy tielIänsä: ja jolla on puhtaat kädet, se pysyy vahvana.
Mtu mwenye haki ataendelea katika njia yake; yeye ambaye ana mikono iliyo safi ataendelea kuwa mwenye nguvu zaidi na zaidi.
10 Kääntäkäät siis teitänne kaikki ja tulkaat nyt: en minä kuitenkaan löydä yhtään taitavaa teidän seassanne.
Lakini kama ilivyo kwenu ninyi nyote, njooni sasa; Mimi sitampata mtu mwenye hekima miongoni mwenu ninyi.
11 Minun päiväni ovat kuluneet: minun aivoitukseni ovat hajoitetut, jotka minun sydämessäni olivat,
Siku zangu zimepita; mipango yangu imenyamazishwa na hivyo ni matumaini ya moyo wangu.
12 Ja ovat yöstä päivän, ja valkeuden pimeydestä tehneet.
Watu hawa, wenye kukejeli, badili usiku kuwa mchana; mchana uko karibu kuwa giza.
13 Ja ehkä minä kauvan odottaisin, niin on kuitenkin hauta minun huoneeni, ja minä olen vuoteeni pimeydessä tehnyt. (Sheol )
Tangu mimi nitazame katika Kuzimu kama nyumbani kwangu; tangu Mimi nimetandaza kiti changu katika giza; (Sheol )
14 Mätänemisen minä kutsuin isäkseni, ja madot äidikseni ja sisarekseni.
tangu Mimi nimesema na shimo 'Wewe ni baba yangu,' na kwa funza, 'Wewe ni mama yangu au dada yangu;
15 Kussa on nyt minun odottamiseni? ja kuka ottaa minun toivostani vaarin?
liko wapi tena tumaini langu? Kama kwa tumaini langu, nani awezaye kuona chochote?
16 Hautaan se menee, ja makaa minun kanssani mullassa. (Sheol )
Tumaini litakwenda pamoja na mimi katika milango ya Kuzimu wakati sisi tutakapokwenda katika mavumbi? (Sheol )