< 1 Mooseksen 2 >

1 Ja niin taivas ja maa päätettiin, ja kaikki heidän joukkonsa.
Kisha mbingu na nchi zilimalizika, na viumbe hai vyote vilivyo jaza mbingu na nchi.
2 Ja Jumala oli päättänyt seitsemänteen päivään (asti) työnsä, kuin hän tehnyt oli, ja lepäsi seitsemäntenä päivänä kaikista teoistansa, kuin hän tehnyt oli.
Siku ya saba Mungu alifikia mwisho wa kazi yake ambayo aliifanya, na kwa hiyo alipumzika siku ya saba kutoka kwenye kazi yake yote.
3 Ja Jumala siunasi seitsemännen päivän ja pyhitti sen; että hän lepäsi hänessä kaikista teoistansa, jotka Jumala loi ja (täydellisesti) teki.
Mungu akaibarikia siku ya saba na akaitakasa, kwa sababu katika siku hiyo alipumzika kutoka kwenye kazi yake yote ambayo aliifanya katika uumbaji.
4 Ja näin on taivas ja maa tullut, koska he luotiin, sillä ajalla jolla Herra Jumala teki maan ja taivaan.
Haya yalikuwa ni matukio yahusuyo mbingu na nchi, wakati vilipoumbwa, katika siku ambayo Yahwe Mungu aliumba nchi na mbingu.
5 Ja kaikkinaiset pensaat kedolla, jotka ei ennen olleet maan päällä, ja kaikkinaiset ruohot kedolla, jotka ei ennen kasvaneet. Sillä ei Herra Jumala antanut vielä sataa maan päälle, eikä ollut ihmistä, joka maata viljeli;
Hapakuwa na msitu wa shambani uliokuwa katika nchi, na hapakuwa na mmea wa shambani uliokuwa umechipuka, kwa kuwa Yahwe Mungu alikuwa hajasababisha mvua kunyesha juu ya nchi, na hapakuwa na mtu wa kulima ardhi.
6 Vaan sumu nousi maasta, ja kasti kaiken maan.
Lakini ukungu uliinuka juu kutoka kwenye nchi na kuutia maji uso wote wa ardhi.
7 Ja Herra Jumala teki ihmisen, tomun maasta, ja puhalsi hänen sieraimiinsa elävän hengen: ja tuli ihminen niin eläväksi sieluksi.
Yahwe Mungu aliumba mtu kutoka mavumbi ya ardhi, na akampulizia puani pumzi ya uhai, na mtu akawa kiumbe hai.
8 Ja Herra Jumala istutti Paradisin Edenissä itään päin, ja pani siihen ihmisen, jonka hän tehnyt oli.
Yahwe Mungu aliotesha bustani upande wa mashariki, katika Edeni, na pale akamuweka mtu ambaye alimuumba.
9 Ja Herra Jumala kasvatti maasta kaikkinaiset puut, ihanaiset nähdä ja hyvät syödä, ja elämän puun keskelle Paradisia, niin myös hyvän ja pahan tiedon puun.
Kutoka ardhini Yahwe Mungu alifanya kila mti uote ambao unapendeza na ni mzuri kwa chakula. Hii ni pamoja na mti wa uzima ambao ulikuwa katikati ya bustani, na mti wa ujuzi wa mema na mabaya.
10 Ja Edenistä kävi virta kastamaan Paradisia, ja jakoi sieltä itsensä neljäksi päävirraksi.
Mto ukatoka nje ya Edeni kuitia maji bustani. Na kutoka pale ukagawanyika na kuwa mito minne.
11 Ensimäinen kutsutaan Pison: se juoksee koko Hevilan maan ympärinsä, ja siellä on kultaa.
Jina la ule wa kwanza ni Pishoni. Huu ni ule ambao unatiririka kupitia nchi yote ya Havila, ambapo kuna dhahabu.
12 Ja sen maan kulta on kallis, ja siellä myös löytään Bedellion, ja kallis kivi Oniks.
Dhahabu ya inchi ile ni nzuri. pia kuna bedola na jiwe shohamu.
13 Toinen virta kutsutaan Gihon: se juoksee koko Etiopian ympärinsä.
Jina la mto wa pili ni Gihoni. Huu unatiririka kupitia nchi yote ya kushi.
14 Kolmas virta kutsutaan Hiddekel, ja juoksee Assyrian editse. Ja neljäs virta on Phrat.
Jina la mto wa tatu ni Hidekeli, ambao unatiririka mashariki mwa Ashuru. Mto wa nne ni Frati.
15 Ja Herra Jumala otti ihmisen, ja pani Edenissä Paradisiin, viljelemään ja varjelemaan sitä.
Yahwe Mungu alimtwaa mtu na kumweka ndani ya bustani ya Edeni kuilima na kuitunza.
16 Ja Herra Jumala käski ihmistä, ja sanoi: syö vapaasti kaikkinaisista puista Paradisissa;
Yahwe Mungu alimuagiza mtu akisema, “kutoka kwenye kila mti bustanini waweza kula kwa uhuru.
17 Mutta hyvän ja pahan tiedon puusta älä syö: sillä jona päivänä sinä siitä syöt, pitää sinun kuolemalla kuoleman.
Lakini kutoka kwenye mti wa ujuzi wa mema na mabaya usile, kwa kuwa siku utakayo kula kutoka katika mti huo, utakufa hakika.”
18 Ja Herra Jumala sanoi: ei ole hyvä ihmisen yksinänsä olla, minä teen hänelle avun, joka hänen tykönänsä oleman pitää.
Kisha Yahwe Mungu akasema, “siyo jambo jema kwamba mtu huyu lazima awe pekeyake. Nitamfanyia msaidizi anaye mfaa.”
19 Koska Herra Jumala oli tehnyt maasta kaikkinaiset eläimet kedolle, ja kaikkinaiset taivaan linnut, toi hän ne Adamin eteen, että hän näkis, kuinka hän ne nimittäis: sillä niinkuin Adam kaikkinaiset eläimet nimitti, niin ne kutsutaan.
Kutoka ardhini Yahwe Mungu akafanya kila mnyama wa kondeni na kila ndege wa angani. Kisha akawaleta kwa mtu huyu aone angewapatia majina gani. Jina ambalo mtu huyu alimwita kila kiumbe hai, hili ndilo lilikuwa jina lake.
20 Ja Adam antoi kullekin karjalle, ja taivaan linnuille, ja eläimille maan päällä heidän nimensä. Mutta Adamille ei löytty apua, joka hänen tykönänsä olisi.
Mtu huyu akawapatia majina wanyama wote, ndege wote wa angani, na kila mnyama wa mwitu. Lakini kwa mtu mwenyewe hapakuwa na msaidizi wa kumfaa yeye.
21 Ja Herra jumala pani raskaan unen Adamiin, ja kuin hän nukkui, otti hän yhden hänen kylkiluistansa, ja täytti sen paikan lihalla.
Yahwe Mungu akaleta usingizi mzito kwa mtu huyu, kwa hiyo mtu huyu akalala. Yahwe Mungu akatwaa moja ya mbavu za mtu huyu na akapafunika pale alipo chukua ubavu.
22 Ja Herra Jumala rakensi vaimon siitä kylkiluusta, jonka hän Adamista otti, ja toi sen hänen eteensä.
Kwa ubavu ambao Yahwe Mungu alichukua toka kwa mtu huyu, akafanya mwanamke na akamleta kwa mtu huyu.
23 Niin sanoi Adam: tämä on nyt luu minun luistani, ja liha minun lihastani: se pitää kutsuttaman miehiseksi, sillä hän on otettu miehestä.
Mwanaume akasema, “kwa sasa, huyu ni mfupa katika mifupa yangu, na nyama katika nyama yangu. ataitwa 'mwanamke,' kwa sababu ametwaliwa katika mwanaume.
24 Sentähden pitää miehen luopuman isästänsä ja äidistänsä, ja vaimoonsa sidottu oleman, ja tulevat yhdeksi lihaksi.
Kwa hiyo mwanaume atawaacha baba yake na mama yake, ataungamanika na mke wake, na watakuwa mwili mmoja.
25 Ja he olivat molemmat alasti, Adam ja hänen emäntänsä, ja ei hävenneet.
Wote wawili walikuwa uchi, mwanaume na mke wake, lakini hawakuona aibu.

< 1 Mooseksen 2 >