< Esran 3 >
1 Kuin seitsemäs kuukausi oli tullut ja Israelin lapset olivat kaupungeissansa, tuli kansa kokoon niinkuin yksi mies Jerusalemiin.
Ilikuwa miezi saba baaada ya watu wa Israeli kurudi kwenye miji yao, ndipo walipojikusanya pamoja kama mtu mmoja katika Yerusalem.
2 Niin nousi Jesua Jotsadakin poika, ja papit hänen veljensä, ja Serubbabel Sealtielin poika ja hänen veljensä ja rakensivat Israelin Jumalan alttarin uhrataksensa sen päällä polttouhria, niinkuin kirjoitettu on Moseksen, Jumalan miehen, laissa.
Yeshua mwana wa Yosadaki na kaka yake kuhani, na Zerubabeli mwana wa Sheatieli na kaka yake wakainuka na kujenga madhabahu ya Mungu wa Israeli na kutoa sadaka ya kuteketezwa kama ilivyoagizwa katika sheria ya Musa, Mtu wa Mungu.
3 Ja he laskivat alttarin perustuksensa päälle, vaikka he pelkäsivät sen maan kansoja; ja he uhrasivat sen päällä Herralle polttouhria aamulla ja ehtoolla.
Ndipo wakaanzisha madhabahu juu ya msingi, kwa hofu waliokuwa nayo kwa sababu ya watu wa nchi/ Wakatoa sadaka ya kuteketezwa kwa Yahwe asubuhi na jioni.
4 Ja he pitivät lehtimajan juhlaa niinkuin kirjoitettu on, ja tekivät polttouhria joka päivä, sen luvun jälkeen kuin tapa oli, kunkin päivänänsä,
Pia vilevile wakaichunguza sikukuu ya vibanda kama ilivyoandikwa na wakatoa sadaka ya kuteketezwa siku kwa siku kama ilivyoagizwa, kila siku kwa siku yake.
5 Senjälkeen alinomaisia polttouhreja, ja uuden kuun, ja kaikkein Jumalalle pyhitettyin juhlain, ja kaikkinaisia mieliuhreja, joita he hyvällä mielellä tekivät Herralle.
Kulikuwa na sadaka ya kila siku ya kuteketezwa na mwezi mara moja na sadaka za siku ya Yahwe za kudumu, pamoja na sadaka zote za hiari.
6 Seitsemännen kuukauden ensimäisenä päivänä rupesivat he uhraamaan Herralle polttouhria; mutta ei Herran templin perustus ollut vielä laskettu.
Walianza kutoa sadaka za kuteketezwa za Yahwe siku ya kwanza ya mwezi wa saba, ingawa hekalu lilikuwa halijaanza kujengwa.
7 Ja he antoivat kivenhakkaajille ja taitavaille työväelle rahaa, ja ruokaa ja juomaa, ja öljyä Sidonilaisille ja Tyrolaisille, että he toisivat heille sedripuita Libanonista Japhoon merta myöten, Koreksen Persian kuninkaan suomasta,
Hivyo wakatoa fedha kwa wahunzi na fundi wa mkono, na wakawapa chakula, vinywaji na mafuta kwa watu wa Sidoni na Tiro, ili kwamba walete miti ya mierezi kupitia baharini kutoka Lebanoni mpaka Yafa, na kama walivyo ruhusiwa na mfalme Koreshi wa Uajemi.
8 Mutta toisena vuonna sittekuin he tulivat Jerusalemiin Herran huoneen tykö, toisena kuukautena, rupesi Serubbabel Sealtielin poika, ja Jesua Jotsadakin poika, ja muut heidän jääneet veljensä, papit ja Leviläiset, ja kaikki, jotka vankeudesta tulivat Jerusalemiin, ja panivat kahdenkymmenen ajastaikaiset ja sitä vanhemmat Leviläiset Herran huoneen työn teettäjiksi.
Ndipo mwezi wa pili katika mwaka wa pili baadae wakaja kwenye nyumba ya Mungu Yerusalem, Zerubabeli, Yoshua mwana wa Yosadaki, na baadhi ya makuhani na walawi na wale walikuja kutoka uhamishoni kurudi Yerusalem wakaanza kazi. Wakawachagua walawi walikuwa na miaka ishirini na zaidi kusimamia kazi ya nyumba ya Yahwe,
9 Ja Jesua seisoi poikinensa ja veljinensä, ja Kadmiel poikinensa, ja Juudan lapset, niinkuin yksi mies teettämässä työväkeä Herran huoneessa, Henadadin lapset poikinensa, ja Leviläiset veljinensä.
Yoshua akamsimamisha kijana wake na kaka yake, Kadmiel na watoto wake, na kizazi cha yuda kusimamia kufanya kazi katika nyumba ya Mungu. Pamoja na wao kulikuwa na wana wa Henadadi, na uzao wao, na pia jamaa zao walawi.
10 Ja kuin rakentajat laskivat Herran templin perustuksen, asettivat he papit puetettuina, vaskitorvien kanssa, ja Leviläiset Asaphin pojat kanteleilla, kiittämään Herraa Davidin Israelin kuninkaan sanoilla.
Wajenzi wakasimamisha msingi wa Hekalu la Yahwe, Na hii ikawawezesha makuhani kusimama na mavazi yao wakiwa na tarumbeta, na walawi wana wa Asafu, kumtukuza Yahwe kwa matoazi, kama mkono wa mfalme Daudi wa Israel alivyoagiza.
11 Ja he veisasivat vuorottain ylistäissänsä ja kiittäissänsä Herraa, että hän on hyvä ja hänen laupiutensa pysyy ijankaikkisesti Israelin ylitse. Ja kaikki kansa huusi korkialla äänellä ja kiitti Herraa, että Herran huoneen perustus oli laskettu.
Waliimba kwa kumsifu na kumshukuru Yahwe. “Yeye ni mwema! Agano lake ni kweli kwa Israel ladumu milele.”Watu wote wakapiga kelele kwa sauti kuu za shangwe wakimsifu Yahwe kwa sababu misingi ya Hekalu ilikuwa imekamilika.
12 Mutta moni vanhoista papeista, ja Leviläisistä ja isäin päämiehistä, jotka olivat nähneet ensimäisen huoneen perustuksellansa, niin myös tämän huoneen silmäinsä edessä, itkivät suurella äänellä; ja moni huusi korkialla äänellä ilon tähden;
Lakini wengi wa Makuhani, walawi, wakuu wa kale, na wazeee wa zamani walioiona nyumba ya kwanza, wakati misingi ilipowekwa wakaishuhudia kwa macho yao, walilia kwa sauti. Lakiniwengi walipiga kelele kwa sauti za shangwe na furaha na sauti za kushangaza.
13 Että se huuto oli niin suuri, ettei kansa eroittanut ilon ääntä itkun äänestä; sillä kansa huusi korkialla äänellä, että se ääni kauvas kuului.
Na matokeo yake, watu hawakuweza kutofautisha sauti za furaha na sauti za shangwe na sauti za watu waliokuwa wanalia, kwa kuwa watu walikuwa wanalia kwa sauti kuu ya shangwe na sauti ilisikika kutoka mbali.