< Esran 10 >

1 Kuin Esra näin rukoili ja tunnusti, itki ja makasi Jumalan huoneen edessä, kokoontui suuri joukko Israelista hänen tykönsä, miehistä, vaimoista ja lapsista, ja kansa itki sangen kovin.
Wakati Ezra akiomba na kutubu, akalia na kujirusha chini mbele ya nyumba ya Mungu, kusanyiko kubwa la wanaume Israel, wanawake na watoto wakakusanyika kwake, kwa kuwa watu walikuwa wakilia sana.
2 Ja Sekania Jehielin poika, Elamin lapsista, vastasi Esraa ja sanoi: me olemme rikkoneet Jumalaamme vastaan, että me olemme ottaneet muukalaiset vaimot maan kansoista; mutta vielä on toivo sen vuoksi Israelissa.
Shekania mtoto wa Yehieli, mwana wa Elamu akamwambia Ezra, “Tumekuwa sio waaminifu kwa Mungu na tumeoa wanawake wa kigeni kutoka nchi nyingine. Lakini pamoja na hilo, bado kuna tumaini kwa Israel.
3 Niin tehkäämme nyt liitto meidän Jumalamme kanssa ajaaksemme kaikki vaimot pois ja ne, jotka heistä syntyneet ovat, Herran neuvon jälkeen ja niiden, jotka pelkäävät meidän Jumalamme käskyä; ja tapahtukoon lain jälkeen.
sasa natuweke agano pamoja na Mungu wetu kuwaondoa wanawake wote na watoto wao kulingana na maelekezo ya Bwana, na maelekezo ya wale wanaotetemeka kutokana na amri za Mungu wetu. na hii ifanyike kutokana na sheria.
4 Niin nouse, sillä sinun se tulee, me olemme sinun kanssas; ole hyvässä turvassa ja tee niin.
Simama, jambo hili linakuhusu wewe, na sisis tuko pamoja na wewe, Uwe imara na kufanya hili.
5 Silloin nousi Esra ja vannotti ylimmäiset papit ja Leviläiset, ja koko Israelin, tekemään tämän sanan jälkeen; ja he vannoivat.
Hivyo Ezra akasimama na kufanya makuhani na walawi na waisrael wote wakaahidi kufanya kwa njia hiyo. Hivyo wote wakatoa kiapo.
6 Ja Esra nousi Jumalan huoneen edestä ja meni Johananin Eliasibin pojan kammioon; ja kuin hän sinne tuli, ei hän syönyt leipää eikä juonut vettä; sillä hän murehti heidän rikostensa tähden, jotka olivat olleet vankeudessa.
Ndipo Ezra akainuka kutoka mbele ya nyumba ya Mungu na kwenda kwenye chumba ya Yehohanani mtoto wa Eliashibu, Yeye hakula mkate au kunywa maji. Tangu alipokuwa akiomboleza kuhusiana na wale wenye imani haba waliokuwa uhamishoni.
7 Ja he kuuluttivat Juudassa ja Jerusalemissa kaikille lapsille, jotka vankina olivat olleet, tulemaan kokoon Jerusalemiin.
Hivyo wakatuma neno katika Yuda na Yerusalem kwa watu wote waliorudi kutoka utumwani kukusanyika Yerusalem.
8 Ja joka ei kolmena päivänä tullut päämiesten ja vanhimpain neuvon jälkeen, niin kaikki hänen tavaransa piti kirottu oleman, ja hän itse piti eroitettaman niiden joukosta, jotka vankina olivat olleet.
Yeyote ambaye hakuja katika siku tatu kutokana na maelekezo kutoka kwa wakuu na viongozi atachukuliwa mali zote na atatengwa na kusanyiko kuu la watu ambao walikuja kutoka uhamisho.
9 Niin tulivat kaikki Juudan ja Benjaminin miehet Jerusalemiin kolmessa päivässä kokoon, se on, kahdentenakymmenentenä päivänä yhdeksännessä kuussa; ja kaikki kansa istui kadulla Herran huoneen edessä, ja värisivät siitä asiasta ja sateen tähden.
Hivyo watu wote wa Yuda na Benjamini wakakusanyika Yerusalem kwa siku tatu. Ilikuwa ni mwezi wa tisa na siku ya ishirini ya mwezi. watu wote wakasimama mbele ya nyumba ya Mungu na wakatetemeka kwa sababu ya neno na mvua.
10 Ja pappi Esra nousi ja sanoi heille: te olette rikkoneet, naidessanne muukalaisia vaimoja, ja lisänneet Israelin synnit.
Ezra kuhani akasimama na kusema, “Ninyi wenyewe mmefanya uasi, ninyi mmeishi na wanawake wa kigeni na kuongeza makosa ya Israel.
11 Niin tunnustakaat nyt se Herralle isäinne Jumalalle, ja tehkäät sitä, kuin hänelle kelpaa, ja eroittakaat teitänne maan kansoista ja muukalaisista vaimoista.
Lakini sasa mpeni sifa Yahwe, Mungu wa watangulizi wenu, na mfanye mapenzi yake, mjitenge na watu wa nchi na wanawake wa kigeni.
12 Niin vastasi koko seurakunta ja sanoi korkialla äänellä: se pitää niin tapahtuman, kuin sinä meille olet sanonut.
Kusanyiko lote likajibu kwa sauti. “Tutatenda kama ulivyosema,
13 Mutta kansaa on paljo, ja on sadeilma, ja ei voi ulkona seisoa, eikä tämä ole yhden eli kahden päivän työ; sillä meitä on paljo, jotka olemme siinä asiassa sangen suuresti syntiä tehneet.
haijalishi, kuna watu wengi na ni kipindi cha mvua. Hatuna nguvu ya kusimama nje na hii si siku moja au mbili za kufanya kazi, kwa kuwa tumekosea katika jambo hili.
14 Anna meidän päämiestemme koko seurakunnassa toimittaa, että kaikki, jotka meidän kaupungeissamme ovat naineet muukalaisia vaimoja, tulevat tänne määrättynä päivänä, jokaisen kaupungin vanhimpain ja tuomarein kanssa, siihenasti kuin meidän Jumalamme viha kääntyy meistä tämän syyn tähden.
Hivyo wakuu wetu wawakilishe kusanyiko lote, iwe kwamba wote walioruhusu wanawake wa kigeni kuishi katika miji yetu waje katika muda uliopangwa na viongozi wa mji na waamuzi wa mji hadi hapo hasira ya Mungu itakapoondoka kutoka kwetu.
15 Niin astuivat ainoastaan Jonatan Asahelin poika ja Jahasia Tikvan poika tähän toimitukseen; ja Metullam ja Sabtai, Leviläiset, auttivat heitä.
Yonathan mtoto Asaheli na Yazeya mwana wa Tikwa wakapinga hili, Meshulamu na Shabethai mlawi wakawaunga mkono wao.
16 Ja vankeuden lapset tekivät niin; ja eroitettiin Esra pappi ja päämiehet heidän isäinsä sukukuntain seassa, ja kaikki, kuin nimitetyt ovat, ja he istuivat ensimäisenä päivänä kymmenennessä kuukaudessa tutkistelemaan sitä.
Hivyo watu waliotoka uhamishoni wakafanya hivi, Ezra kuhani akachagua wanaume, viongozi watamgulizi wa ukoo na nyumba, wao wote kwa majina na wakaliangalia suala hili siku ya kwanza ya mwezi wa kumi.
17 Ja he toimittivat sen kaikkein miesten kanssa, joilla olivat muukalaiset vaimot, ensimäiseen päivään asti ensimäisessä kuussa.
Siku ya kwanza ya mwezi wa kwanza wakawa wamemaliza kuchunguza wale wanaume walioishi na wanawake wa kigeni.
18 Ja pappein poikain seasta löydettiin, jotka olivat ottaneet muukalaisia vaimoja: Jesuan Jotsadakin pojan lasten seassa, ja hänen veljeinsä Maeseja, Elieser, Jarib ja Gedalia.
Miongoni mwa wana wa kikuhani kuna wale walioishi na wanawake wa kigeni. Miongoni mwa wana wa Yoshua mtoto wa Yosadaki na kaka zake ambao walikuwa Maasela, Eliazeri, na Yaribu na Gedalia.
19 Ja he antoivat kätensä, ajamaan vaimonsa ulos ja antamaan jäärän rikosuhriksensa rikoksensa edestä;
Hivyo wakaamua kuwaondoa wake zao. kwa kuwa walikuwa na makosa, wakatoa sadaka ya kondoo kwenye mifugo kwa ajili ya makosa yao.
20 Immerin lasten seassa: Hanani ja Sebadia;
Miongoni mwa wana wa Imeri, Hanani, na Zebadia.
21 Harimin lasten seassa: Maeseja, Elia, Semaja, Jehiel ja Ussia;
Miongoni mwa wana wa Harimu, Maaseya, na Eliya na Shemaya, na Yehieli na Uzia.
22 Pashurin lasten seassa: Eljoenai, Maaseja, Ismael, Netaneel, Josabad ja Eleasa;
Miongoni mwa wana wa Pashuri, Elasa
23 Leviläisistä: Josabad, Simei ja Kelaja, se on Kelita, Petakia, Juuda ja Elieser;
Miongoni mwa walawi: Yozabadi na Shimei na Kelaya (ndiye Kelita) na Pethaia, na Yuda na Eliezeri. Miongoni mwa waimbaji Eliashibu na. Miongoni mwa walinzi Shalumu, Telemu na Uri.
24 Veisaajain seassa: Eljasib; ovenvartijain seassa: Sallum, Telem ja Uri.
Miongoni mwa Israel waliobaki -
25 Israelista Paroksen lasten seassa: Ramia, Jesia, Malkia, Mejamin, Eleasar, Malkia ja Benaja;
Miongoni mwa wana wa Paroshi, Ramia na Izia na Malkiya na Miyamini na Eliazari na Malkiya na Benaya
26 Elamin lasten seassa: Mattania, Sakaria, Jehiel, Abdi, Jeremot ja Elia;
Miongoni mwa wana wa Elamu Mataniana Zekaria, na yeehieli, na Abdi na Yeremothi na Eliya.
27 Sattun lasten seassa: Eljoenai, Eljasib, Mattania, Jeremot, Sabad ja Asisa;
Miongoni mwa wana wa Zatu: Elionai, na Eliashibu, na Matania na Yeremothi na Zabadi na Aziza.
28 Bebain lasten seassa: Johanan, Hanania, Sebai ja Atlai;
Miongoni mwa wana wa Bebai Yehohanani, na Hanania na Zakai na Athlai.
29 Banin lasten seassa: Mesullam, Malluk, Adaja, Jasub, Seal ja Jeramoth;
Miongoni mwa wana wa bani: Meshulami na Maluki, na Adaya na Yashubu na Sheali na Yeremothi.
30 Pahatmoabin lasten seassa: Adna ja Kelal, Benaja, Maeseja, Mattania, Betsaleel, Binnui ja Manasse;
Miongoni mwa wana wa Pahath-Moabu, Adna, na kelali, na Benaya na Maaseya, na Matania, na Besaleli na Binti na Manase.
31 Harimin lasten seassa: Elieser, Jesia, Malkia, Semaja, Simeon,
Na miongoni mwa wana wa Harimu: Eliezeri na Ishiya, na Malkiya na Shemaya na Shimeoni, na
32 Benjamin, Malluk ja Semaria;
Benyamini na Maluki na Shemaria
33 Hasumin lasten seassa: Mattenai, Mattatta, Sabad, Eliphelet, Jeremai, Manasse ja Simei;
Miongoni mwa wana Hashumu: Matenai, na Matatana Zabadi, na Elifereti na Yeremai, na Manase, na Shimei.
34 Banin lasten seassa: Maadai, Amram, Uel,
Miongoni mwa wana wa Bani: Maadai, na Amramu na Aueli, na
35 Benaja, Bedeja, Keluhi,
Benaya, na Bedeya na Keluhi, na
36 Vania, Meremot, Eljasib
wania, na Meremothi, Eliashibu,
37 Mattania, Mattenai, Jaasav,
Matania, na Matenai. na
38 Bani, Binnui, Simei,
Yaasi. Miongoni mwa wana wa Binui: Shimei,
39 Selemia, Natan, Adaja,
Sheremia, na Nathani, na Adaya, na
40 Maknadbai, Sasai, Sarai,
Maknadebai, na Shashai, na Sharai
41 Asareel, Selemia, Semaria,
Azareri, na Sheremia, na Shemaria, na
42 Sallum, Amaria ja Joseph;
Shalumu, na Amaria, na Yusufu.
43 Nebon lasten seassa: Jejel, Mattitia, Sabad, Sebina, Jaddai, Joel ja Benaja.
Miongoni wa wana wa Nebo: Yeieli, na Mathiana zabadi, na Zebina, na Ido, na Yoeli na Benaya.
44 Nämät kaikki olivat ottaneet muukalaisia vaimoja, ja olivat monikahdat niistä vaimoista, joiden kanssa he olivat siittäneet lapsia.
Hawa wote walikuwa wameoa wanawake wa kigeni na walikuwa wamezaa watoto baadhi yao.

< Esran 10 >