< Hesekielin 46 >

1 Näin sanoo Herra, Herra: sisimäisen kartanon portti, joka itään päin on, pitää kuutena arkipäivänä oleman kiinni, mutta sabbatina ja uudella kuulla avattaman.
“‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Lango la ukumbi wa ndani linaloelekea upande wa mashariki litakuwa linafungwa kwa siku sita za juma, ila siku ya Sabato na siku ya Mwezi Mwandamo litafunguliwa.
2 Ja päämiehen pitää menemän ulkoiselle puolelle huoneen porttia ja seisahtaman portin kynnykselle; ja pappein pitää uhraaman hänen polttouhrinsa ja kiitosuhrinsa, mutta hänen pitää rukoileman portin kynnyksellä, ja sitte jälleen menemän ulos; mutta portin pitää ehtoosen asti avoinna oleman.
Mkuu anayetawala ataingia kupitia baraza ya njia ya lango la ukumbi na kusimama karibu na nguzo ya lango. Makuhani watatoa sadaka za mkuu anayetawala za kuteketezwa na sadaka za amani. Mkuu anayetawala atasujudu kwenye kizingiti cha njia ya lango, kisha atatoka nje, lakini lango halitafungwa mpaka jioni.
3 Maan kansan pitää myös rukoileman Herran edessä, sen portin ovessa, sabbatina ja uudella kuulla.
Siku za Sabato na za Mwezi mwandamo watu wote wa nchi wataabudu mbele za Bwana penye lile ingilio la ile njia.
4 Mutta polttouhriksi, jonka päämiehen Herralle uhraaman pitää sabbatina, pitää oleman kuusi virheetöintä karitsaa ja virheettömän oinaan,
Sadaka ya kuteketezwa aletazo mkuu anayetawala kwa Bwana siku ya Sabato itakuwa ni wana-kondoo sita na kondoo dume mmoja, wote wasiwe na dosari.
5 Ja ephan sämpyläjauhoja oinaan kanssa ruokauhriksi, ja karitsain kanssa ruokauhriksi, mitä kukin voi, ja hinnin öljyä ephaan.
Sadaka ya nafaka inayotolewa pamoja na huyo kondoo dume itakuwa efa moja na sadaka ya nafaka inayotolewa na hao wana-kondoo itakuwa kiasi apendacho mtu pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.
6 Mutta uudella kuulla pitää uhraattaman nuori virheetöin härkä, ja kuusi karitsaa, ja virheetöin oinas.
Siku ya mwezi mwandamo atatoa fahali mchanga, wana-kondoo sita na kondoo dume, wote wasiwe na dosari.
7 Ja epha härjän kanssa, ja epha oinaan kanssa ruokauhriksi; mutta karitsan kanssa niin paljo kuin hän käteensä saa, ja hinni öljyä ephaan.
Atatoa kuwa sadaka ya nafaka efa moja pamoja na fahali mmoja, efa moja na kondoo dume mmoja na pamoja na wana-kondoo kama atakavyo kutoa, pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.
8 Ja kuin päämies sinne menee, niin hänen pitää menemän portin esihuoneen kautta, ja siitä tuleman ulos jälleen.
Wakati mkuu anayetawala aingiapo, atapitia kwenye baraza ya njia ya lango, naye atatoka nje kwa njia hiyo hiyo.
9 Mutta maan kansa, jotka Herran eteen tulevat suurina juhlapäivinä, ja käyvät pohjoisen portin kautta rukoilemaan, ne pitää jälleen tuleman ulos eteläportista; ja jotka eteläportista tulevat, ne pitää käymän ulos pohjoisesta portista. Ja ei pidä tuleman ulos jälleen siitä portista, josta he ovat menneet sisälle, mutta kohdastansa toiselta puolelta menemän ulos.
“‘Wakati watu wa nchi wanapokuja mbele za Bwana katika sikukuu zilizoamriwa, yeyote aingiaye kwa lango la kaskazini kuabudu atatoka nje kwa lango la kusini na yeyote aingiaye kwa lango la kusini atatoka nje kwa lango la kaskazini. Hakuna mtu yeyote atakayerudi kwa kupitia lango lile aliloingilia, lakini kila mmoja atatoka nje kwa lango linalokabili lile aliloingilia.
10 Päämiehen pitää ulos ja sisälle heidän kanssansa käymän.
Mkuu anayetawala atakuwa miongoni mwao, akiingia nao ndani wanapoingia, naye atatoka nao nje wanapotoka.
11 Ja pyhäpäivinä ja juhlapäivinä pitää uhrattaman ruokauhriksi mullin kanssa epha, ja oinaan kanssa epha, ja karitsan kanssa niin paljon kuin hän saa käteensä, ja hinni öljyä ephan kanssa.
“‘Kwenye sikukuu na kwenye sikukuu zilizoamriwa, sadaka ya nafaka itakuwa efa moja pamoja na fahali mmoja, efa moja pamoja na kondoo dume mmoja, pamoja na idadi ya wana-kondoo kama mtu apendavyo kutoa, pamoja na hini ya mafuta kwa kila efa.
12 Mutta kuin päämies tahtoo tehdä vapaaehtoisen polttouhrin eli kiitosuhrin Herralle, niin hänelle pitää avattaman itäportti, että hän saa uhrata polttouhrinsa ja kiitosuhrinsa, niinkuin hän sen sabbatinakin uhraa; ja koska hän jälleen tulee ulos, niin pitää portti pantaman kiinni hänen jälkeensä.
Mkuu anayetawala anapotoa sadaka ya hiari kwa Bwana, ikiwa ni sadaka ya kuteketezwa au sadaka ya amani, lango linaloelekea mashariki litafunguliwa kwa ajili yake. Atatoa sadaka yake ya kuteketezwa au sadaka yake ya amani kama afanyavyo katika siku ya Sabato. Kisha atatoka nje, naye akiisha kutoka nje, lango litafungwa.
13 Ja sinun pitää tekemän Herralle joka päivä polttouhria, vuotisen virheettömän karitsan; sen pitää sinun uhraaman joka aamulla,
“‘Kila siku utamtoa mwana-kondoo wa mwaka mmoja asiyekuwa na dosari kwa ajili ya sadaka ya kuteketezwa kwa Bwana, utaitoa kila siku asubuhi.
14 Ja joka aamulla paneman siihen päälle kuudennen osan ephaa ruokauhriksi, ja kolmannen osan hinniä öljyä, sekoitettu sämpyläjauhoihin: se pitää oleman jokapäiväinen ruokauhrin sääty Herralle.
Pia kila siku asubuhi pamoja na hiyo sadaka utatoa sadaka ya nafaka, ikiwa na sehemu ya sita ya efa pamoja na theluthi moja ya hini ya mafuta ya kuchanganya na ule unga. Utoaji wa sadaka hii ya nafaka kwa Bwana ni amri ya daima.
15 Ja näin pitää heidän aina uhraaman karitsan ruokauhrin ja öljyn kanssa joka aamu alinomaiseksi polttouhriksi.
Kwa hiyo mwana-kondoo na sadaka ya nafaka na mafuta vitatolewa kila siku asubuhi kwa ajili ya sadaka ya daima ya kuteketezwa.
16 Näin sanoo Herra, Herra: kuin päämies antaa yhdelle pojistansa lahjan hänen perinnöstänsä, sen pitää oleman hänen poikansa oma perintö.
“‘Hili ndilo Bwana Mwenyezi asemalo: Ikiwa mkuu atawalaye atatoa zawadi kutoka kwenye urithi wake na kumpa mmoja wa wanawe, hiyo zawadi itakuwa pia kwa wazao wake, itakuwa mali yao kwa urithi.
17 Mutta jos hän antaa lahjan yhdelle palvelijoistansa hänen perinnöstänsä, niin se pitää sen oma oleman vapaavuoteen saakka, ja niin pitää se jälleen päämiehelle tuleman; sillä hänen osansa pitää ainoasti hänen poikansa perimän.
Hata hivyo, kama atatoa zawadi kutoka urithi wake na kumpa mmoja wa watumishi wake, mtumishi anaweza kuiweka mpaka mwaka wa uhuru, kisha itarudishwa kwa mkuu anayetawala. Urithi wake ni wa wanawe peke yao, ni mali yao.
18 Ja ei päämiehen pidä mitään ottaman kansan perinnöstä, eli ajaman heitä pois heidän omastansa; mutta pitää antaman lapsille heidän perintönsä, ettei minun kansani tulisi hajoitetuksi pois omaisuudestansa.
Mkuu anayetawala hana ruhusa kuchukua urithi wowote wa watu na kuwaondoa kwenye mali zao. Mkuu atawalaye atawapa wanawe urithi wao, kutoka kwenye mali zake mwenyewe, ili kwamba pasiwe na mtu wangu yeyote atakayetengwa na urithi wake.’”
19 Ja hän vei minun läpikäytävän sivulle pohjan porttia päin, pyhän kammioihin, jotka pappein olivat; ja katso, siellä oli yksi sia kahdessa kulmassa länteen päin.
Kisha mtu yule akanileta kwa kupitia kwenye ingilio lililokuwa kando ya lango mpaka kwenye vyumba vitakatifu vinavyoelekea kaskazini, ambavyo ni vya makuhani, naye akanionyesha mahali fulani upande wa mwisho wa magharibi.
20 Ja hän sanoi minulle: tämä on se sia, jossa papit vikauhrin ja syntiuhrin keittämän pitää, ja leipoman ruokauhrin, ettei heidän tarvitse niitä ulkonaiselle kartanolle kantaa, pyhittämään kansaa.
Akaniambia, “Mahali hapa ndipo makuhani watakapotokosea sadaka ya hatia na sadaka ya dhambi na kuoka sadaka ya nafaka, kuepuka kuzileta katika ukumbi wa nje na kushirikisha utakatifu kwa watu.”
21 Ja hän vei minun ulos ulkonaiseen kartanoon, ja johdatti minun neljään kartanon kulmiin; ja katso, siellä oli esihuone kussakin kulmassa toinen toisensa edessä.
Baada ya hapo akanileta kwenye ukumbi wa nje na kunizungusha kwenye pembe zake nne, nami nikaona katika kila pembe ya huo ukumbi kulikuwa na ukumbi mwingine.
22 Jokaisessa neljässä kartanon kulmassa olivat esihuoneet toinen toisensa kanssa, neljäkymmentä kyynärää pitkät ja kolmekymmentä kyynärää leveät, eroitetut vähiin paikkoihin, niin leviä yksi kuin toinenkin.
Katika pembe nne za huo ukumbi wa nje kulikuwa na kumbi nyingine, zenye urefu wa dhiraa arobaini na upana wake dhiraa thelathini, ambapo hizo kumbi kwenye hizo pembe nne zilikuwa na vipimo vilivyo sawa.
23 Ja siellä kävi yksi vähä muuri ympäri kaikkia niitä neljää; ja siellä olivat totot tehdyt alhaalla ympäri muurin.
Mzunguko wa ndani wa hizo kumbi nne ulikuwa na ukingo wa jiwe, zikiwa na sehemu zilizojengwa kwa ajili ya moto kuzunguka chini ya huo ukingo.
24 Ja hän sanoi minulle: nämät ovat keittosiat, joissa palveliat, jotka huoneessa palvelusta tekevät, keittämän pitää kansan uhrin.
Akaniambia, “Hizi ndizo sehemu za kupikia ambazo wale wanaohudumu kwenye Hekalu watatokosea dhabihu za watu.”

< Hesekielin 46 >