< 2 Mooseksen 39 >

1 Mutta sinisistä, ja purpuraisista, ja tulipunaisista villoista tekivät he virkavaatteita palvelukseen pyhässä: ja he tekivät pyhiä vaatteita Aaronille, niinkuin Herra oli käskenyt Mosekselle.
Na kutokana na ule uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili wakafanya mavazi yaliyofumwa kwa ajili ya kuhudumu katika mahali patakatifu. Basi wakafanya yale mavazi matakatifu yaliyokuwa kwa ajili ya Aruni, kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamuru Musa.
2 Ja hän teki päällisvaatteen kullasta, sinisistä, ja purpuraisista, ja tulipunaisista villoista ja valkiasta kerratusta liinasta.
Basi akaifanya ile naivera ya dhahabu, uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa.
3 Ja he takoivat kullan kiskoksi, jonka hän leikkasi langaksi, että se taittiin taitavasti kudottaa sinisten, purpuraisten ja tulipunaisten villain ja valkian liinan seassa.
Kisha wakafua mabamba ya dhahabu yawe mabamba membamba, naye akakata nyuzi za kufuma pamoja na ule uzi wa bluu na ile sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kile kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kile kitani bora, kama kazi ya mjenzi.
4 He tekivät hänelle olkavaatteet, yhteensidotut: kahdelta kulmalta se yhdistettiin.
Wakaifanyia vipande vya begani vilivyounganishwa. Iliunganishwa kwenye miisho yake miwili.
5 Ja vyö sen päällä oli myös tehty sillä tavalla taitavasti kullasta, sinisistä, purpuraisista, ja tulipunaisista villoista ja valkiasta kerratusta liinasta: niinkuin Herra oli käskenyt Mosekselle.
Nao mshipi, uliokuwa juu yake ili kuifunga, ulikuwa wa kitambaa kilekile kulingana na ufundi wake, wa dhahabu, uzi wa bluu, na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamuru Musa.
6 Ja he tekivät onikin kivet, kiinnitetyt kultaan: kaivetut sinetin tavalla Israelin lasten nimein jälkeen.
Kisha wakafanya mawe ya shohamu yaliyopangwa kwenye mapambo ya dhahabu, yaliyochongwa kwa michoro ya muhuri kulingana na majina ya wana wa Israeli.
7 Ja istuttivat ne olkapäille päällisvaatteesen, että ne kivet piti oleman Israelin lapsille muistoksi: niinkuin Herra oli käskenyt Mosekselle.
Bezaleli akayaweka kwenye vile vipande vya begani vya naivera yawe mawe ya ukumbusho kwa ajili ya wana wa Israeli, kama vile Yehova alivyokuwa amemwamuru Musa.
8 Ja he tekivät rintavaatteen sillä tavalla taitavasti, kuin päällisvaatekin oli tehty: kullasta, sinisistä, ja purpuraisista villoista, ja kalliista kerratusta liinasta,
Kisha akafanya kile kifuko cha kifuani kwa ufundi wa mjenzi, kama ule ufundi wa naivera, kutokana na dhahabu, uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa.
9 Niin että se oli nelitahkoinen ja kaksikertainen: vaaksa pituudelta ja vaaksa leveydeltä, aina kaksikertaisesti.
Kilikuwa mraba kilipokunjwa. Walikifanya kile kifuko cha kifuani, kinapokunjwa, shubiri moja urefu wake na shubiri moja upana wake.
10 Ja täytti sen neljällä kivirivillä: ensimäinen rivi oli sardius, topatsius ja smaragdi;
Kisha wakakijaza kwa mistari minne ya mawe. Mstari wa zabarijadi, topazi na zumaridi ulikuwa mstari wa kwanza.
11 Toinen rivi: rubin, saphiir ja demanti;
Nao mstari wa pili ulikuwa feruzi, yakuti na yaspi.
12 Kolmas rivi: lynkurius, akat ja ametisti;
Nao mstari wa tatu ulikuwa jiwe la leshemi, akiki na amethisti.
13 Ja neljäs rivi: turkos, oniks ja jaspis: kiinnitetyt ympäriltä kullalla joka riviltä.
Nao mstari wa nne ulikuwa krisolito na shohamu na yashefi. Yaliwekwa katika mapambo ya dhahabu katika mahali pake.
14 Ja nämät kivet olivat Israelin lasten nimein jälkeen kaksitoistakymmentä, kaivetut sinetin tavalla, itsekukin nimeltänsä, kahdentoistakymmentä sukukunnan jälkeen.
Na mawe hayo yalikuwa kulingana na majina ya wana wa Israeli. Yalikuwa kumi na mawili kulingana na majina yao, kwa michongo ya muhuri, kila moja kulingana na jina lake kwa ajili ya yale makabila kumi na mawili.
15 He tekivät myös rintavaatteen päälle vitjat kahden pään kanssa, vääten puhtaasta kullasta.
Nao wakafanya juu ya kile kifuko cha kifuani minyororo yenye mashada, msokoto wa kamba, wa dhahabu safi.
16 Ja he tekivät kaksi kultanastaa, ja kaksi kultarengasta, ja yhdistivät ne kaksi rengasta kahteen rintavaatteen palteesen.
Kisha wakafanya mapambo mawili ya dhahabu na pete mbili za dhahabu na kuziweka hizo pete mbili kwenye ile miisho miwili ya kile kifuko cha kifuani.
17 Ja pistivät ne kaksi kultavitjaa niihin kahteen renkaasen, rintavaatteen kulmiin.
Baada ya hilo wakapitisha zile kamba mbili za dhahabu kwenye zile pete mbili zilizo kwenye miisho ya kile kifuko cha kifuani.
18 Mutta ne kaksi päätä vitjoista panivat he ylös niihin kahteen nastaan, ja yhdistivät ne päällisvaatteen kulmilta, juuri toinen toisensa kohdalle.
Nao wakapitisha ile miisho miwili ya zile kamba mbili kwenye yale mapambo mawili. Halafu wakaiweka juu ya vile vipande vya begani vya naivera, mbele yake.
19 Niin he tekivät kaksi muuta kultarengasta, ja yhdistivät ne niihin toisiin kahteen rintavaatteen kulmaan, sen palteesen joka on päällisvaatteen sivussa sisällisellä puolella.
Kisha wakafanya pete mbili za dhahabu na kuziweka kwenye ile miisho miwili ya kile kifuko cha kifuani kwenye upindo wake ulio upande unaoelekea ile efodi upande wa ndani.
20 Ja he tekivät kaksi muuta kultarengasta: ne panivat he kahteen kulmaan alhaallepäin päällisvaatteesen, toinen toisensa kohdalle, sitä saumaa kohden, päällisvaatteen vyön ylimmäiselle puolelle,
Halafu wakafanya pete mbili za dhahabu na kuziweka juu ya vile vipande viwili vya begani vya efodi upande wake wa chini, sehemu yake ya mbele, karibu na mahali pake pa kuungania, juu ya ule mshipi wa naivera.
21 Niin että rintavaate yhdistettiin renkainensa niihin renkaisiin, kuin oli päällisvaatteessa, sinisellä nuoralla, niin että se olis liki päällisvaatetta, ja ei eriäis päällisvaatteesta: niinkuin Herra käski Mosekselle.
Mwishowe wakakifunga kile kifuko cha kifuani kwa pete zake kwenye zile pete za efodi kwa uzi wa bluu, ili kipate kuwa juu ya mshipi wa efodi na kile kifuko cha kifuani kisiondoke juu ya efodi, kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamuru Musa.
22 Hän teki myös hameen päällisvaatteen alle, kokonansa kudotun sinisistä villoista.
Bezaleli akafanya lile koti la naivera, lote la uzi wa zambarau, kazi ya mshonaji.
23 Ja päänläven keskelle, niinkuin pantsarin päänläven; sepaluksen päänläven ympärille pallistetun, ettei se kehkiäisi.
Na sehemu wazi ya hilo koti ilikuwa katikati yake, kama sehemu wazi ya vazi la chuma. Sehemu hiyo iliyo wazi ilikuwa na ukingo kuizunguka pande zote ili isiraruke.
24 Ja he tekivät granaatin omenat alhaalle hameen liepeisiin sinisistä, ja purpuraisista ja tulipunaisista villoista, jotka kerratut olivat.
Halafu wakafanya kwenye upindo wa hilo koti makomamanga ya uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili, vilivyosokotwa pamoja.
25 Ja tekivät kulkuiset puhtaasta kullasta, ja panivat ne kulkuiset granaatin omenain välille ympärille, hameen liepeisiin.
Wakafanya kengele za dhahabu safi na kuziweka kengele hizo katikati ya makomamanga kwenye upindo wa lile koti kuzunguka pande zote, katikati ya makomamanga;
26 Niin että kulkuinen ja granaatin omena oli vuoroin ympärinsä hameen liepeitä: palvelemaan sillä, niinkuin Herra käskenyt oli Mosekselle.
kengele na komamanga, kengele na komamanga kwenye upindo wa hilo koti kuzunguka pande zote, kwa ajili ya kuhudumu, kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamuru Musa.
27 Ja he tekivät myös ahtaat hameet, kudotut valkiasta kalliista liinasta, Aaronille ja hänen pojillensa,
Kisha wakafanya zile kamba za kitani bora, kwa ajili ya Haruni na wanawe.
28 Ja hiipan valkiasta kalliista liinasta, ja kauniit lakit valkiasta kalliista liinasta, ja alusvaatteet valkiasta kerratusta liinasta,
Na kile kilemba cha kitani bora na yale mavalio ya kichwani ya mapambo ya kitani bora na zile suruali za kitani bora kilichosokotwa,
29 Ja taitavasti neulotun vyön valkiasta kerratusta kalliista liinasta, sinisistä, ja purpuraisista, ja tulipunaisista villoista: niinkuin Herra käskenyt oli Mosekselle:
na ule ukumbuu wa kitani bora kilichosokotwa na uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili, kazi ya mfumaji, kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamuru Musa.
30 He tekivät myös otsalehden, pyhän kruunun päälle, puhtaasta kullasta, ja kaivoivat kirjoituksen siihen, niinkuin sinetti kaivetaan: HERRAN PYHYYS.
Mwishowe wakafanya lile bamba linalong’aa, ishara takatifu ya wakfu, kutokana na dhahabu safi na kuandika juu yake maandishi kwa mchongo wa muhuri: “Utakatifu kwa Yahweh.”
31 Ja sitoivat sen päälle sinisen nuoran, että sen piti yhdistämän hiipan ylhäältä: niinkuin Herra oli käskenyt Mosekselle.
Kisha wakalitia uzi wa bluu ili waliweke juu ya kile kilemba upande wa juu. Kama vile Yahweh alivyokuwa amemwamuru Musa.
32 Ja niin kaikki seurakunnan majan rakennus päätettiin. Ja Israelin lapset tekivät kaikki sen jälkeen, kuin Herra oli käskenyt Mosekselle; niin he tekivät.
Basi kazi ya ile maskani ya hema la mkutano ikafikia mwisho wake. Kwa maana wana wa Israeli waliendelea kufanya kulingana na yote ambayo Yahweh alikuwa amemwamuru Musa.
33 Ja he kantoivat majan Moseksen tykö kaluinensa: sen koukut, laudat, korennot, patsaat ja jalat.
Nao wakaileta maskani kwa Musa, lile hema pamoja na vyombo vyake vyote, kulabu zake, viunzi vyake vya mbao, miti yake na nguzo zake na vikalio vyake,
34 Ja peitteen punalla painetuista oinaan nahoista, peitteen tekasjim-nahoista: ja peitteen esiripun,
na kifuniko chake cha ngozi za kondoo-dume zilizotiwa rangi nyekundu na kifuniko chake cha ngozi za sili na pazia la kisitiri,
35 Todistusarkin korentoinensa, ja myös armo-istuimen,
na sanduku la ushuhuda na miti yake na kifuniko.
36 Pöydän kaikkein astiainsa kanssa, ja katsomusleivät,
Wakaleta meza, vyombo vyake vyote, na ule mkate wa wonyesho,
37 Puhtaan kynttiläjalan valmistetun lamppuinensa, kaiken sen kanssa kuin siihen tarvittiin, ja öljyä valkeudeksi,
kile kinara cha taa cha dhahabu safi, taa zake, ule mstari wa taa, na vyombo vyake vyote na yale mafuta ya kuangazia taa,
38 Kulta-alttarin ja voidellusöljyn, ja yrttein suitsutuksen, ja majan ovivaatteen,
na madhabahu ya dhahabu na yale mafuta yanayotumiwa kutia mafuta na ule uvumba uliotiwa manukato na kile kisitiri kwa ajili ya mwingilio wa hema,
39 Vaskisen alttarin ja vaskisen häkin korentoinensa, ja kaikkein kaluinsa kanssa, ja pesoastian jalkoinensa,
ile madhabahu ya shaba na kile kiunzi chake cha shaba, miti yake na vyombo vyake vyote, ile beseni na kinara chake,
40 Pihan vaatteet patsainensa ja jalkoinensa, vaatteen pihan sisällekäytävän eteen, köysinensä ja vaajoinensa, ja kaikki seurakunnan majan palveluksen astiat,
Wakaleta mapazia ya ua, nguzo zake na vikalio vyake na kile kisitiri kwa ajili ya lango la ua, kamba zake za hema na misumari yake ya hema na vyombo vyote kwa ajili ya utumishi wa maskani, kwa ajili ya hema ya kukutania.
41 Virkavaatteet palveltaa pyhässä, papin Aaronin pyhät vaatteet, ja hänen poikainsa vaatteet, joilla heidän piti tekemän papin viran palveluksen:
Wakaleta yale mavazi yaliyofumwa kwa ajili ya kuhudumu katika patakatifu, yale mavazi matakatifu kwa ajili ya Aruni kuhani na mavazi ya wanawe ya kutumikia wakiwa makuhani.
42 Kaikkein niiden jälkeen mitkä Herra oli käskenyt Mosekselle: niin tekivät Israelin lapset kaiken sen työn.
Kulingana na yote ambayo Yahweh alikuwa amemwamuru Musa, hivyo ndivyo wana wa Israeli walivyoufanya utumishi wote.
43 Ja Moses näki kaiken tämän rakennuksen, että he olivat tehneet sen, niinkuin Herra oli käskenyt; ja Moses siunasi heitä.
Naye Musa akaiona ile kazi yote, na, tazama, walikuwa wameifanya kama vile Yahweh alivyokuwa ameamuru. Hivyo ndivyo walivyokuwa wamefanya. Basi Musa akawabariki.

< 2 Mooseksen 39 >