< 2 Mooseksen 39 >
1 Mutta sinisistä, ja purpuraisista, ja tulipunaisista villoista tekivät he virkavaatteita palvelukseen pyhässä: ja he tekivät pyhiä vaatteita Aaronille, niinkuin Herra oli käskenyt Mosekselle.
Kutokana na nyuzi za rangi ya buluu, ya zambarau na nyekundu akatengeneza mavazi yaliyofumwa kwa ajili ya kuhudumu katika mahali patakatifu. Pia akamshonea Aroni mavazi matakatifu, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
2 Ja hän teki päällisvaatteen kullasta, sinisistä, ja purpuraisista, ja tulipunaisista villoista ja valkiasta kerratusta liinasta.
Akatengeneza kisibau cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na kitani iliyosokotwa vizuri.
3 Ja he takoivat kullan kiskoksi, jonka hän leikkasi langaksi, että se taittiin taitavasti kudottaa sinisten, purpuraisten ja tulipunaisten villain ja valkian liinan seassa.
Akafua vipande vyembamba vya dhahabu kwa nyundo na kutengeneza nyuzi nyembamba ili kuzifuma pamoja na hizo nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu na kitani safi, kazi ya fundi stadi.
4 He tekivät hänelle olkavaatteet, yhteensidotut: kahdelta kulmalta se yhdistettiin.
Akatengeneza vipande vya mabegani vya kisibau, vilivyoshikizwa kwenye pembe zake mbili ili kukifungia kisibau.
5 Ja vyö sen päällä oli myös tehty sillä tavalla taitavasti kullasta, sinisistä, purpuraisista, ja tulipunaisista villoista ja valkiasta kerratusta liinasta: niinkuin Herra oli käskenyt Mosekselle.
Mshipi wa kiunoni uliofumwa kwa ustadi ulifanana nacho: ulikuwa kitu kimoja na hicho kisibau, nao ulitengenezwa kwa dhahabu na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na kwa kitani iliyosokotwa vizuri, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
6 Ja he tekivät onikin kivet, kiinnitetyt kultaan: kaivetut sinetin tavalla Israelin lasten nimein jälkeen.
Akatengeneza vito vya shohamu vilivyowekwa katika vijalizo vya dhahabu, navyo vilichorwa na majina ya wana wa Israeli kama vile muhuri huchorwa.
7 Ja istuttivat ne olkapäille päällisvaatteesen, että ne kivet piti oleman Israelin lapsille muistoksi: niinkuin Herra oli käskenyt Mosekselle.
Kisha akavifungia kwenye vipande vya mabega ya kisibau kuwa vito vya ukumbusho kwa wana wa Israeli, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
8 Ja he tekivät rintavaatteen sillä tavalla taitavasti, kuin päällisvaatekin oli tehty: kullasta, sinisistä, ja purpuraisista villoista, ja kalliista kerratusta liinasta,
Akafanyiza kifuko cha kifuani, kazi ya fundi stadi. Akakitengeneza kama kile kisibau: cha dhahabu, na nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na za rangi nyekundu, cha kitani safi iliyosokotwa.
9 Niin että se oli nelitahkoinen ja kaksikertainen: vaaksa pituudelta ja vaaksa leveydeltä, aina kaksikertaisesti.
Kifuko hicho kilikuwa cha mraba, chenye urefu wa shibiri moja na upana wa shibiri moja, nacho kilikunjwa mara mbili.
10 Ja täytti sen neljällä kivirivillä: ensimäinen rivi oli sardius, topatsius ja smaragdi;
Kifuko hicho kilipambwa kwa safu nne za vito vya thamani. Safu ya kwanza ilikuwa na akiki, yakuti manjano na zabarajadi;
11 Toinen rivi: rubin, saphiir ja demanti;
safu ya pili ilikuwa na almasi, yakuti samawi na zumaridi;
12 Kolmas rivi: lynkurius, akat ja ametisti;
safu ya tatu ilikuwa na hiakintho, akiki nyekundu na amethisto;
13 Ja neljäs rivi: turkos, oniks ja jaspis: kiinnitetyt ympäriltä kullalla joka riviltä.
katika safu ya nne ilikuwa na krisolitho, shohamu na yaspi. Vito hivyo vilitiwa kwenye vijalizo vya dhahabu.
14 Ja nämät kivet olivat Israelin lasten nimein jälkeen kaksitoistakymmentä, kaivetut sinetin tavalla, itsekukin nimeltänsä, kahdentoistakymmentä sukukunnan jälkeen.
Palikuwa na vito kumi na viwili, kila kimoja kikiwa na jina mojawapo la wana wa Israeli; kila kimoja kilichorwa kama muhuri kikiwa na jina mojawapo la yale makabila kumi na mawili.
15 He tekivät myös rintavaatteen päälle vitjat kahden pään kanssa, vääten puhtaasta kullasta.
Kwa ajili ya kile kifuko cha kifuani akakitengenezea mikufu ya dhahabu safi, iliyosokotwa kama kamba.
16 Ja he tekivät kaksi kultanastaa, ja kaksi kultarengasta, ja yhdistivät ne kaksi rengasta kahteen rintavaatteen palteesen.
Akatengeneza vijalizo viwili vya dhahabu na pete mbili za dhahabu, na kuzifungia pete hizo kwenye pembe mbili za hicho kifuko cha kifuani.
17 Ja pistivät ne kaksi kultavitjaa niihin kahteen renkaasen, rintavaatteen kulmiin.
Akafunga hiyo mikufu miwili ya dhahabu kwenye hizo pete katika pembe za hicho kifuko cha kifuani,
18 Mutta ne kaksi päätä vitjoista panivat he ylös niihin kahteen nastaan, ja yhdistivät ne päällisvaatteen kulmilta, juuri toinen toisensa kohdalle.
nazo zile ncha nyingine za mkufu akazifunga kwenye vile vijalizo viwili, na kuzishikamanisha na vile vipande vya mabega vya kile kisibau upande wa mbele.
19 Niin he tekivät kaksi muuta kultarengasta, ja yhdistivät ne niihin toisiin kahteen rintavaatteen kulmaan, sen palteesen joka on päällisvaatteen sivussa sisällisellä puolella.
Akatengeneza pete mbili za dhahabu na kuzishikamanisha kwenye pembe mbili za chini, upande wa ndani wa kifuko cha kifuani karibu na kisibau.
20 Ja he tekivät kaksi muuta kultarengasta: ne panivat he kahteen kulmaan alhaallepäin päällisvaatteesen, toinen toisensa kohdalle, sitä saumaa kohden, päällisvaatteen vyön ylimmäiselle puolelle,
Kisha akatengeneza pete nyingine mbili za dhahabu na kuzishikamanisha sehemu ya chini ya vipande vya mabega upande wa mbele wa kile kisibau, karibu na pindo juu kidogo ya mshipi wa kiunoni wa kisibau.
21 Niin että rintavaate yhdistettiin renkainensa niihin renkaisiin, kuin oli päällisvaatteessa, sinisellä nuoralla, niin että se olis liki päällisvaatetta, ja ei eriäis päällisvaatteesta: niinkuin Herra käski Mosekselle.
Akafunga pete za hicho kifuko cha kifuani kwenye pete za kisibau kwa kamba ya buluu, wakiziunganisha na ule mshipi wa kiunoni, ili kifuko cha kifuani kisisogee kutoka kwenye kile kisibau, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
22 Hän teki myös hameen päällisvaatteen alle, kokonansa kudotun sinisistä villoista.
Akashona joho la kisibau lote kwa kitambaa cha rangi ya buluu tupu, kazi ya mfumaji,
23 Ja päänläven keskelle, niinkuin pantsarin päänläven; sepaluksen päänläven ympärille pallistetun, ettei se kehkiäisi.
na lilikuwa na nafasi ya shingo katikati ya joho lile iliyofanana na ukosi, na utepe ulioshonwa kuizunguka nafasi hiyo ili isichanike.
24 Ja he tekivät granaatin omenat alhaalle hameen liepeisiin sinisistä, ja purpuraisista ja tulipunaisista villoista, jotka kerratut olivat.
Akatengeneza makomamanga ya nyuzi za rangi ya buluu, za zambarau, na nyekundu na ya kitani iliyosokotwa vizuri kuzunguka pindo la hilo joho.
25 Ja tekivät kulkuiset puhtaasta kullasta, ja panivat ne kulkuiset granaatin omenain välille ympärille, hameen liepeisiin.
Kisha akatengeneza vikengele vya dhahabu safi na kuvishikamanisha kuzunguka pindo hilo kati ya hayo makomamanga.
26 Niin että kulkuinen ja granaatin omena oli vuoroin ympärinsä hameen liepeitä: palvelemaan sillä, niinkuin Herra käskenyt oli Mosekselle.
Hivyo vikengele na makomamanga vilipishana kuzunguka upindo wa joho ili livaliwe kwa kuhudumu, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
27 Ja he tekivät myös ahtaat hameet, kudotut valkiasta kalliista liinasta, Aaronille ja hänen pojillensa,
Pia akamtengenezea Aroni na wanawe makoti ya kitani safi, kazi ya mfumaji,
28 Ja hiipan valkiasta kalliista liinasta, ja kauniit lakit valkiasta kalliista liinasta, ja alusvaatteet valkiasta kerratusta liinasta,
na kilemba cha kitani safi, tepe za kichwani za kitani, na nguo za ndani za kitani iliyosokotwa vizuri.
29 Ja taitavasti neulotun vyön valkiasta kerratusta kalliista liinasta, sinisistä, ja purpuraisista, ja tulipunaisista villoista: niinkuin Herra käskenyt oli Mosekselle:
Mshipi ulikuwa wa kitani iliyosokotwa vizuri ya rangi ya buluu, na zambarau, na nyekundu, kazi ya mtarizi, kama Bwana alivyomwagiza Mose.
30 He tekivät myös otsalehden, pyhän kruunun päälle, puhtaasta kullasta, ja kaivoivat kirjoituksen siihen, niinkuin sinetti kaivetaan: HERRAN PYHYYS.
Kisha akatengeneza lile bamba, taji takatifu, kwa dhahabu safi na kuchora juu yake maneno haya kama vile muhuri huchorwa: Mtakatifu kwa Bwana.
31 Ja sitoivat sen päälle sinisen nuoran, että sen piti yhdistämän hiipan ylhäältä: niinkuin Herra oli käskenyt Mosekselle.
Kisha wakalifunga kwa kamba ya rangi ya buluu ili kulishikamanisha na kile kilemba kama Bwana alivyomwagiza Mose.
32 Ja niin kaikki seurakunnan majan rakennus päätettiin. Ja Israelin lapset tekivät kaikki sen jälkeen, kuin Herra oli käskenyt Mosekselle; niin he tekivät.
Kwa hiyo kazi yote ya maskani, Hema la Kukutania ikakamilika. Waisraeli wakafanya kila kitu sawasawa kama vile Bwana alivyomwagiza Mose.
33 Ja he kantoivat majan Moseksen tykö kaluinensa: sen koukut, laudat, korennot, patsaat ja jalat.
Ndipo wakaleta maskani kwa Mose: hema pamoja na vifaa vyake vyote, vibanio vyake, mihimili yake, mataruma yake, nguzo na vitako vyake;
34 Ja peitteen punalla painetuista oinaan nahoista, peitteen tekasjim-nahoista: ja peitteen esiripun,
kifuniko cha ngozi za kondoo dume kilichotiwa rangi nyekundu, kifuniko cha ngozi za pomboo, pazia la kufunikia;
35 Todistusarkin korentoinensa, ja myös armo-istuimen,
Sanduku la Ushuhuda pamoja na mipiko yake na kiti cha rehema,
36 Pöydän kaikkein astiainsa kanssa, ja katsomusleivät,
meza pamoja na vyombo vyake vyote na mikate ya Wonyesho;
37 Puhtaan kynttiläjalan valmistetun lamppuinensa, kaiken sen kanssa kuin siihen tarvittiin, ja öljyä valkeudeksi,
kinara cha taa cha dhahabu safi, safu zake za taa pamoja na vifaa vyake vyote pamoja na mafuta kwa ajili ya taa;
38 Kulta-alttarin ja voidellusöljyn, ja yrttein suitsutuksen, ja majan ovivaatteen,
madhabahu ya dhahabu, mafuta ya upako, uvumba wenye harufu nzuri na pazia la ingilio la hema;
39 Vaskisen alttarin ja vaskisen häkin korentoinensa, ja kaikkein kaluinsa kanssa, ja pesoastian jalkoinensa,
madhabahu ya shaba, pamoja na wavu wa shaba, nguzo zake na vyombo vyake vyote, sinia, na tako lake;
40 Pihan vaatteet patsainensa ja jalkoinensa, vaatteen pihan sisällekäytävän eteen, köysinensä ja vaajoinensa, ja kaikki seurakunnan majan palveluksen astiat,
mapazia ya ua pamoja na nguzo na vitako vyake, pia na pazia kwa ajili ya ingilio la kwenye ua; kamba zake na vigingi vya hema kwa ajili ya ua; vyombo vyote vilivyohitajiwa kwa ajili ya maskani, Hema la Kukutania;
41 Virkavaatteet palveltaa pyhässä, papin Aaronin pyhät vaatteet, ja hänen poikainsa vaatteet, joilla heidän piti tekemän papin viran palveluksen:
na mavazi yaliyofumwa yanayovaliwa wakati wa huduma katika mahali patakatifu, yaani mavazi matakatifu ya kuhani Aroni na mavazi kwa ajili ya wanawe watakapokuwa wakihudumu katika kazi ya ukuhani.
42 Kaikkein niiden jälkeen mitkä Herra oli käskenyt Mosekselle: niin tekivät Israelin lapset kaiken sen työn.
Waisraeli walikuwa wamefanya kazi yote sawasawa na vile Bwana alivyokuwa amemwagiza Mose.
43 Ja Moses näki kaiken tämän rakennuksen, että he olivat tehneet sen, niinkuin Herra oli käskenyt; ja Moses siunasi heitä.
Mose akakagua kazi na kuona kuwa walikuwa wameifanya sawasawa kama vile Bwana alivyokuwa ameagiza. Kwa hiyo Mose akawabariki.