< 2 Mooseksen 38 >

1 Ja teki myös polttouhrin alttarin sittimipuusta, viisi kyynärää pitkän ja viisi kyynärää leviän, juuri nelikulmaiseksi, ja kolme kyynärää korkiaksi.
Naye akafanya madhabahu ya toleo la kuteketezwa kwa mbao za mshita. Mikono mitano urefu wake, na mikono mitano upana wake, ilikuwa mraba, na mikono mitatu kimo chake.
2 Ja teki neljä sarvea sen neljän kulman päälle: siitä olivat hänen sarvensa; ja silasi sen vaskella.
Halafu akafanya pembe zake kwenye zile ncha zake nne. Pembe zake zilitoka kwake. Kisha akaifunika kwa shaba.
3 Ja teki kaikkinaiset alttarin astiat, tuhka-astiat, lapiot, maljat, hangot, hiiliastiat: kaikki astiat teki hän vaskesta.
Baada ya hilo akavifanya vyombo vyote vya madhabahu, yale makopo na zile sepetu na yale mabakuli, zile nyuma na vile vyetezo. Vyombo vyake vyote alivifanya kwa shaba.
4 Ja teki alttarin ympärille vaskihäkin niinkuin verkon, maasta niin puolialttariin.
Tena akaifanyia madhabahu kiunzi cha fito, mtandao wa shaba, chini ya ukingo wake, chini kuelekea katikati yake.
5 Ja valoi neljä rengasta neljään vaskihäkin kulmiin, että korennot niihin pistettiin.
Halafu akatengeneza pete nne kwenye ile miisho minne karibu na kile kiunzi cha shaba, ili kuitegemeza ile miti.
6 Ja teki korennot sittimipuusta, ja silasi ne vaskella,
Bezaleli akafanya miti ya mshita na kuifunika kwa shaba.
7 Ja pani renkaisiin alttarin sivulle, joilla se kannettiin. Ja teki laudoista, avojammaksi sisältä.
Kisha akaitia ile miti kwenye zile pete zilizo pande za madhabahu ili kuibeba. Akaifanya kuwa sanduku la mbao lenye uwazi.
8 Ja hän teki pesoastian vaskesta, ja sen jalan myös vaskesta, niiden vaimoin peileistä, jotka palvelivat seurakunnan majan oven edessä.
Kisha akafanya beseni ya shaba na kinara chake cha shaba. Kwa kutumia vioo vya watumishi wanawake ambao walifanya utumishi uliopangwa kwenye mwingilio wa hema la mkutano.
9 Ja hän teki pihan etelään päin, ja pihan vaatteet valkiasta kerratusta liinasta, sata kyynärää pitkäksi,
Naye akafanya ule ua. Upande unaokabili Negebu, kuelekea kusini, mapazia ya ua yalikuwa ya kitani bora kilichosokotwa, kwa mikono mia moja.
10 Hänen kahdenkymmenen patsastensa ja kahdenkymmenen jalkainsa kanssa vaskesta, mutta heidän koukkunsa ja vyönsä hopiasta.
Nguzo zake ishirini na vikalio vyake ishirini vilikuwa vya shaba. Misumari ya nguzo na viungo vyake vilikuwa vya fedha
11 Niin myös pohjaa päin sata kyynärää, kahdenkymmenen patsaan ja kahdenkymmenen jalan kanssa vaskesta, mutta heidän koukkunsa ja vyönsä hopiasta.
Pia, kwa ajili ya upande wa kaskazini kulikuwa na mikono mia. Nguzo zake ishirini na vikalio vyake ishirini vilikuwa vya shaba. Misumari ya nguzo na viungo vyake vilikuwa vya fedha.
12 Mutta lännen puolella olivat vaatteet viisikymmentä kyynärää, kymmenen patsaansa ja kymmenen jalkansa kanssa, mutta heidän koukkunsa ja vyönsä hopiasta;
Lakini kwa ajili ya upande wa magharibi mapazia yalikuwa mikono hamsini. Nguzo zake zilikuwa kumi na vikalio vyake kumi. Misumari ya nguzo na viungo vyake vilikuwa vya fedha.
13 Mutta itää päin viisikymmentä kyynärää:
Na kwa ajili ya upande wa mashariki kulikuwa na mikono hamsini.
14 Vaatteet viisitoistakymmentä kyynärää sivulla: kolmen patsaan ja kolmen jalan kanssa.
Mapazia yalikuwa mikono kumi na mitano kwa upande mmoja. Nguzo zake zilikuwa tatu na vikalio vyake vitatu.
15 Ja toisella sivulla molemmin puolin, pihan läpikäytävän tykönä, olivat vaatteet viisitoistakymmentä kyynärää: heidän kolmen patsaansa ja jalkansa kanssa.
Na kwa ajili ya upande ule mwingine, huu na ule, wa lango la ua, mapazia yalikuwa mikono kumi na mitano. Nguzo zake zilikuwa tatu na vikalio vyake vitatu.
16 Ja kaikki pihan vaatteet ympärinsä olivat valkiasta kerratusta liinasta,
Mapazia yote ya ua kuzunguka pande zote yalikuwa ya kitani bora kilichosokotwa.
17 Ja patsasten jalat vaskesta, ja heidän koukkunsa ja vyönsä hopiasta, niin että heidän nuppinsa olivat silatut hopialla: ja kaikki myös ne pihan patsaat olivat vyötetyt hopiavyöllä.
Navyo vikalio vya nguzo vilikuwa vya shaba. Vibanio vya vikalio na viungo vyake vilikuwa vya fedha navyo vilifunikwa kwa shaba sehemu ya juu, na kulikuwa na viungo vya shaba kwa ajili ya nguzo zote za ua.
18 Ja peitevaatteet pihan sisällekäytävään teki hän sinisistä ja purpuraisista ja tulipunaisista villoista, ja valkiasta kerratusta liinasta, taitavasti neulotut, kaksikymmentä kyynärää pitkäksi, ja viisi kyynärää korkiaksi leveydessä pihan vaatteen kohdalla,
Nacho kisitiri cha lango la ua kilikuwa na mikono ishirini urefu. Cha uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora kilichosokotwa, na urefu wake ulikuwa mikono ishirini, nacho kimo kotekote kilikuwa mikono mitano sawasawa na mapazia ya ua.
19 Niin myös niiden neljä patsasta ja niiden neljä jalkaa vaskesta, ja heidän koukkunsa hopiasta, ja heidän päänsä silatut ja vyötetyt hopiavöillä.
Na nguzo zake nne na vikalio vyake vinne vilikuwa vya shaba. Misumari yake ilikuwa ya fedha na utando wa vichwa vyake na viungo vyake ulikuwa wa fedha.
20 Ja kaikki vaarnat majassa, ja koko piha ympärinsä, olivat vaskesta.
Na misumari yote ya hema kwa ajili ya maskani na kwa ajili ya ua kuzunguka pande zote ilikuwa ya shaba
21 Tämä on kaluin luku joka todistuksen majaan tarvittiin, jotka ovat luetut Moseksen käskyn jälkeen: Leviläisten palveluksen kautta, Itamarin papin Aaronin pojan käden alla.
Hivi ndivyo vitu vilivyohesabiwa vya maskani, maskani ya Ushuhuda, vilivyohesabiwa kwa amri ya Musa, kuwa utumishi wa Walawi chini ya uongozi wa Ithamari mwana wa Aruni kuhani.
22 Ja Betsaleel Urin poika, Hurin pojanpoika Juudan suvusta, teki kaikki kuin Herra Mosekselle oli käskenyt,
Naye Bezaleli mwana wa Uri mwana wa Huru wa kabila la Yuda alifanya yote ambayo Yahweh alikuwa amemwamuru Musa.
23 Ja hänen kanssansa Oholiab Ahisamakin poika Danin suvusta; sillä hän oli taitava ja ymmärtäväinen neulomaan sinisillä, ja purpuraisilla, ja tulipunaisilla villoilla, ja valkialla liinalla.
Na pamoja naye alikuwa Oholiabu mwana wa Ahisamaki wa kabila la Dani, fundi na mtarizi na mfumaji wa uzi wa bluu na sufu iliyotiwa rangi ya zambarau na kitambaa chenye rangi nyekundu ya kochinili na kitani bora.
24 Kaikki se kulta mikä tehtiin kaiken tämän pyhän tarpeeksi, se kuin annettu oli ylennykseksi, oli yhdeksänkolmattakymmentä leiviskää, seitsemänsataa ja kolmekymmentä sikliä, pyhän siklin jälkeen.
Dhahabu yote iliyotumiwa kwa ajili ya kazi katika kazi yote ya mahali patakatifu ikawa jumla ya dhahabu ya toleo la kutikisa, talanta ishirini na tisa na shekeli 730 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu.
25 Mutta hopia, joka siihen yhteiseltä kansalta annettiin, oli sata leiviskää, tuhannen seitsemänsataa viisikahdeksattakymmentä sikliä, pyhän siklin jälkeen:
Nayo fedha ya wale walioandikishwa kati ya kusanyiko ilikuwa talanta mia moja na shekeli 1, 775 kulingana na shekeli ya mahali patakatifu,
26 Niin monta puolta sikliä, kuin monta henkeä, pyhän siklin jälkeen: kaikilta niiltä, jotka luetut olivat kahdestakymmenestä ajastajasta ja sen ylitse, kuusisataa tuhatta, kolmetuhatta, viisisataa ja viisikymmentä.
ile nusu shekeli kwa ajili ya mtu mmoja ilikuwa nusu shekeli kulingana na shekeli ya mahali patakatifu, Kwa kila mtu aliyekuwa akipita kuingia upande wa wale waliokuwa wameandikishwa kuanzia miaka ishirini na zaidi, jumla ya watu 603, 550.
27 Sadasta leiviskästä hopiaa valettiin pyhät jalat, ja esiripun jalat: sata jalkaa sadasta leiviskästä, leiviskä kullekin jalalle.
Na talanta mia moja za fedha zilitumiwa kutengeneza vikalio vya mahali patakatifu na vikalio vya lile pazia. Vikalio mia moja vilitoshana na talanta mia moja, talanta moja kwa kikalio kimoja.
28 Mutta tuhannesta seitsemästäsadasta ja viidestäkahdeksattakymmenestä siklistä tehtiin koukut patsaisiin: ja heidän päänsä silattiin, ja vyöllä vyötettiin.
Na kutokana na zile shekeli 1, 775 alifanyiza vibanio vya nguzo na kuvifunika sehemu yake ya juu na kuviunganisha pamoja.
29 Mutta vaski, joka annettiin ylennysuhriksi, oli seitsemänkymmentä leiviskää, kaksituhatta ja neljäsataa sikliä.
Nayo shaba ya toleo la kutikisa ilikuwa talanta sabini na shekeli 2, 400.
30 Siitä tehtiin jalat seurakunnan majan oveen, ja vaski-alttari ja vaskihäkki kuin siinä oli, ja myös kaikki alttarin astiat,
Naye akaitumia kufanya vile vikalio vya mwingilio wa hema la mkutano na ile madhabahu ya shaba na kile kiunzi chake cha shaba, na vyombo vyote vya madhabahu,
31 Niin myös jalat ympärinsä pihaa, ja jalat pihan sisällekäytävään, ja kaikki majan vaarnat, ja kaikki pihan vaarnat ympärinsä.
na vile vikalio vya ua kuzunguka pande zote, na vile vikalio vya lango la ua, na misumari yote ya maskani na misumari yote ya ua kuzunguka pande zote.

< 2 Mooseksen 38 >