< 2 Mooseksen 37 >

1 Ja Betsaleel teki arkin sittimipuusta: puolikolmatta kyynärää pitkän, puolitoista kyynärää leviän, ja puolitoista kyynärää korkian.
Bezaleli akafanya Sanduku la mbao za mshita. Mikono miwili na nusu urefu wake, na mkono mmoja na nusu upana wake, na mkono mmoja na nusu kimo chake.
2 Ja silasi sen puhtaalla kullalla, sekä sisältä että ulkoa, ja teki sen ympärille kultaisen vanteen.
Kisha akalifunika kwa dhahabu safi ndani na nje na kulifanyia ukingo wa dhahabu kulizunguka pande zote.
3 Ja valoi neljä kultarengasta hänen neljään kulmaansa: kaksi rengasta yhdelle puolelle, ja myös kaksi rengasta toiselle puolelle.
Kisha akalitengenezea pete nne za dhahabu, za juu ya miguu yake minne, pete mbili upande wake mmoja na pete mbili upande wake mwingine
4 Ja teki korennot sittimipuusta, ja silasi ne kullalla.
Kisha akafanya miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu.
5 Ja pisti ne korennot renkaisiin arkin sivulle, niin että arkki taidettiin kannettaa.
Halafu akaitia miti hiyo kwenye zile pete zilizo pande za Sanduku ili kulibeba Sanduku.
6 Ja hän teki armo-istuimen puhtaasta kullasta, puolikolmatta kyynärää pitkän ja puolitoista kyynärää leviän.
Naye akafanya kifuniko cha dhahabu safi. Mikono miwili na nusu urefu wake, na mkono mmoja na nusu upana wake.
7 Ja teki kaksi Kerubimia kullasta: vahvaa tekoa, molempiin päihin armo-istuinta.
Bezaleli akafanya makerubi wawili wa dhahabu. Kwa kazi ya kufua akawafanya kwenye miisho yote miwili ya kifuniko.
8 Yhden Kerubimin tähän päähän, ja toisen Kerubimin toiseen päähän: molempiin päihin armo-istuinta hän teki Kerubimit.
Kerubi mmoja kwenye mwisho ule, na yule kerubi mwingine kwenye mwisho huu. Aliwafanya makerubi juu ya kifuniko kwenye miisho yote miwili.
9 Ja Kerubimit levittivät siipensä sen ylitse, ja peittivät armo-istuimen siivillänsä, ja heidän kasvonsa olivat toinen toisensa puoleen: armo-istuimeen päin olivat Kerubimien kasvot.
Nao wakawa makerubi wanaonyoosha mabawa yao mawili kuelekea juu, wakisitiri kifuniko kwa mabawa yao, nazo nyuso zao zilikuwa zikielekeana. Nyuso za makerubi hao zilielekea kifuniko hicho.
10 Hän teki myös pöydän sittimipuusta, kaksi kyynärää pitkäksi, kyynärää leviäksi, ja puolitoista kyynärää korkiaksi.
Bezaleli akafanya meza ya mbao za mshita. Mikono miwili urefu wake, na mkono mmoja upana wake, na mkono mmoja na nusu kimo chake.
11 Ja silasi sen puhtaalla kullalla, ja teki kultaisen vanteen sen ympärille.
Halafu akaifunika kwa dhahabu safi na kufanya ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.
12 Ja teki partaan sen ympärille kämmentä leviän: teki myös kultaisen vanteen partaan ympärille.
Kisha akafanya mzingo wa upana wa kiganja kuizunguka na kufanya ukingo wa dhahabu kwa ajili ya mzingo wake kuizunguka pande zote.
13 Ja valoi siihen neljä kultaista rengasta, ja pani ne renkaat neljälle kulmalle heidän neljän jalkansa päälle.
Tena, akatengeneza pete nne za dhahabu kwa ajili yake na kuziweka pete hizo kwenye zile pembe nne zilizokuwa kwa ajili ya ile miguu minne.
14 Juuri partaan kohdalla olivat renkaat, joissa korennot olivat sisällä, joilla pöytä kannettiin.
Pete hizo zilikuwa karibu na ule mzingo, ili kutegemeza ile miti ya kuibeba meza hiyo.
15 Ja hän teki myös korennot sittimipuusta, ja silasi ne kullalla, että pöytä niillä kannettaa taidettiin.
Halafu akafanya ile miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu ili kuibeba ile meza.
16 Hän teki myös pöytäastiat, vadit, lusikat, ja maljat, ja pikarit, joilla ulos ja sisälle kaadettiin, puhtaasta kullasta.
Baada ya hilo akafanya kutokana na dhahabu safi vile vyombo vilivyo juu ya meza, sahani zake na vikombe vyake na mabakuli yake na mitungi yake iliyotumiwa kumimina matoleo ya kinywaji.
17 Hän teki myös kynttiläjalan puhtaasta kullasta: vahvan tekoiseksi hän kynttiläjalan teki ja hänen vartensa, haaransa, maljansa, nuppinsa ja kukkaisensa olivat siitä samasta.
Kisha akafanya kinara cha taa cha dhahabu safi. Kwa kazi ya kufua akakifanya kinara cha taa. Pande zake na matawi yake, vikombe vyake, mafundo yake na maua yake vikatokea kwake.
18 Kuusi haaraa kävi hänen kyljestänsä: kolme haaraa kynttiläjalan yhdeltä sivulta, ja myös kolme haaraa sen toiselta sivulta.
Na matawi sita yalikuwa yakitoka kwenye pande zake, matawi matatu ya kinara cha taa kutoka kwenye upande wake mmoja na matawi mengine matatu ya kinara cha taa kutoka kwenye ule upande wake mwingine.
19 Kolme mandelin-muotoista maljaa oli sen yhdessä haarassa, ja yksi nuppi ja kukkainen, niin myös kolme mandelin-kaltaista maljaa toisessa haarassa, yksi nuppi ja kukkainen: niin oli niissä kuudessa haarassa, jotka kynttiläjalasta uloskävivät.
Vikombe vitatu vyenye umbo la maua ya mlozi vilikuwa kwenye kikundi kimoja cha matawi, vifundo na maua yakifuatana; na vikombe vitatu vyenye umbo la maua ya mlozi vilikuwa kwenye kile kikundi kingine cha matawi, vifundo na maua yakifuatana. Hivyo ndivyo ilivyokuwa kwa yale matawi sita yaliyokuwa yakitoka katika kile kinara cha taa.
20 Mutta kynttiläjalassa oli neljä mandelin-muotoista maljaa toisessa haarassa, nuppeinsa ja kukkaistensa kanssa,
Na kwenye kile kinara cha taa kulikuwa na vikombe vinne vyenye umbo la maua ya mlozi, vifundo vyake na maua yake yakifuatana.
21 Niin että nuppi oli siinä kahden haaran alla, ja taas nuppi (toisen) kahden haaran alla, ja vielä nuppi kahden jälkimmäisen haaran alla: nimittäin niissä kuudessa haarassa, jotka siitä uloskävivät,
Na kile kifundo chini ya matawi mawili kilitoka kwake, na kifundo kilicho chini ya yale matawi mengine mawili kilitoka kwake, na kifundo kingine kilicho chini ya matawi mengine mawili zaidi kilitoka kwake, kwa ajili ya matawi sita yanayotoka katika kinara.
22 Ja hänen nuppinsa ja haaransa sen päällä, ja se kaikki oli puhtaasta lujasta kullasta.
Vifundo vyake na matawi yake vilitoka kwake, vyote vilikuwa kitu kimoja cha kazi ya kufua, cha dhahabu safi.
23 Ja hän teki myös seitsemän lamppua: ja heidän niistimensä ja sammutuskalunsa olivat puhtaasta kullasta.
Kisha akafanya taa zake saba na mikasi ya tambi zake na vyetezo vyake kutokana na dhahabu safi.
24 Ja hän teki sen, kaikkein astiainsa kanssa, yhdestä leiviskästä puhdasta kultaa.
Alikifanya kwa talanta ya dhahabu safi, hicho pamoja na vyombo vyake vyote.
25 Hän teki myös suitsutusalttarin sittimipuusta: yhtä kyynärää pitkän ja yhtä kyynärää leviän, juuri nelikulmaiseksi, ja kaksi kyynärää korkian; siitä uloskävivät hänen sarvensa.
Sasa akafanya madhabahu ya uvumba kutokana na mbao za mshita. Mkono mmoja urefu wake na mkono mmoja upana wake, ikiwa mraba, na mikono miwili kimo chake. Pembe zake zilitoka kwake.
26 Ja silasi sen puhtaalla kullalla, sen katon ja seinät ympärinsä, ja sen sarvet: ja teki sen ympärille vanteen kullasta,
Kisha akaifunika kwa dhahabu safi, upande wake wa juu na pande zake za kando kuizunguka na pembe zake, naye akafanya ukingo wa dhahabu kuizunguka pande zote.
27 Ja kaksi kultaista rengasta vanteen alle molemmin puolin, niin että korennot siihen sysättiin, kannettaa niillä.
Naye akaifanyia pete mbili za dhahabu chini ya ukingo wake kwenye pande zake mbili, kwenye pande zake mbili zinazoelekeana, za kutegemeza ile miti ya kuibeba.
28 Ja korennot hän teki sittimipuusta, ja silasi ne kullalla.
Kisha akafanya ile miti ya mshita na kuifunika kwa dhahabu.
29 Ja teki pyhän voidellusöljyn ja puhtaan suitsutuksen, hyvänhajullisista yrteistä, apotekarin tavan jälkeen.
Tena akafanya yale mafuta yanayotumiwa kutia mafuta na ule uvumba safi uliotiwa manukato, kazi ya mtengenezaji wa marhamu.

< 2 Mooseksen 37 >