< Esterin 10 >

1 Ja kuningas Ahasverus laski veron maan päälle ja luotoin päälle merellä.
Mfalme Ahasuero alitoza ushuru katika ufalme wake wote hadi kwenye miambao yake ya mbali.
2 Mutta kaikki hänen työnsä, voimansa ja väkevyytensä, ja Mordekain suuri kunnia, kuin kuningas hänen suureksi teki: eikö ne ole kirjoitetut Median ja Persian kuningasten aikakirjassa?
Matendo yake yote ya nguvu na uwezo, pamoja na habari zote za ukuu wa Mordekai ambao mfalme alikuwa amemkuza, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Umedi na Uajemi?
3 Sillä Mordekai, Juudalainen, oli toinen kuningas Ahasveruksesta, ja väkevä Juudalaisten seassa, ja otollinen veljeinsä paljouden keskellä, joka etsi kansansa parasta ja puhui parhain päin kaiken siemenensä puolesta.
Mordekai Myahudi alikuwa wa pili kwa cheo kutoka Mfalme Ahasuero, naye alikuwa bora kabisa miongoni mwa Wayahudi, akipandishwa katika heshima ya juu na ndugu zake Wayahudi kwa sababu aliwatendea mema watu wake, na alizungumza kwa ajili ya ustawi wa Wayahudi wote.

< Esterin 10 >