< Danielin 5 >
1 Kuningas Belsatsar teki kuuluisan pidon tuhannelle päämiehellensä, ja joi itsensä viinasta juovuksiin näiden tuhannen kanssa.
Mfalme Belshaza alifanya sherehe kubwa kwa kwa ajili ya wakuu wake wa kuheshimiwa wapatao elfu moja, na alikunywa divai mbele yao wote watu elfu moja.
2 Ja kuin hän juopunut oli, käski hän tuoda ne kultaiset ja hopiaiset astiat, jotka Nebukadnetsar, hänen isänsä Jerusalemin templistä ottanut oli, juodaksensa niistä voimallistensa, emäntäinsä ja vaimoinsa kanssa.
Wakati Belshaza alipokuwa akionja divai, alitoa agizo la kuleta vyombo vilivyotengenezwa kwa dhahabu au kwa fedha ambavyo Nebukadneza baba yake alikuwa amevichukua kutoka katika hekalu huko Yerusalemu, ambavyo yeye, na wakuu wake, na wake zake, na masuria waliweza kuvinywea.
3 Niin tuotiin ne kultaiset astiat, jotka templistä, Jumalan huoneesta, Jerusalemista otetut olivat; ja kuningas, hänen voimallisensa, emäntänsä ja vaimonsa joivat niistä.
Watumishi walivileta vyombo ya dhahabu vilivyokuwa vimechukulia katika hekalu, nyumba ya Mungu huko Yerusalemu. Mfalme na wakuu wake, na wake zake na masuria walivinywea.
4 Ja kuin he joivat viinaa, kiittivät he kultaisia, hopiaisia, vaskisia, rautaisia, puisia ja kivisiä jumalia.
Walikunywa divai na kuzisifu sanamu zao zilizotengenezwa kwa dhahabu na fedha, shaba, chuma, mbao na mawe.
5 Juuri sillä hetkellä kävivät sormet niinkuin ihmisen käsi, kirjoittamaan kynttiläjalan kohdalle seinään kuninkaan salissa, ja kuningas äkkäsi kirjoittajan käden.
Kwa wakati huo huo vidole vya mkono wa mtu vilionekana mbele ya kinara cha taa na kuandika katika ukuta uliopigwa lipu katika ikulu ya mfalme. Mfalme aliweza kuona sehemu ya mkono ulipokuwa unaandika.
6 Silloin muuttui kuningas, ja hänen ajatuksensa peljättivät hänen, niin että hänen lanteensa horjuivat, ja hänen polvensa vapisivat.
Ndipo uso wa mfalme ulibadilika na mawazo yake yalimwogopesha; miguu yake haikuweza kumfanya asimame, na magoti yake yalikuwa yakigongana kwa pamoja.
7 Ja kuningas huusi korkiasti, että viisaat, Kaldealaiset ja tietäjät tuotaisiin; ja käski sanoa viisaille Babelissa: Kuka ikänä tämän kirjoituksen lukee, ja ilmoittaa minulle sen selityksen, hän pitää purpuralla vaatetettaman, ja kultakäädyt kaulassansa kantaman ja kolmas Herra oleman tässä valtakunnassa.
Mfalme alitoa agizo kwa kupiga kelele, waletwe ndani wale ambao hudai wanaweza kuzungumza na wafu, watu wenye hekima, na wataalamu wa nyota. Mfalme akawaambia wale waliojulikana kwa hekima katika Babeli, “Yeyote atakayeyaeleza maandishi haya na maana yake atavikwa nguo za zambarau na atavikwa na mkufu wa dhahabu shingoni mwake. Naye atakuwa mtawala wa tatu wa juu kwa mamlaka katika ufalme.”
8 Silloin tulivat kaikki kuninkaan viisaat edes, vaan ei he taitaneet sitä kirjoitusta lukea, eikä sen selitystä kuninkaalle ilmoittaa.
Ndipo watu wote wa mfalme walikuwa wakijulikana kwa hekima yao waliingia ndani, lakini hawakuweza kuyasoma maandishi wala kueleza maana yake kwa mfalme.
9 Siitä hämmästyi kuningas Belsatsar vielä kovemmin, ja hänen muotonsa muuttui, ja hänen voimallisensa tulivat murheellisiksi.
Kisha mfalme Belshaza alishitushwa sana na mwonekano wa uso wake ulibadilika. Wakuu wake nao walishangazwa sana.
10 Sentähden meni kuningatar kuninkaan ja hänen voimallistensa asian tähden pitohuoneesen, ja sanoi: Kuningas eläköön kauvan! Älä niin peljästy sinun ajatuksistas ja älä niin muotoas muuta.
Ndipo sasa malkia alikuja katika nyumba ya sherehe kwasababu ya kile ambacho mfalme na wakuu wake walikuwa wamekisema. Malkia akasema, “Mfalme na aishi milele! Usiache mawazo yako yakakusumbua. Usiruhusu mwonekano wa uso wako ubadilike.
11 Sinun valtakunnassas on mies, jolla on pyhäin jumalain henki, sillä sinun isäs aikana löydettiin hänessä valistus, toimi ja viisaus, niinkuin jumalten viisaus on; ja sinun isäs Nebukadnetsar pani hänen tähtientutkiain, viisasten, Kaldealaisten ja tietäjäin päälle. Niin teki kuningas, sinun isäs.
Kuna mtu katika ufalme wako ambaye ana roho ya miungu watakatifu dani yake. Katika siku za baba yako, mwanga na weledi na hekima ya miungu ilipatikana ndani yake. Mfalme Nebukadneza, baba yako mfalme, alimfanya kuwa mkuu wa waganga, pamoja na mkuu wa wale wanazungumza na wafu, na wa wenye hekima, na wa wataalamu wa nyota.
12 Että korkiampi henki hänen tykönänsä löydettiin, niin myös ymmärrys ja taito unia selittämään, osaamaan pimeitä puheita ja salaisia asioita ilmoittamaan. Daniel, jonka kuningas antoi Belsatsariksi nimittää; niin kutsuttakaan Daniel; hän sanoo, mitä se tietää.
Roho bora, ufahamu, weledi, kutafsiri ndoto, kufafanua mafumbo na kutatua matatizo - hizi ni sifa zilizopatikana kwa mtu huyu Danieli, ambaye mfalme alimwita Belteshaza. Sasa mwiteni Danieli naye atawaambia maana ya kile kilichoandikwa.”
13 Silloin vietiin Daniel kuninkaan eteen. Ja kuningas puhui ja sanoi Danielille: Oletko sinä Daniel, yksi Juudalaisista vangeista, jotka kuningas, minun isäni, Juudeasta tänne tuonut on?
Ndipo Danieli alipoletwa mbele ya mfalme. Mfalme akamwambia, “Wewe ni yule Danieli, mmoja kati ya watu wa mateka wa Yuda, ambao baba yangu mfalme aliwaleta kutoka Yuda.
14 Minä olen kuullut sinusta, että sinulla on pyhäin jumalain henki, että myös valistus, ymmärrys ja korkia viisaus sinussa löydetty on.
Nimesikia habari kukuhusu wewe, kwamba roho ya miungu iko ndani yako, na ya kwamba mwanga na ufahamu na hekima bora inapatikana ndani yako.
15 Minä olen antanat kutsua eteeni toimelliset ja viisaat tätä kirjoitusta lukemaan ja sen selitystä minulle ilmoittamaan, ja ei he taida sanoa, mitä se tietää.
Na sasa watu wanaojulikana kwa hekima na wale wanaozungumza na wafu, wamekwisha kuletwa mbele yangu, ili kusoma maandishi haya na kunijulisha maana ya tafsiri yake, lakini hawakuweza kunijulisha tafsiri yake.
16 Mutta minä kuulen sinusta, että sinä taidat pimiät asiat selittää ja salatut ilmoittaa. Jos sinä nyt taidat tämän kirjoituksen lukea ja minulle ilmoittaa, mitä se tietää, niin sinä pitää purpuralla puetettaman ja kultakäädyt kaulassas kantaman ja kolmas herra oleman tässä valtakunnassa.
Nimesikia kwamba unaweza kutoa tafsiri na kutatua matatizo. Sasa kama utaweza kusoma maandishi na kuniambia maana yake, utavikwa nguo za zambarau na kuwa na kuvalishwa mkufu wa dhahabu shingoni mwako, na utakuwa mtawala wa tatu mwenye mamlaka katika ufalme.”
17 Niin vastasi Daniel ja sanoi kuninkaalle: Pidä itse lahjas ja anna antimes muille. Minä luen kuitenkin kuninkaalle kirjoituksen, ja ilmoitan sen selityksen hänelle.
Kisha Danieli akajibu mbele ya mfalme, “Zawadi yako na iwe kwa ajili yako mwenyewe, na thawabu yako na umpe mtu mwingine. Hata hivyo, mfalme, nitakusomea maandishi na nitakwaambia maana.
18 Herra kuningas, korkein Jumala on sinun isälles Nebukadnetsarille valtakunnan, voiman, kunnian ja jalouden antanut.
Na juu yako, Ewe mfalme, Mungu Aliye juu sana alimpa Nebukadneza baba yako ufalme, ukuu, heshima na enzi.
19 Ja sen voiman tähden, joka hänelle annettu oli, pelkäsivät ja karttoivat häntä kansat, sukukunnat ja kielet. Hän tappoi kenen hän tahtoi, hän jätti elämään kenen hän tahtoi, hän ylensi kenen hän tahtoi, hän alensi kenen hän tahtoi.
Na kwasababu ya ukuu huo, Mungu alimpa watu wote, mataifa, na lugha walimtetemekea na kumwogopa. Aliwauwa wale aliotaka wafe na aliwaacha hai wale aliotaka waishi. Aliwainua wale aliowataka, na aliwashusha wale aliowataka.
20 Mutta koska hänen sydämensä paisui, ja hänen henkensä ylpeyteen paisuneeksi tuli, hyljättiin hän kuninkaalliselta istuimelta, ja tuli pois kunniastansa
Lakini wakati moyo ulipokuwa na kiburi na roho yake ilifanywa kuwa mgumu na kwasababu hiyo alitenda kwa kiburi, alishushwa kutoka kiti chake cha enzi cha kifalme, na waliiondoa enzi yake.
21 Ja ajettiin pois ihmisten seasta. Ja hänen sydämensä tuli eläinten kaltaiseksi, ja täytyi metsän eläinten kanssa juosta, ja söi ruohoja niinkuin härkä, ja hänen ruumiinsa oli taivaan kasteen alla, ja kastui, siihenasti, että hän oppi, että korkeimmalla Jumalalla on valta ihmisten valtakuntain päälle, ja hän antaa ne kellenkä hän tahtoo.
Aliondolewa katika ubinadamu, alikuwa na akili za mnyama, na aliishi na punda wa mwituni. Alikula majani kama ng'ombe. Mwili wake ulilowanishwa kwa umande wa kutoka mbinguni mpaka pale alipojifunza kwamba Mungu Aliye Juu anatawala juu ya falme za watu na ya kwamba humweka mtu yeyote amtakaye juu yake.
22 Ja sinä Belsatsar, hänen poikansa, et ole sydäntäs nöyryyttänyt, ehkäs kaikki kyllä ne tiesit;
Wewe mwana wake, Belshaza, haujaunyenyekeza moyo wako, ingawa aliyajua haya yote.
23 Vaan olet itses korottanut taivaan Herraa vastaan. Ja hänen huoneensa astiat piti kannettaman sinun etees, ja sinä, sinun voimallises, sinun emäntäs ja vaimos olette niistä viinaa juoneet. Niin myös hopiaisia, kultaisia, vaskisia, rautaisia, puisia ja kivisä jumalia kiittäneet, jotka ei näe eikä kuule, eikä tuta taida. Mutta sitä Jumalaa, jonka kädessä sinun henkes on, ja jonka tykönä kaikki sinun ties ovat, et sinä ole kunnioittanut.
Umejiinua mwenyewe kinyume cha Bwana wa mbinguni. Katika nyumba yake walikuletea vyombo ambavyo wewe, wakuu wako, wake zako na masuria wako walivinywea, na kisha ukaisifia sana sanamu zilitengenezwa kwa fedha na dhahabu, shaba, chuma, mbao, na mawe - sanamu ambazo haziwezi kuona, kusikia wa kujua kitu chochote. Haujamheshimu Mungu ambaye anaishikilia pumzi yako katika mkono wake na ambaye anazijua njia zako zote.
24 Sentähden on häneltä lähetetty tämä käsi, ja tämä kirjoitus kirjoitettu.
Ndipo Mungu aliutuma mkono kutoka katika makao yake na maandishi haya yaliandikwa.
25 Ja tämä on kirjoitus, joka siinä kirjoitettu on: Mene, Mene, Tekel, Upharsin.
Haya ndiyo maandishi ambayo yaliandikwa: 'Mene, Mene, Tekeli na Peresin.'
26 Ja tämä on selitys: Mene; se on: Jumala on sinun valtakuntas lukenut ja lopettanut.
Maana yake ni: 'Mene,' 'Mungu ameuhesabu ufalme wako na ameukomesha.'
27 Tekel; se on: Sinä olet vaa'alla punnittu, ja aivan köykäiseksi löydetty.
'Tekeli' 'umepimwa katika mizani na umeonekana umepungua.'
28 Peres; se on: Sinun valtakuntas on jaettu ja Mediläisille ja Persialaisille annettu.
'Peresi' 'ufalme wako umegawanyika na wamepewa Wamedi na Waajemi.'”
29 Silloin käski Belsatsar, että Daniel purpuralla puetettaman piti, ja kultakäädyt hänen kaulaansa annettaman, ja antoi hänestä kuuluttaa, että hän kolmas herra on valtakunnassa.
Ndipo Belshaza alitoa agizo, na walimvalisha Danieli mavazi ya zambarau. Mkufu wa dhahabu walimvisha shingoni, na mfalme alitoa tamko juu ya Danieli kuwa atakuwa mtawala mwenye mamlaka ya nafasi ya tatu katika ufalme.
30 Mutta juuri sinä yönä tapettiin Belsatsar, Kaldean kuningas.
Usiku ule Belshaza, mfalme wa Babeli aliuawa,
31 Ja Darius Mediläinen sai valtakunnan, kuin hän kahdenseitsemättäkymmentä ajastajan vanha oli.
na Dario Mwajemi aliuchukua ufalme alipokuwa na miaka ipatayo sitini na miwili.