< 2 Samuelin 6 >
1 Ja David taas kokosi kaikki valitut miehet Israelista, kolmekymmentä tuhatta,
Tena Daudi akakusanya watu 30,000 wa Israeli waliochaguliwa.
2 Ja David nousi ja meni, ja kaikki kansa kuin hänen tykönänsä oli Juudan asuvaisista, tuomaan sieltä Jumalan arkkia, joka kutsutaan Herran Zebaotin nimi, joka asuu Kerubimin päällä.
Yeye na watu wake wote wakatoka Baala ya Yuda kulipandisha Sanduku la Mungu kutoka huko, linaloitwa kwa Jina, naam, jina la Bwana Mwenye Nguvu Zote, ambaye anaketi katika kiti cha enzi kati ya makerubi walioko juu ya hilo Sanduku.
3 Ja he panivat Jumalan arkin uuden vaunun päälle ja toivat sen AbiNadabin huoneesta, joka asui Gibeassa. Mutta Ussa ja Ahjo, AbiNadabin pojat ajoivat sitä uutta vaunua.
Wakaweka hilo Sanduku la Mungu juu ya gari jipya la kukokotwa na kulileta kutoka nyumba ya Abinadabu, iliyokuwa juu ya kilima. Uza na Ahio, wana wa Abinadabu, walikuwa wakiongoza hilo gari jipya la kukokotwa
4 Niin he toivat sen AbiNadabin huoneesta, joka oli Gibeassa, Jumalan arkin kanssa; ja Ahjo kävi arkin edellä.
likiwa na Sanduku la Mungu juu yake, naye Ahio alikuwa anatembea akiwa mbele yake.
5 Niin David ja kaikki Israelin huone soittivat Herran edessä kaikkinaisilla honkaisilla kanteleilla ja harpuilla, psaltareilla, trumpuilla, kulkuisilla ja simpeleillä.
Daudi na nyumba yote ya Israeli walikuwa wanacheza mbele za Bwana kwa nguvu zao zote, kwa nyimbo, vinubi, zeze, matari, kayamba na matoazi.
6 Ja kuin he tulivat Nahonin riihen tykö, otti Ussa Jumalan arkin ja piteli sitä, sillä härjät menivät sivuin tietä.
Walipofika kwenye uwanja wa kupuria nafaka wa Nakoni, Uza akanyoosha mkono na kulishika Sanduku la Mungu kwa sababu maksai walijikwaa.
7 Niin Herran viha julmistui Ussan päälle, ja Jumala löi hänen siinä maahan hänen tyhmyytensä tähden, niin että hän kuoli siinä Jumalan arkin tykönä.
Hasira ya Bwana ikawaka dhidi ya Uza kwa sababu ya kitendo chake cha kukosa heshima, kwa hiyo Mungu akampiga akafia papo hapo kando ya Sanduku la Mungu.
8 Silloin tuli David murheelliseksi, että Herra niin repäisi Ussan, ja kutsui sen paikan PeretsUssa, tähän päivään asti.
Ndipo Daudi akakasirika kwa sababu ghadhabu ya Bwana ilifurika dhidi ya Uza, hivyo hadi leo mahali hapo panaitwa Peres-Uza.
9 Ja David pelkäsi Herraa sinä päivänä ja sanoi: kuinka Herran arkki tulisi minun tyköni?
Daudi akamwogopa Bwana siku ile, akasema, “Ni jinsi gani Sanduku la Bwana litakavyoweza kunijia?”
10 Ja ei tahtonut antaa tuoda sitä tykönsä Davidin kaupunkiin, vaan salli kannettaa ObedEdomin Gatilaisen huoneesen.
Hakuwa radhi kulichukua Sanduku la Bwana kwake katika Mji wa Daudi. Badala yake akalipeleka kwenye nyumba ya Obed-Edomu, Mgiti.
11 Ja Herran arkki viipyi kolme kuukautta ObedEdomin Gatilaisen huoneessa, ja Herra siunasi hänen ja kaiken hänen huoneensa.
Sanduku la Bwana likabaki katika nyumba ya Obed-Edomu, Mgiti, kwa miezi mitatu, naye Bwana akambariki pamoja na nyumba yake yote.
12 Ja se oli sanottu kuningas Davidille, että Herra oli siunannut ObedEdomin huoneen ja kaiken mitä hänellä oli, Jumalan arkin tähden. Niin meni David ja toi Jumalan arkin ObedEdomin huoneesta Davidin kaupunkiin ilolla.
Kisha Mfalme Daudi akaambiwa, “Bwana ameibariki nyumba ya Obed-Edomu pamoja na kila alicho nacho, kwa sababu ya Sanduku la Mungu.” Basi Daudi akateremka na kulipandisha Sanduku la Mungu kutoka nyumba ya Obed-Edomu hadi Mji wa Daudi kwa shangwe.
13 Ja kuin ne, jotka Herran arkkia kantoivat, olivat käyneet kuusi askelta, niin uhrattiin härkä ja lihava lammas.
Wale waliokuwa wamebeba Sanduku la Bwana walipokuwa wametembea hatua sita, Daudi alitoa dhabihu fahali na ndama aliyenoneshwa.
14 Ja David hyppäsi kaikella voimalla Herran edessä ja hän oli vaatetettu liinaisella päällisvaatteella.
Daudi, akiwa amevaa kisibau cha kitani, alicheza mbele za Bwana kwa nguvu zake zote,
15 Ja David ja kaikki Israelin kansa toivat Herran arkin riemulla Ja basunan helinällä.
wakati yeye na nyumba yote ya Israeli walipopandisha Sanduku la Bwana kwa shangwe na sauti za tarumbeta.
16 Ja kuin Herran arkki joutui Davidin kaupunkiin, katsoi Mikal, Saulin tytär akkunasta ja näki kuningas Davidin hyppäävän kaikella voimallansa Herran edessä, ja hän katsoi hänen ylön sydämessänsä.
Ikawa Sanduku la Bwana lilipokuwa linaingia katika Mji wa Daudi, Mikali binti Sauli akachungulia dirishani. Naye alipomwona Mfalme Daudi akirukaruka na kucheza mbele za Bwana, akamdharau moyoni mwake.
17 Ja he toivat Herran arkin sisälle ja panivat sen siallensa keskelle majaa, jonka David oli sille rakentanut. Ja David uhrasi polttouhria ja kiitosuhria Herran edessä.
Wakaleta Sanduku la Bwana na kuliweka mahali pake ndani ya hema ambalo Daudi alikuwa amelisimamisha kwa ajili yake, naye Daudi akatoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani mbele za Bwana.
18 Ja kuin David oli uhrannut polttouhria ja kiitosuhria, siunasi hän kansan Herran Zebaotin nimeen,
Baada ya kumaliza kutoa sadaka za kuteketezwa na sadaka za amani, Daudi akawabariki watu katika jina la Bwana Mwenye Nguvu Zote.
19 Ja jakoi kaikelle kansalle ja kaikelle Israelin seurakunnalle, miehille ja vaimoille, jokaiselle kyrsän leipää, ja kappaleen lihaa, ja mitan (viinaa); sitte meni kaikki kansa matkaansa, jokainen huoneesensa.
Kisha akatoa mkate, andazi la tende na andazi la zabibu kavu kwa kila mtu katika mkutano wote wa Waisraeli, wanaume kwa wanawake. Nao watu wote wakaenda nyumbani kwao.
20 Ja kuin David palasi siunaamaan huonettansa, meni Mikal, Saulin tytär ulos häntä vastaan ja sanoi: kuinka jalo on ollut Israelin kuningas tänäpänä, joka on itsensä paljastanut palveliainsa piikain edessä, niinkuin irstaat ihmiset paljastavat itsensä!
Daudi aliporudi ili kuwabariki watu wa nyumbani mwake, Mikali binti Sauli akatoka nje kumlaki, akamwambia, “Tazama jinsi mfalme wa Israeli alivyojibainisha mwenyewe leo kwa kuvua mavazi yake machoni pa vijakazi wa watumishi wake, kama vile ambavyo mtu asiye na adabu angelifanya!”
21 Mutta David sanoi Mikalille: Herran edessä joka minun valinnut on pikemmin kuin sinun isäs ja kaiken hänen huoneensa, ja on käskenyt minun olla Herran kansan Israelin päämiehenä: ja Herran edessä minä tahdon iloita.
Daudi akamwambia Mikali, “Nilifanya hivyo mbele za Bwana ambaye alinichagua mimi badala ya baba yako au mwingine yeyote kutoka nyumba yake wakati aliponiweka niwe mtawala juu ya Israeli, watu wa Bwana. Kwa hiyo nitacheza mbele za Bwana.
22 Ja minä tahdon vielä halvempi olla ja nöyrä minun silmäini edessä: ja minä kunnioitetaan niiden piikain kanssa, joistas puhunut olet.
Nitakuwa asiye na heshima zaidi kuliko sasa, nami nitajishusha machoni pangu mwenyewe. Lakini kwa hawa vijakazi uliosema habari zao nitaheshimiwa.”
23 Ja Mikalilla, Saulin tyttärellä ei ollut yhtään lasta kuolemapäiväänsä asti.
Naye Mikali binti Sauli hakuwa na watoto mpaka siku ya kufa kwake.