< 2 Samuelin 16 >
1 Ja kuin David oli vähä käynyt alas vuoren kukkulalta, katso, kohtasi hänen Ziba MephiBosetin palvelia kahdella satuloidulla aasilla, joiden päällä oli kaksisataa leipää, ja sata rypälettä rusinoita, ja sata rypälettä fikunia ja leili viinaa.
Daudi alipokuwa amekwenda kitambo juu ya kilele cha kilima, Siba mtumishi wa Mefiboshethi akaja kumlaki akiwa na punda wawili waliokuwa wamebeba vipande mia mbili vya mikate, vishada mia moja vya mizeituni, vishada mia moja vya tini na mfuko wa ngozi uliojaa mvinyo.
2 Niin sanoi kuningas Ziballe: mitäs näillä tahdot tehdä? Ziba sanoi: aasit pitää oleman kuninkaan perheelle, joilla he ajaisivat, leivät ja fikunat palvelioille, joista he söisivät, ja viina heidän juodaksensa, kuin he väsyvät korvessa.
Mfalme akamuliza Siba, “Kwa nini umeleta hivi vitu?” Siba akajibu, “punda ni kwa ajili ya familia yako kupanda, mikate na matunda ni kwa ajili ya matumizi ya askari wako, na mvinyo ni kwa ajili kunywa watakaozimia nyikani.”
3 Kuningas sanoi: kussa on herras poika? Ziba sanoi kuninkaalle: katso, hän jäi Jerusalemiin, sillä hän sanoi: tänäpänä pitää Israelin huoneen antaman minulle minun isäni valtakunnan.
Mfalme akauliza, “Na mjukuu wa bwana wako yuko wapi?” Siba akamjibu mfalme, “Tazama, yeye amesalia Yerusalemu kwa maana alisema, 'Leo nyumba ya Israeli itanirudishia ufalme wa baba yangu.”
4 Kuningas sanoi Ziballe: katso, kaikki mitä MephiBosetilla on, pitää sinun oleman. Ziba sanoi: minä rukoilen nöyrästi, anna minun löytää armo sinun edessäs, herrani kuningas.
Kisha mfalme akamwambia Siba, “Tazama, yote yaliyomilikiwa na Mefiboshethi sasa yatakuwa yako.” Siba akajibu, “Nainama kwa unyenyekevu kwako bwana wangu mfalme. Na nipate kibari mbele zako.”
5 Kuin kuningas David tuli Bahurimiin, katso, sieltä tuli yksi mies Saulin huoneen suvusta, Simei nimeltä, Geran poika, se läksi ulos ja kiroili käydessänsä,
Mfalme Daudi alipokaribia Bahurimu, akaja mtu kutoka katika ukoo wa Sauli, jina lake Shimei mwana wa Gera. Kadiri alivyokuwa akitembea alikuwa akilaani.
6 Ja paiskeli kiviä Davidin puoleen, ja kaikkia kuningas Davidin palvelioita vastaan; sillä kaikki kansa ja kaikki väkevät olivat hänen oikialla ja vasemmalla puolellansa.
Akamrushia Daudi mawe na maofisa wa mfalme, bila kujali jeshi na walinzi wa mfalme waliokuwa kulia na kushoto mwa mfalme.
7 Ja Simei sanoi näin kiroillessansa häntä: ulos, ulos tänne, sinä verikoira, sinä Belialin mies!
Shimei akalaani, “Nenda zako, toka hapa, mwovu wewe, mtu wa damu!
8 Herra on maksanut sinulle kaiken Saulin huoneen veren, ettäs olet tullut hänen siaansa kuninkaaksi. Ja Herra on antanut valtakunnan pojalles Absalomille; ja katso, nyt sinä olet sinun pahuudessas, sillä sinä olet verikoira.
Yahwe amelipa yote kwa ajili ya damu ya familia ya Sauli, ambaye unatawala badala yake. Yahwe ameweka ufalme katika mkono wa Absalomu mwanao. Na sasa umeangamia kwa kuwa ni mtu wa damu.”
9 Silloin Abisai ZeruJan poika sanoi kuninkaalle: pitääkö tämän kuolleen koiran kiroileman herraani kuningasta? Minä menen ja lyön häneltä pään pois.
Ndipo Abishai mwana wa Seruya, akamwambia mfalme, “Kwa nini mbwa mfu anamlaani bwana wangu mfalme? Tafadhari niache niende nikamwondolee kichwa chake.”
10 Kuningas sanoi: te ZeruJan pojat, mitä minun on teidän kanssanne? Anna hänen kirota; sillä Herra on hänelle sanonut: kiroile David. Kuka taitaa nyt sanoa: miksis niin teet?
Lakini mfalme akasema, “Nifanye nini nanyi enyi wana wa Seruya? Pengine ananilaani kwa kuwa Yahwe amemwambia, 'Mlaani Daudi.' Nani sasa awezaye kumwambia, 'Kwa nini unamlaani mfalme.”
11 Ja David sanoi Abisaille ja kaikille palvelioillensa: katso, minun poikani, joka minun kupeistani tullut on, seisoo minun henkeni perään: miksi ei siis pidä myös Jeminin pojan? Antakaat hänen kiroilla, sillä Herra on hänelle sanonut.
Hivyo Daudi akamwambia Abishai na watumishi wake wote, “Tazameni, mwanangu aliyezaliwa kutoka katika mwili wangu anatafuta uhai wangu. “Si zaidi sana mbenjamini huyu akatamani anguko langu? Mwacheni alaani, kwa maana Yahwe amemwamru kufanya hivyo.
12 Mahtaa tapahtua: Herra katsoo minun viheliäisyyttäni, ja Herra maksaa minulle hyvällä, sen kun hän minua tänäpänä kiroilee.
Huenda Yahwe akaangalia maangaiko niliyofungiwa, na kunirudishia mema kwa jinsi nilivyolaaniwa leo.”
13 Ja David meni väkinensä tietä myöten; mutta Simei kävi hänen kohdallansa mäen viertä myöten, ja käyden kiroili, lasketti kiviä hänen puoleensa ja viskeli multaa.
Hivyo Daudi na watu wake wakaendelea njiani wakati Shimei kando yake ubavuni mwa mlima, aliendelea kulaani na kumrushia mavumbi na mawe huku akienda.
14 Ja kuningas vaelsi, ja kaikki kansa joka oli hänen kanssansa oli väsyksissä; ja hän lepäsi siinä.
Kisha mfalme na watu wake wote wakachoka, na akapumzika wakati wa usiku walipopumzika wote.
15 Mutta Absalom ja kaikki kansa, Israelin miehet, tulivat Jerusalemiin; ja Ahitophel hänen kanssansa.
Absalomu na watu wote wa Israeli waliokuwa pamoja naye wakaja Yerusalemu na Ahithofeli alikuwa pamoja naye.
16 Kuin Husai Arkilainen Davidin ystävä tuli Absalomin tykö, sanoi hän Absalomille: kuningas eläköön, kuningas eläköön!
Ikawa Hushai Mwarki, rafiki yake Daudi, akaja kwa Absalomu, naye akamwambia Absalomu, “Mfalme aishi daima! mfalme aishi daima.
17 Absalom sanoi Husaille: onko tämä sinun laupiutes ystävääs kohtaan? Miksi et mennyt ystäväs kanssa?
Absalomu akamwambia Hushai, “Je huu ndiyo utiifu wako kwa rafiki yako? Kwa nini haukwenda pamoja naye?”
18 Husai sanoi Absalomille: ei niin; mutta jonka Herra valitsee, ja tämä kansa, ja kaikki Israelin miehet, hänen minä olen ja hänen kanssanssa minä pysyn.
Hushai akamwambia Absalomu, “Hapana! badala yake, yule ambaye Yahwe, watu hawa na watu wote wa Israeli wamemchagua huyo ndiye nitakaye kuwa upande wake na ndiye nitakaye kaa naye.
19 Sitälikin, ketästä minun pitäis palveleman? eikö hänen poikansa edessä? Niinkuin minä olen palvellut isäis edessä, niin minä myös tahdon olla sinun edessäs.
Kwani ni nani ninayepaswa kumtumikia? Je sipaswi kutumika mbele za mwana? kama nilivyotumika mbele za baba yako ndivyo nitakavyofanya mbele zako”
20 Ja Absalom sanoi Ahitophelille: pitäkäät neuvoa, mitä meidän pitää tekemän?
Kisha Absalomu akamwambia Ahithofeli, “Tupe shauri lako kuhusu tunachopaswa kufanya.”
21 Ahitophel sanoi Absalomille: makaa isäs jalkavaimoin kanssa, jotka hän on jättänyt huonetta vartioitsemaan; niin koko Israel saa kuulla sinun tehneeksi isäs haisemaan, ja kaikkein kädet vahvistetaan siitä, jotka sinun tykönäs ovat.
Ahithofeli akamwambia Absalomu, “Nenda ulale na masuria wa baba yako aliowaacha kutunza kasri, na waisraeli wote watasikia kwamba umekuwa kitu kinachonuka kwa baba yako. Kisha mikono ya wote walio pamoja nawe itatiwa nguvu.”
22 Niin tekivät he Absalomille majan katon päälle; ja Absalom makasi kaikkein isänsä jalkavaimoin kanssa, kaiken Israelin nähden.
Hivyo wakatanda hema kwa ajili ya Absalomu juu ya kasri na Absalomu akalala na masuria wa baba yake mbele za Israeli wote.
23 Kuin Ahitophel neuvoa antoi sillä ajalla, oli se niinkuin joku olis kysynyt Jumalalta jostakin asiasta: kaikki niin olivat Ahitophelin neuvot niin Davidin kuin Absalominkin tykönä.
Nyakati hizo ushauri aliokuwa akitoa Ahithofeli ulikuwa ni kama mtu anavyosikia kutoka katika kinywa cha Mungu mwenyewe. Hivyo ndivyo jinsi ushauri wa Ahithofeli ulivyoonekana kwa Daudi na Absalomu