< 2 Kuninkaiden 24 >

1 Hänen aikanansa nousi Nebukadnetsar Babelin kuningas; ja Jojakim tuli hänelle alamaiseksi kolmeksi vuodeksi; mutta hän käänsi itsensä ja erkani hänestä.
Wakati wa utawala wa Yehoyakimu, Nebukadneza mfalme wa Babeli aliishambulia nchi, naye Yehoyakimu akawa mtumwa wake kwa miaka mitatu. Lakini hatimaye akabadili mawazo yake na kuasi dhidi ya Nebukadneza.
2 Ja Herra antoi tulla hänen päällensä sotaväen Kaldeasta, Syriasta, Moabista ja Ammonin lapsista, ja antoi ne tulla Juudeaan hukuttamaan häntä, Herran sanan jälkeen, niinkuin hän oli puhunut palveliainsa prophetain kautta.
Bwana akatuma wavamiaji wa Wakaldayo, Waaramu, Wamoabu na Waamoni ili kumshambulia. Aliwatuma kuiangamiza Yuda sawasawa na neno la Bwana lililosemwa na watumishi wake manabii.
3 Mutta se tapahtui Juudalle Herran sanan jälkeen, että hän heitä heittäis pois kasvoinsa edestä Manassen syntein tähden, jotka hän tehnyt oli.
Hakika mambo haya yalitokea Yuda kulingana na agizo la Bwana, ili kuwaondoa kutoka machoni pake kwa sababu ya dhambi za Manase na yote aliyoyafanya,
4 Ja myös viattoman veren tähden, jonka hän vuodatti, ja täytti Jerusalemin viattomalla verellä: sitä ei Herra tahtonut antaa anteeksi.
ikiwa ni pamoja na kumwaga damu isiyo na hatia. Kwa kuwa aliijaza Yerusalemu kwa damu isiyo na hatia, naye Bwana hakuwa radhi kusamehe.
5 Mitä enempi Jojakimista sanomista on, ja kaikista hänen teoistansa: eikö se ole kirjoitettu Juudan kuningasten aikakirjassa?
Matukio mengine ya utawala wa Yehoyakimu na yote aliyoyafanya, je, hayakuandikwa katika kitabu cha kumbukumbu za wafalme wa Yuda?
6 Ja Jojakim nukkui isäinsä kanssa ja hänen poikansa Jojakin tuli kuninkaaksi hänen siaansa.
Yehoyakimu akalala pamoja na baba zake. Naye Yehoyakini mwanawe akawa mfalme baada yake.
7 Ja Egyptin kuningas ei lähtenyt enään maaltansa; sillä Babelin kuningas oli häneltä ottanut kaikki pois, mitä Egyptin kuninkaan oma oli, Egyptin ojasta Phratin virtaan asti.
Mfalme wa Misri hakutoka tena katika nchi yake, kwa sababu mfalme wa Babeli alikuwa ameitwaa himaya yake yote, kuanzia Kijito cha Misri hadi Mto Frati.
8 Kahdeksantoistakymmenen vuotinen oli Jojakin tullessansa kuninkaaksi, ja hallitsi kolme kuukautta Jerusalemissa; hänen äitinsä nimi oli Nehusta Elnatanin tytär Jerusalemista.
Yehoyakini alikuwa na miaka kumi na minane alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miezi mitatu. Jina la mama yake aliitwa Nehushta binti Elnathani kutoka Yerusalemu.
9 Ja hän teki pahaa Herran edessä, niinkuin hänen isänsäkin tehnyt oli.
Akafanya maovu machoni pa Bwana, kama vile baba yake alivyokuwa amefanya.
10 Silloin matkustivat Nebukadnetsarin Babelin kuninkaan palveliat ylös Jerusalemiin; ja kaupunki piiritettiin.
Wakati huo, maafisa wa Nebukadneza mfalme wa Babeli walikuja ili kuishambulia Yerusalemu, nao wakaizunguka kwa jeshi.
11 Ja Nebukadnetsar, Babelin kuningas, tuli kaupungin tykö, ja hänen palveliansa piirittivät sen.
Nebukadneza mwenyewe akaupandia mji wakati maafisa wake walipokuwa wameuzunguka kwa jeshi.
12 Niin Jojakin Juudan kuningas meni äitinensä Babelin kuninkaan tykö, ja hänen palveliansa, ja ylimmäisensä, ja kamaripalveliansa. Ja Babelin kuningas otti hänen valtakuntansa kahdeksantena vuonna.
Yehoyakini mfalme wa Yuda, mama yake, wahudumu wake, wakuu na maafisa wake wote wakajisalimisha kwa Nebukadneza. Katika mwaka wa nane wa utawala wa mfalme wa Babeli, akamchukua Yehoyakini kuwa mfungwa.
13 Ja hän otti kaiken tavaran Herran huoneesta ja kuninkaan huoneesta, ja rikkoi kaikki kultaiset astiat, jotka Salomo Israelin kuningas oli Herran templiin antanut tehdä niinkuin Herra puhunut oli,
Kama vile Bwana alivyokuwa amesema, Nebukadneza akaondoa hazina yote kutoka Hekalu la Bwana na kutoka jumba la mfalme, akavichukua vyombo vyote vya dhahabu ambavyo Solomoni mfalme wa Israeli alikuwa amevitengeneza kwa ajili ya Hekalu la Bwana.
14 Ja vei koko Jerusalemin, kaikki ylimmäiset, kaikki voimalliset sotamiehet, kymmenentuhatta vankia, ja kaikki puusepät ja rautasepät pois, niin ettei yhtäkään jäänyt, vaan köyhimmät kansasta maalle;
Akawachukua watu wa Yerusalemu wote kwenda uhamishoni: yaani maafisa wote na mashujaa, watu wenye ustadi na ufundi, jumla yao watu elfu kumi. Watu maskini sana ndio tu waliobaki katika nchi.
15 Ja vei Jojakinin ja kuninkaan äidin, kuninkaan emännät ja hänen kamaripalveliansa pois Babeliin. Ja ne voimalliset maalta vei hän myös Jerusalemista vankina Babeliin.
Nebukadneza akamchukua mateka Yehoyakini hadi Babeli. Pia akawachukua utumwani kutoka Yerusalemu hadi Babeli mama yake mfalme, wake zake, maafisa wake, na viongozi wote wa nchi.
16 Ja kaikki väkevät miehet, seitsemäntuhatta, ja tuhannen puuseppää ja rautaseppää, kaikki väkevät sotamiehet; ja Babelin kuningas vei heidät vankina Babeliin.
Mfalme wa Babeli pia akawahamishia Babeli mashujaa elfu saba, wenye nguvu na wanaofaa kupigana vita, na watu wenye ustadi na mafundi elfu moja.
17 Ja Babelin kuningas asetti Mattanian hänen setänsä kuninkaaksi hänen siaansa ja muutti hänen nimensä Zidkiaksi.
Akamfanya Matania, ndugu wa baba yake Yehoyakini, kuwa mfalme mahali pake, na akalibadilisha jina lake kuwa Sedekia.
18 Yhden vuoden vanha kolmattakymmentä oli Zidkia tullessansa kuninkaaksi, ja hallitsi yksitoistakymmentä vuotta Jerusalemissa. Hänen äitinsä nimi oli Hamutal, Jeremian tytär Libnasta.
Sedekia alikuwa na umri wa miaka ishirini na mmoja alipoanza kutawala, naye akatawala huko Yerusalemu miaka kumi na mmoja. Jina la mama yake aliitwa Hamutali binti Yeremia, kutoka Libna.
19 Ja hän teki pahaa Herran edessä, niinkuin Jojakin myös tehnyt oli.
Alifanya maovu machoni pa Bwana, kama alivyofanya Yehoyakimu.
20 Sillä se tapahtui niin Jerusalemin ja Juudan kanssa Herran vihasta, siihen asti että hän heitti heidät pois kasvoinsa edestä. Ja Zidkia erkani Babelin kuninkaasta.
Ilikuwa ni kwa sababu ya hasira ya Bwana haya yote yalitokea Yerusalemu na Yuda, naye mwishoni akawaondoa mbele zake. Basi, Sedekia akaasi dhidi ya mfalme wa Babeli.

< 2 Kuninkaiden 24 >