< 2 Kuninkaiden 22 >

1 Josia oli kahdeksan ajastaikainen tullessansa kuninkaaksi, ja hallitsi yhden ajastajan neljättäkymmentä Jerusalemissa; hänen äitinsä nimi oli Jedida Adajan tytär Botskatista.
Yosia alikuwa na umri wa miaka minane wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa miaka thelathini na moja katika Yerusalemu. Mama yake alikuwa anaitwa Yedida (Alikuwa binti wa Adaye wa Bozkathi).
2 Ja hän teki sitä, mikä Herran edessä oli kelvollinen, ja vaelsi kaikella isänsä Davidin tiellä, ja ei poikennut oikialle eli vasemmalle puolelle.
Alifanya yale yaliyo mema usoni mwa Yahwe. Alitembea kwenye njia zote za Daudi babu yake, na hakugeuka wala upande wa kulia au kushoto.
3 Mutta kuningas Josian kahdeksantena vuonna toistakymmentä, lähetti kuningas Saphanin Atsalian pojan Mesullamin pojan, kirjoittajansa, Herran huoneesen, sanoen:
Ikawa kwamba katika mwaka wa kumi na nane mfalme Yosia, akamtuma Shafani mwana wa Azalia mwana wa Meshulamu, mwandishi, kwenye nyumba ya Yahwe, akisema,
4 Mene ylimmäisen papin Hilkian tykö, ja anna hänen lukea se raha, mikä Herran huoneesen tuotu on, jonka ovenvartiat kansalta koonneet ovat,
“Panda juu kwa Hilkia yule kuhani mkuu na mwambie ahesabu pesa ambazo zilizokuwa zimeletwa kwenye nyumba ya Yahwe, ambazo walinzi wa hekalu wamezikusanya kutoka kwa watu.
5 Että ne annettaisiin teettäjille, jotka Herran huoneesen asetetut ovat, ja he antaisivat työväelle, jotka työtä tekevät Herran huoneessa ja parantavat mitä Herran huoneessa rauvennut on,
Zigawanywe kwenye mikono ya wafanyakazi ambao ni wasimamizi wa nyumba ya Yahwe, na waache wawapatie wafanya kazi ambao wako kwenye nyumba ya Yahwe, ili waweze kutengeneza pale palipoharibika.
6 Sepille, rakentajille, muuraajille ja niille, jotka hirsiä ja vuoltuja kiviä ostaman pitää, huoneen parannukseksi;
Wapewe pesa maseremala, wajenzi, na waashi, na pia kununua mbao na kukata jiwe kukarabati nyumba ya Yahwe.”
7 Vaan ei kuitenkaan yhtään lukua pidä heiltä vaadittaman niistä rahoista, jotka heidän käsiinsä ovat annetut; vaan heidän pitää uskollisesti niitä toimittaman.
Lakini zile pesa hazikutakiwa kuhesabiwa wakati walipokuwa wanapewa, kwa sababu waliimudu ile kazi kwa uaminifu.
8 Ja ylimmäinen pappi Hilkia sanoi Saphanille kirjoittajalle: minä löysin lakikirjan Herran huoneesta; ja Hilkia antoi kirjan Saphanille, ja hän luki sen.
Hilkia kuhani mkuu akamwambia Shafani yule mwandishi, “Nimekipata kitabu cha sheria katika nyumba ya Yahwe.” Basi Hilkia akampatia kile kitabu Shafani, na kukisoma.
9 Ja Saphan kirjoittaja tuli kuninkaan tykö, ja ilmoitti kuninkaalle asian ja sanoi: sinun palvelias ovat koonneet ne rahat, jotka Herran huoneessa löydetyt ovat, ja ovat ne jakaneet työväelle, jotka asetetut ovat Herran huoneesen.
Shafani akaenda na kuchukua kile kitabu kwa mfalme, na pia kumjulisha, akisema, “Watumishi wako wamezitumia zile pesa ambazo zilizokuwa zimepatikana kwenye hekalu na zimegawiwa kwenye mikono ya wafanya kazi ambao husimamia kuangalia nyumba ya Yahwe.”
10 Ja Saphan kirjoittaja ilmoitti kuninkaalle ja sanoi: Hilkia pappi antoi minulle kirjan; ja Saphan luki sen kuninkaan edessä.
Kisha Shafani yule mwandishi akamwambia mfalme, “Hilkia yule kuhani amenipatia kitabu.” Kisha Shafani akakisoma mbele ya mfalme.
11 Kuin kuningas kuuli lakikirjan sanat, repäisi hän vaatteensa.
Ikawa kwamba wakati mfalme aliposikia maneno ya sheria, alichana nguo zake.
12 Ja kuningas käski pappi Hilkiaa, ja Ahikamia Saphanin poikaa, ja Aboria Mikajan poijaa, ja Saphania kirjoittajaa, ja Asajaa kuninkaan palveliaa, sanoen:
Kisha mfalme akamwamuru Hilkia yule kuhani, Ahikamu mwana wa Shafani, Akbori mwana wa Mikaya, Shafani mwandishi, na Asaya, mtumishi wake mwenyewe, akisema,
13 Menkäät ja kysykäät Herralta minun puolestani, kansan ja koko Juudan puolesta, tämän kirjan sanoista, joka löydetty on; sillä se on suuri Herran viha, joka meidän päällemme syttynyt on, ettei meidän isämme ole kuuliaiset olleet tämän kirjan sanoille, että he olisivat tehneet niitä kaikkia, mitkä siinä meille kirjoitetut olivat.
Nenda na ukaongee pamoja na Yahwe kwa ajili yangu, na kwa ajili ya watu na kwa Yuda yote, kwa sababu ya maneno ya hiki kitabu ambacho kilichopatikana. Kwa hasira kubwa ya Yahwe ambayo ametukasirikia dhidi yetu kwa sababu babu zetu hawakusikiliza maneno ya hiki kitabu hivyo kama kutii yote ambayo yalikuwa yameandikwa kuhusiana na sisi.
14 Niin meni pappi Hilkia, Ahikam, Akbor, Saphan ja Asaja naisprophetan Huldan tykö, Sallumin Tikuan pojan emännän, Harhamin pojan, vaatetten vartian (ja hän asui Jerusalemissa toisella puolella); ja he puhuivat hänelle.
Basi Hilkia yule kuhani, Ahikamu, Akbori, Shafani, na Asaya wakaenda kwa Hulda nabii wa kike, mke wa Shalumu mwana wa Tikva mwana wa Harhasi, mtunza kabati la nguo (aliishi katika Yerusalemu katika mtaa wa pili), na wakaongea pamoja naye.
15 Mutta hän sanoi heille: näin sanoo Herra Israelin Jumala: sanokaat sille miehelle, joka teidät minun tyköni lähettänyt on:
Akawaambia, “Hivi ndivyo Yahwe, Mungu wa Israeli, asemavyo: 'Mwambie huyu mtu aliyekutuma kwangu,
16 Näin sanoo Herra: katso, minä saatan onnettomuuden tähän siaan ja hänen asuvaisillensa, kaikki lain sanat, jotka Juudan kuningas lukenut on:
“Hivi ndivyo Yahwe asemavyo: 'Tazama, nitaleta janga kwenye hii sehemu na juu ya wakaao hapa, kulingana na kila kitu kilichoandikwa kwenye kitabu ambacho mfalme wa Yuda alichokisoma.
17 Että he ovat luopuneet minusta ja suitsuttaneet vieraille jumalille, vihoittain minua kaikilla kättensä töillä, sentähden syttyy minun vihani tätä siaa vastaan, ja ei pidä sammutettaman.
Kwa sababu wamenitelekeza na kufukiza ubani kwa miungu mingine, hivyo basi wanaweza kunichochea hasira pamoja na matendo yote waliyoyafanya-kwa hiyo hasira yangu ilikuwa inawaka dhidi ya hii sehemu, na haitazimika.”'
18 Mutta Juudan kuninkaalle, joka teidät lähettänyt on kysymään Herralta, pitää teidän näin sanoman: näin sanoo Herra Israelin Jumala niistä sanoista, joita sinä kuullut olet:
Lakini kwa mfalme wa Yuda, aliye watuma kuuliza mapenzi ya Yahwe, hivi ndivyo mtakavyo mwambia: “Yahwe, Mungu wa Israeli asema hivi: Kuhusu yale maneno uliyoyasikia,
19 Että sinun sydämes on pehminnyt ja olet sinus nöyryyttänyt Herran edessä, koskas kuulit, mitä minä sanoin tätä siaa ja hänen asuvaisiansa vastaan, että heidän pitää tuleman hävitetyksi ja kiroukseksi, ja olet repinyt vaattees, ja olet itkenyt minun edessäni: niin olen minä myös kuullut sen, sanoo Herra.
kwa sababu moyo wako ulikuwa mlaini, na kwa sababu umejinyenyekesha mwenyewe mbele za Yahwe, wakati uliposikia nilichokisema dhidi ya hii sehemu na wenyeji wake, kwamba wanaweza kuwa wakiwa na laana, na kwasaabu ulizozirarua nguo zako na kulia mbele yangu, Nami pia nimekusikia-hivi ndivyo Yahwe asemavyo.
20 Sentähden, katso, kokoon minä sinua isäis tykö, ettäs kootaan rauhassa hautaas, ettei sinun silmäs näkisi kaikkea sitä onnettomuutta, jonka minä tälle sialle saatan. Ja he sanoivat sen kuninkaalle jälleen.
Tazama, nitakukusanya na babu zako, nawe utawekwa kaburini kwako kwa amani. Macho yako hayataona maafa yote ambayo nitayaleta kwenye hii sehemu. “"” Hivyo watu wakachukua ujumbe huu kuurudisha kwa mfalme.

< 2 Kuninkaiden 22 >