< 2 Kuninkaiden 14 >

1 Toisena Joaksen Joahaksen pojan Israelin kuninkaan vuonna tuli Amatsia Joaksen Juudan kuninkaan poika kuninkaaksi.
Katika mwaka wa pili wa Yehoashi mwana wa Yehoazi, mfalme wa Israeli, Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, alianza kutawala.
2 Hän oli viiden ajastajan vanha kolmattakymmentä, kuin hän tuli kuninkaaksi, ja hallitsi yhdeksän ajastaikaa kolmattakymmentä Jerusalemissa. Hänen äitinsä nimi oli Joaddan Jerusalemista.
Alikuwa na umri wa miaka ishirini na tanao wakati alipoanza kutawala; alitawala kwa mda wa miaka ishirini na tisa katika Yerusalemu.
3 Ja hän teki mitä Herralle hyvästi kelpasi, ei kuitenkaan niinkuin hänen isänsä David, vaan kaiketi niinkuin hänen isänsä Joas oli tehnyt, niin myös hän teki.
Mama yake alikuwa anaitwa Yehoyadani, wa Yerusalemu. Alifanya yale yaliyo mema usoni mwa macho ya Yahwe, sio kama baba yake Daudi. Alifanya kila kitu ambacho Yoashi, baba yake, alichukuwa amekifanya.
4 Sillä korkeudet ei olleet pannut pois; mutta kansa uhrasi vielä ja suitsutti korkeuksilla.
Lakini sehemu ya juu haikuondolewa. Watu wakaendelea kutoa dhabihu na kufukiza ubani katika sehemu mahala pa juu.
5 Ja kuin valtakunta hänen kädessänsä vahvistui, löi hän palveliansa, jotka kuninkaan hänen isänsä tappaneet olivat.
Ikawa mara utawala wake ulipokuwa imara, aliwaua watumishi ambao waliokuwa wamemuua baba yake, mfalme.
6 Mutta tappajain lapsia ei hän surmannut, niinkuin kirjoitettu on Moseksen lakikirjassa, jossa Herra käskenyt oli ja sanonut: Isät ei pidä kuoleman lasten tähden, ja lapset ei pidä kuoleman isäinsä tähden, vaan jokainen pitää kuoleman oman syntinsä tähden.
Ila hakuwaweka watoto wa wale wauaji kwenye kifo; isipokuwa, alifanya kutokana na kile kilichokuwa kimeandikwa kwenye sheria, kwenye kitabu cha Musa, kama Yahwe alivyokuwa ameamuru, akisema, “Wababa wasife kwa ajili ya watoto wao, wala watoto wasife kwa ajili ya makosa ya wazazi wao. Isipokuwa, kila mtu atakufa kwa ajili ya dhambi zake mwenyewe.”
7 Hän löi myös kymmenentuhatta Edomilaista Suolalaaksossa, ja voitti Selan (kaupungin) sodalla, ja kutsui sen nimen Jokteel tähän päivään asti.
Aliua maaskari elfu kumi wa Edomi kwenye bonde la chumvi; pia alimchukua Sela kwenye vita na kuiita Yoktheeli, ndivyo paitwavyo hadi leo.
8 Silloin lähetti Amatsia sanansaattajat Joaksen Joahaksen pojan Jehun pojan Israelin kuninkaan tykö, ja käski hänelle sanoa: tule ja katselkaamme toinen toistamme!
Kisha Amazia akatuma wajumbe kwa Yehoashi mwana wa Yehoahazi mwana wa Yehu mfalme wa Israeli, akisema, “Njoo, tuonane kila mmoja macho kwa macho kwenye mashinadano.”
9 Mutta Joas Israelin kuningas lähetti Amatsian Juudan kuninkaan tykö ja antoi hänelle sanoa: orjantappura, Libanonissa, lähetti sedripuun tykö Libanonissa ja antoi hänelle sanoa: anna tyttäres minun pojalleni emännäksi! Mutta metsän eläimet kedolla Libanonissa juoksivat orjantappuran päälle ja maahan tallasivat sen.
Lakini Yehoashi mfalme wa Israeli akawatuma wajumbe kurudi kwa Amazia mfalme wa Yuda, akisema, “Mbaruti uliokuwa Lebanoni ulituma kwa mwerezi katika Lebanuni, kusema, 'Mpatie mwanangu binti yako amuoe; lakini hayawani aliyekuwako Lebanoni akaukanyaga chini ule mbaruti.
10 Sinä olet kokonansa lyönyt Edomilaiset, siitä paisuu sinun sydämes: pidä se ylistys ja ole kotonas! miksis etsit vahinkoa kaatuakses sekä itse että Juuda sinun kanssas?
Umempiga sana Edomu, na moyo wako umekuinua. Jisifu katika ushindi wako, lakini kaa nyumbani, kwa nini unataka kujisababishia mataizo na kuanguka, wote wewe na Yuda pamoja nawe?”
11 Mutta Amatsia ei totellut häntä. Niin meni Joas Israelin kuningas ylös, ja he katselivat toinen toistansa, hän ja Amatsia Juudan kuningas Betsemeksessä, joka Juudassa on.
Lakini Amazia hakutaka kusikia. Hivyo Yehoashi mfalme wa Israeli akakwea yeye na Amazia mfalme wa Yuda wakakutana uso kwa uso huko Beth Shemeshi, ambayo ilikuwa ya Yuda.
12 Mutta Juuda lyötiin Israelilta, niin että jokainen pakeni majoillensa.
Yuda walishindwa mbele ya Israeli, na kila mtu akakimbia nyumbani.
13 Ja Joas Israelin kuningas otti Amatsian Juudan kuninkaan Joaksen pojan, Ahasian pojan, Betsemeksessä kiinni, ja tuli Jerusalemiin, ja kukisti Jerusalemin muurit Ephraimin portista Kulmaporttiin asti, neljänsadan kyynärän pituudelta,
Yehoashi mfalme wa Israeli, akamchukua Amazia, mfalme wa Yuda mwana wa Yehoashi mwana wa Ahazia, huko Beth Shemeshi. Akaja Yerusalemu na kuuangusha chini ukuta wa Yerusalemu kutoka lango la Efraimu mpaka kwenye pembe ya lango, urefu wa mbali wa dhiraa mia nne.
14 Ja otti kaiken kullan ja hopian ja kaikki astiat, jotka löyttiin Herran huoneesta ja kuninkaan huoneen tavaroista, ja vielä hänen lapsensa pantiksi, ja palasi Samariaan.
Akachukua dhahabu na fedha zote, na vitu vyote ambavyo vilipatikana katika nyumba ya Yahwe, na vitu vya thamani kwenye nyumba ya mfalme, pamoja na mateka pia, na kurudi samaria.
15 Mitä enempi Joaksesta sanomista on, mitä hän tehnyt on, ja hänen väkevyydestänsä, ja kuinka hän Amatsian Juudan kuninkaan kanssa soti: eikö se ole kirjoitettu Israelin kuningasten aikakirjassa?
Kama ilivyo kwa mambo mengine yamhusuyo Yehoashi, yote aliyoyafanya, ushujaa wake, na jinsi alivyopigana na Amazia mfalme wa Yuda, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Israeli?
16 Ja Joas nukkui isäinsä kanssa ja haudattiin Samariassa, Israelin kuningasten sekaan; ja hänen poikansa Jerobeam tuli kuninkaaksi hänen siaansa.
Kisha Yehoashi akalala na wazee wake na ailizikwa katika Samaria pamoja na wafalme wa Israeli, na Yeroboamu, mwanaye, akawa mfalme katika eneo lake.
17 Mutta Amatsia, Joaksen Juudan kuninkaan poika, eli Joaksen Joahaksen Israelin kuninkaan pojan kuoleman jälkeen viisitoistakymmentä ajastaikaa.
Amazia mwana wa Yoashi, mfalme wa Yuda, akaishi miaka kumi na tano baada ya Yehoashi mwana wa Yehoahazi, mfalme wa Israeli.
18 Mitä enempi Amatsiasta sanomista on: eikö se ole kirjoitettu Juudan kuningasten aikakirjassa?
Kama ilivyo kwa mambo mengine yanayomhusu Amazia, je hayakuandikwa kwenye kitabu cha matukio ya mfalme wa Yuda?
19 Ja he tekivät liiton häntä vastaan Jerusalemissa; mutta hän pakeni Lakikseen, ja he lähettivät hänen peräänsä Lakikseen, ja tappoivat hänen siellä.
Wakafanya njama dhidi ya Amazia katika Yerusalimu, akakimbilia Lakishi. Akakimbia hadi Lakishi, lakini wakawatuma watu kumfuata hadi Lakishi na kumuua huko.
20 Ja he veivät hänen sieltä hevosilla pois, ja hän haudattiin Jerusalemissa isäinsä oheen Davidin kaupungissa.
Wakamrudisha kwa farasi, na alizikwa pamoja na wazee wake katika mji wa Saudi.
21 Ja koko Juudan kansa ottivat Asarian kuudentoistakymmenen ajastajan vanhana, ja tekivät hänen kuninkaaksi isänsä Amatsian siaan.
Watu wote wa Yuda wakamchukua Uzaria, ambaye alikuwa na umri wa miaka kumi na minne, na walimfanya kuwa mfalme katika nyumba ya kifalme wa baba yake Uzaria.
22 Hän rakensi Elatin ja saatti sen jälleen Juudan alle, sitte kuin kuningas isäinsä kanssa nukkunut oli.
Alikuwa Uzaria ambaye alijenga Elathi na kuirudisha kwa Yuda, baada ya mfalme Uzaria akalala pamoja na mababu zake.
23 Amatsian Joaksen pojan Juudan kuninkaan viidentenä vuonna toistakymmentä oli Jerobeam Joaksen poika Israelin kuningas Samariassa yhden ajastajan viidettäkymmentä,
Katika mwaka wa kumi na tano wa Amazia mwana wa Yoashi mfalme wa Yuda, Yeroboamu mwana wa Yoashi mfalme wa Israeli alianza kutawala katika Samaria; alitawala kwa muda wa miaka arobaini na moja.
24 Ja teki pahaa Herran edessä, ja ei lakannut kaikista Jerobeamin Nebatin pojan synneistä, joka Israelin saatti syntiä tekemään.
Akafanya yaliyo maovu usoni mwa Yahwe. Hakuziacha dhambi zake za Yeroboamu mwana wa Nabeti, ambaye aliisababisha Israeli kuasi.
25 Hän otti Israelin maan rajat jälleen, Hematista hamaan kedon mereen asti, Herran Israelin Jumalan sanan jälkeen, jonka hän sanonut oli palveliansa, propheta Jonan, Amittain pojan kautta, joka oli GatHepheristä.
Akairudisha mipaka ya Israeli kutoka Lebo Hamathi mpaka kwenye Bahari ya Araba, kufuata amri ya neno la Yahwe, Mungu wa Israeli, ambalo aliongea kupitia mtumishi wake Yona mwana wa Amitai, yule nabii, ambaye alitokea Gathi Heferi.
26 Sillä Herra näki Israelin suuren viheliäisyyden, niin ettei ollut suljettua, eikä hylättyä, eikä auttajaa Israelissa.
Kwa kuwa Yahwe aliyaona mateso ya Israeli, ambayo yalikuwa makali kwa kila mmoja, wote mtumwa na asyemtumwa, na kwamba hapakuwa na ulinzi kwa ajili ya Israeli.
27 Ja Herra ei ollut sanonut tahtovansa pyyhkiä Israelin nimeä taivaan alta pois; mutta autti heitä Jerobeamin Joaksen pojan kautta.
Basi Yahwe akasema kwamba hatoweza kulifuta jina la Israeli chini ya mbingu; badala yake, aliwaokoa kwa mkono wa Yeroboamu mwana wa Yehoashi.
28 Mitä enempi Jerobeamista sanomista on, ja kaikista mitä hän tehnyt on, ja hänen väkevyydestänsä, kuinka hän sotinut on, ja kuinka hän otti Damaskun jälleen ja Hematin Juudalle Israelissa: eikö se ole kirjoitettu Israelin kuningasten aikakirjassa?
Kama ilivyo kwa mambo mengine yamhusuyo Yeroboamu, yote aliyoyafanya, ushujaa wake, jinsi alivyo pigana vita na kuipata tena Damaskasi na Hamathi, ambayo ilikuwa ya Yuda, kwa Israeli, je hayakuandikwa katika kitabu cha matukio ya wafalme wa Israeli?
29 Ja Jerobeam nukkui isäinsä, Israelin kuningasten kanssa; ja hänen poikansa Sakaria tuli kuninkaaksi hänen siaansa.
Yeroboamu akalala na mababu zake, pamoja na mfalme wa Israeli, na Zekaria mtoto wake akawa mfalme katika sehemu yake.

< 2 Kuninkaiden 14 >