< 2 Kuninkaiden 11 >

1 Mutta kuin Atalia Ahasian äiti näki poikansa kuolleeksi, nousi hän ja hukutti kaiken kuninkaallisen siemenen.
Basi Athalia, mama yake na Ahazia, alipoona kwamba mtoto wake amekufa, aliinuka na kuwaua watoto wote wa kifalme.
2 Mutta Joseba, kuningas Joramin tytär, Ahasian sisar, otti Joaksen Ahasian pojan ja varasti hänen kuninkaan lasten seasta, jotka tapetut olivat, hänen ja hänen imettäjänsä, makaushuoneesta. Ja he kätkivät hänen Atalian edestä, niin ettei hän tapettu:
Lakini Yehosheba, binti wa mfalme Yehoramu na dada wa Ahazia, akamchukua Yoashi mwana wa Ahazia, na kumficha mbali mwa miongoni mwa watoto wa mfalme waliokuwa wameuawa, wakati wote pamoja na mlezi wake; akawaweka kwenye chumba cha kulala. Wakamficha kutoka Athalia kwa hiyo hakuuawa.
3 Ja hän oli kätkettynä Herran huoneessa hänen kanssansa kuusi ajastaikaa; mutta Atalia oli kuningatar maalla.
Alikuwa pamoja na Yehosheba, wamejificha kwenye nyumba ya Yahwe, kwa mda wa miaka sita, wakati Athalia alipotawala juu ya nchi.
4 Seitsemäntenä ajastaikana lähetti Jojada ja otti sadanpäämiehet, esimiehet ja vartiat, ja noudatti heidät tykönsä Herran huoneesen, ja teki liiton heidän kanssansa, ja vannotti heitä Herran huoneessa, ja näytti heille kuninkaan pojan,
Katika mwaka wa saba, Yehoyada alituma ujumbe na kuleta maamiri jeshi mamia wa Wakari na wa walinzi, na kuwaleta kwake mwenyewe, ndani ya nyumba ya Yahwe. Akafanya agano pamoja nao, na kuwaapisha kiapo katika nyumba ya Yahwe. Kisha akawaonyesha mtoto wa mfalme.
5 Ja käski heitä ja sanoi: tämä on se, jonka teidän tekemän pitää: kolmas osa teistä, jonka vuoro on sabbatina, olkoon kuninkaan huoneen vartiana;
Akawaamuru, akisema, “Hivi ndivyo mnavyotakiwa kufanya. Theluthi yenu mtakaokuja kwenye Sabato mtakuwa mkiiangalia nyumba ya mfalme,
6 Ja kolmas osa olkoon Surin portin tykönä, ja kolmas osa olkoon sen portin tykönä, joka on vartiain takana, ja teidän pitää vartioitseman huoneen päällekarkaamista,
na theluthi mtakuwa langoni mwa Suri, na theluthi langoni nyuma ya walinzi.”
7 Mutta kaksi osaa teistä kaikista, jotka sabbatina pääsette, pitää vartioitseman kuningasta Herran huoneessa.
Makundi mengine mawili ambayo hayatumikii Sabato, Mtayalinda juu ya nyumba ya Yahwe kwa ajili ya mfalme.
8 Ja teidän pitää oleman kuninkaan ympärillä, ja jokaisella aseensa hänen kädessänsä; ja joka tulee järjestykseen, se pitää tapettaman, että te olisitte kuninkaan tykönä hänen mennessänsä ulos ja sisälle.
Ni lazima mumzunguke mfalme, kila mmoja na silaha zake kwenye mkono wake. Yeyote aingiaye ndani ya safu, auwawe. Lazima mkae pamoja na mfalme kila atokapo na kila aingiapo.
9 Ja sadanpäämiehet tekivät kaikki, mitä pappi Jojada käskenyt oli, ja ottivat miehensä tykönsä, jotka sabbatina tulivat, niiden kanssa, jotka sabbatina läksivät, ja tulivat papin Jojadan tykö.
Hivyo mamia ya maamri jeshi wakatii kila kitu Yehoyada kuhani alichokiamuru. Kila mmoja akachukua watu wake, wale ambao walitakiwa kuja kutumika siku ya hiyo Sabato, na wale ambao wataacha kuitumika kwenye hiyo Sabato; ndipo wakaja kwa Yehoyada kuhani.
10 Ja pappi antoi päämiehille keihäät ja kilvet, jotka olivat olleet kuningas Davidin, ja olivat Herran huoneessa.
Kisha Yehoyada yule kuhani akawapa mikuki na ngao mamia wa maamri jeshi ambayo ilikuwa mali ya mfalme Daudi ambayo ilikuwa kwenye nyumba ya Yahwe.
11 Ja vartiat seisoivat kuninkaan ympärillä, jokaisella aseensa kädessänsä, oikiasta huoneen loukkaasta niin vasempaan loukkaasen, alttaria ja huonetta läsnä.
Basi walinzi wakasimama, kila mtu na silaha kwenye mkono wake, kutoka upande wa kuume wa hekalu, kwenda upande wa kushoto, karibu na madhabahu ya hekelu, wakimzunguka mfalme.
12 Ja hän toi kuninkaan pojan edes ja pani kruunun hänen päähänsä, ja antoi hänelle todistuksen, ja he tekivät hänen kuninkaaksi ja voitelivat hänen, ja löivät käsiänsä yhteen ja sanoivat: menestyköön kuningas!
Kisha Yehoyada akamleta nje mtoto wa mfalme Yoashi, na kumvalisha taji la kifalme, na kumpatia mikataba ya agano. Kisha wakamfanya mfalme na kummiminia mafuta. Wakapiga makofi wakisema, “Mfalme na aishi!”
13 Ja kuin Atalia kuuli kansan huudon, joka sinne juoksi, meni hän sisälle kansan tykö Herran huoneesen,
Wakati Athalia aliposikia sauti za walinzi na za watu, alikuja kwa wale watu kwenye nyumba ya Yahwe.
14 Ja näki, katso, kuningas seisoi patsaan tykönä, niinkuin tapa oli, ja päämiehet ja vaskitorvet kuninkaan tykönä, ja kaikki maan kansa oli iloissansa ja soittivat vaskitorvilla. Niin Atalia repäisi vaatteensa ja huusi: petos, petos!
Akatazama, na, kisha, yule mfalme alikuwa amesimama kwenye nguzo, kama ilivyokuwa desturi, na manahodha na wapiga mabaragumu walikuwa karibu na mfalme. Watu wote wa nchi hiyo walikuwa wakifurahi na kupiga matarumbeta. Kisha Athalia akachana mavazi yake kwa hasira na kupiga kelele, “Uhaini! Uhaini!”
15 Mutta pappi Jojada käski sadanpäämiehiä, jotka olivat pannut joukon päälle, ja sanoi heille: viekäät häntä ulos joukon lävitse, ja jos joku seuraa häntä, se surmattakaan miekalla! Sillä pappi oli sanonut, ettei hänen pitänyt kuoleman Herran huoneessa.
Ndipo Yehoyada yule kuhani akawaagiza maamri jeshi wa mamia ambao waliokuwa juu ya jeshi, akisema, “Mtoeni kwenye safu.” Atakayemfuata, muueni kwa upanga.” Kwa kuwa kuhani alisema, “Msimwache auawe kwenye nyumba ya Yahwe.”
16 Ja he laskivat kätensä hänen päällensä, ja hän meni sitä tietä myöten, jota hevoset kuninkaan huoneesen käyvät; ja hän tapettiin siellä.
Hivyo wakamtwaa kadiri walivyokuwa wakiikaribia hiyo sehemu iliyokuwa na farasi wakaingia chini, na akauawa huko.
17 Niin teki Jojada liiton Herran ja kuninkaan välillä, ja kansan välillä, että he ovat Herran kansa, niin myös kuninkaan ja kansan välillä.
Kisha Yehoyada akafanya agano kati ya Yahwe na mfalme na watu, ambao wangekuwa watu wa Yahwe, na pia kati ya mfalme na watu.
18 Sitte meni kaikki maan kansa Baalin huoneesen, ja kukistivat sen ja hänen alttarinsa, ja rikkoivat peräti kaikki hänen kuvansa, ja Mattanin Baalin papin tappoivat he myös alttarin edessä; mutta pappi asetti virat Herran huoneessa.
Basi watu wote wa nchi wakaenda kwenye nyumba ya Baali na kuingusha chini. Wakaangusha madhabahu ya Baali na sanamu zake wakazivunja vipande vipande, na kumuua Matani, mfalme wa Baali, mbele ya haya madhabahu. Kisha Yehoyada kuhani akawachagua walinzi juu ya hekalu la Yahwe.
19 Ja otti sadanpäämiehet ja esimiehet, ja vartiat ja kaiken maan kansan, ja he johdattivat kuninkaan alas Herran huoneesta, ja tulivat vartiain portin tietä kuninkaan huoneesen. Ja hän istui kuninkaan istuimelle.
Yehoyada akawachukua maamiri jeshi wa mamia, Wakari, walinzi, na watu wote wa nchi, na kwa pamoja wakamleta chini mfalme kutoka kwenye nyumba ya Yahwe na wakaenda kwenye nyumba ya mfalme, wakaingia kwa njia ya lango la walinzi. Yoashi akachukua nafasi yake kwenye kiti cha enzi cha mfalme.
20 Ja kaikki maan kansa oli iloissansa, ja kaupunki oli alallansa. Mutta Atalian olivat tappaneet miekalla kuninkaan huoneessa.
Hivyo watu wote wa nchi wakamsifu, na nchi ilikuwa kimya baada ya Athalia kuuawa kwa upanga kwenye nyumba ya mfalme.
21 Ja Joas oli seitsemän ajastaikainen tullessansa kuninkaaksi.
Yoashi alikuwa na umri wa miaka saba tangu alipoanza kutawala.

< 2 Kuninkaiden 11 >