< 2 Aikakirja 23 >

1 Seitsemäntenä vuonna rohkaisi Jojada itsensä ja otti sodanpäämiehet, Asarian Jerohamin pojan, Ismaelin Johananin pojan, Asarian Obedin pojan, Maesejan Adajan pojan ja Elisaphatin Sikrin pojan liittoon kanssansa;
Katika mwaka wa sa saba, Yehoyada alionesha nguvu zake na akaingia katika agano na maakida wa mamia, Azaria mwana wa Yerohamu, Ishmaeli mwana wa Yehohanani, Azaria mwana wa Obedi, Maaseya mwana wa Adaya, na Elishafati mwana wa Zikri.
2 Jotka kävivät Juudan ympäri ja kokosivat Leviläisiä kaikista Juudan kaupungeista, ja ylimmäiset Israelin isät, tulemaan Jerusalemiin.
Wakaenda katika Yuda na kuwakusanya Walawi kutoka miji yote ya Yuda, vile vile na wakuu wa nyumba za mababu wa Israeli, na wakaja hadi Yerusalemu.
3 Ja kaikki seurakunta teki liiton kuninkaan kanssa Jumalan huoneessa. Ja hän sanoi heille: katso, kuninkaan poika pitää kuningas oleman, niinkuin Herra Davidin lapsista sanonut on.
Kusanyiko lote wakafanya aganao na mfalme katika nyumba ya Mungu. Yehoyada akawaambia, “Ona, mwana wa mfalme atatawala, kama Yahwe alivyosema kuhusu uzao wa Daudi.
4 Näin pitää teidän tekemän: kolmas osa teistä, jotka käyvät sisälle sabbatina papeista ja Leviläisistä, pitää oleman oven tykönä vartiana;
Hivi ndivyo mtakavyo fanya: theluthi yenu makuhani na Walawi ambao huja kuhudumu siku ya Sabato, mtakuwa walinzi katika milango.
5 Ja kolmas osa kuninkaan huoneessa, ja kolmas osa perustuksen portissa; mutta kaikki kansa pitää oleman Herran huoneen pihalla.
Theluthi nyingine mtakuwa katika nyumba ya mfalme, na theluthi nyingine mtakuwa katika Msingi wa Lango. Watu wote watakuwa katika uwanja wa nyumba ya Yahwe.
6 Ettei yksikään mene Herran huoneesen, vaan papit ja Leviläiset, jotka siellä palvelevat, niiden pitää sisälle menemän; sillä he ovat pyhät; mutta kaikki muu kansa vartioitkaan Herran vartiota.
Msimruhusu yeyote kuingia kwenye nyumba ya Yahwe, isipokuwa makuhani na Walawi wanaoatumika. Wao wanaweza kuingia kwa sababu inawahusu.
7 Ja Leviläisten pitää piirittämän kuninkaan jokainen aseensa kanssa kädessänsä. Ja jos joku muu menee huoneesen, hänen pitää kuoleman. Ja teidän pitää oleman kuninkaan tykönä, kuin hän käy sisälle ja ulos.
Lakini watu wengine wote lazima mtii amri ya Yahwe. Walawi lazima wamzunguke mfalme pande zote, kila mtu na silaha zake mkononi mwake. Yeyote atakayeingia katika nyumba, atauawa. Kaeni na mfalme aingiapo ndani na atokapo nje.”
8 Ja Leviläiset kaiken Juudan kanssa tekivät kaiketi niinkuin pappi Jojada käskenyt oli. Ja jokainen otti väkensä, jotka menivät sabbatille, niiden kanssa jotka menivät pois sabbatilta; sillä pappi Jojada ei antanut niiden eritä toinen toisestansa.
Kwa hiyo Walawi na Yuda wote walitumika kwa kila njia kama katika namna ambayo Yehoyada kuhani aliwaamuru. Kila mmoja alichukua watu wake, wale waliotakiwa kuja ndani kuhudumu katika Sabato, na wale watakaoondoka siku ya Sabato, kwa maana
9 Ja Jojada pappi antoi sodanpäämiehille keihäät ja kilvet ja kuningas Davidin aseet, jotka Jumalan olivat.
Yehoyada, kuhani, hakuwa amezuilia mojawapo ya zamu zao. Kisha Yeliyadaya, kuhani, akaleta kwa maakida mikuki na ngao ndogo na kubwa zilizokuwa za mfalme Daudi ambazo zilikuwa katika nyumba ya Mungu.
10 Ja asetti kaiken kansan, itsekunkin aseinensa kädessänsä, oikiasta huoneen loukkaasta niin vasempaan loukkaasen, alttarin ja huoneen tykö, kuningasta ympäri.
Yehoyada akawaleta wanajeshi wote, kila mtu na mkuki wake katika mkono wake, upande wa kulia wa hekalu hadi upande wa kushoto wa hekalu, pembeni mwa madhabahu na hekalu, wakimzunguka mfalme.
11 Ja he toivat kuninkaan pojan edes, panivat kruunun hänen päähänsä, ja todistuksen, ja tekivät hänen kuninkaaksi. Ja Jojada ja hänen poikansa voitelivat hänen, ja sanoivat: menestyköön kuningas!
Kisha wakamleta nje mwana wa mfalme, wakaiweka taji juu yake, na kumpa agano la sheria. Kisha wakamfanya mfalme, na Yehoyda na wanaye wakampaka mafuta. Kisha wakasema, “Aishi maisha marefu mfalme.”
12 Kuin Atalia kuuli kansan äänen, jotka juoksivat ylistäen kuningasta, niin hän meni kansan tykö Herran huoneesen.
Athalia aliposikia kele za watu wakikimbia na kumsifu mfalme, akatoka ili awaone watu katika nyumba ya Yahwe.
13 Ja hän näki, ja katso, kuningas seisoi patsaansa tykönä läpikäytävässä, ja ylimmäiset ja vaskitorvet kuninkaan ympärillä, ja kaikki maan kansa oli iloinen, ja puhalsivat vaskitorviin, ja veisaajat kaikkinaisten kanteleiden kanssa, taitavat kiittämään. Silloin repäisi Atalia vaatteensa ja sanoi: kapina, kapina!
na akaangalia, na, tazama, mfamle alikuwa amesimama karibu na nguzo yake katika lango la, kuingilia na maakida na wapuliza tarumbeta walikuwa karibu na mfame. Watu wote wa nchi walikuwa wakifurahia na kupuliza tarumbeta na waimbaji walikuwa wakipiga vyombo vya muziki na kuongoza nyimbo za kusifu. Kisha Athalia akayararua mavazi yake na kupiga kelele. “Fitina! Fitina!”
14 Mutta Jojada pappi meni sodanpäämiesten kanssa ulos, jotka olivat sotajoukon päällä, ja sanoi heille: taluttakaat häntä ulos joukon lävitse: ja joka häntä seuraa, se pitää miekalla tapettaman; sillä pappi oli käskyn antanut, ettei häntä pitänyt Herran huoneessa tapettaman.
Kisha Yehoyada, kuhani, akawaleta nje maakida wa mamia waliokuwa juu ya jeshi na kusema, “Mleteni nje kati ya safu, yeyote atakayemfuata, auwawe kwa upanga.” kwa maana kuhani alikwishasema, “Msimuue katika nyumba ya Yahwe.”
15 Ja he panivat kätensä hänen päällensä, ja kuin hän tuli hevosportin läpikäytävään, joka oli kuninkaan huoneen tykönä, tappoivat he hänen siellä.
Kwa hiyo wakafanya njia kw ajili yake, na akaenda kwenye nyumba ya mfalme kupita njia ya Lango la Farasi, na huko wakamuuwa.
16 Ja Jojada teki liiton itsensä, kaiken kansan ja kuninkaan vaiheella, että he olisivat Herran kansa.
kisha Yehoyada alifanya agano kati yake mwenyewe, watu wote, na mfalme, kwamba watakuwa watu wa Yahwe.
17 Silloin meni kaikki kansa Baalin huoneesen ja kukistivat sen, ja särkivät hänen alttarinsa ja kuvansa, ja tappoivat Mattanin Baalin papin alttarien edessä.
Kwa hiyo watu wote wakaenda kwenye nyumba ya Baali na kuiangusha chini. wakazivunja vipande vipande madhabahu za Baali na sanamu zake, na wakamuua Matani, kuhani wa Baali, mbele ya madhabahu hizo.
18 Ja Jojada pani Herran huoneen virat pappein ja Leviläisten käsiin, jotka David oli asettanut Herran huoneesen tekemään Herran polttouhria, niinkuin kirjoitettu on Moseksen laissa, ilolla ja veisulla Davidin asetuksen jälkeen;
Yehoyada akateua wakuu kwa ajili ya nyumba ya Yahwe chini ya mkono wa makuhani, ambao walikuwa Walawi, ambao Daudi alikuwa amewapanga kwenye nyumba ya Yahwe, ili wamtolee Yahwe sadaka za kuteketezwa, kama ilivyoandikwa katika sheria ya Musa, pamoja na kushangilia na kuimba, kama alivyotoa maelekezo Daudi.
19 Ja asetti portinvartiat Herran huoneen portteihin, ettei mitään saastaisuutta sisälle tulisi missään kappaleessa.
Yehoyada akaweka walinzi katika malango ya nyumba ya Yahwe, ili kwamba kwa namna yoyote ile asiingie mtu asiyesafi.
20 Ja hän otti sadanpäämiehet, ja voimalliset, ja kansan hallitsiat, ja kaiken maan kansan, ja vei kuninkaan Herran huoneesta alas ja he menivät ylimmäisen portin lävitse kuninkaan huoneesen; ja he antoivat kuninkaan istua valtakunnan istuimelle.
Yehoyada akachukua pamoja naye maakida wa mamia, watu wakubwa, watawala wa watu, na watu wote wa nchi. Akamleta chini mfalme kutoka kwenye nyumba ya Yahwe; watu wakaja kwenye nyumba ya mfalme kupitia Lango la juu na kumkalisha mfalme juu ya kiti cha enzi cha ufalme. (Baadhi ya maandiko ya ya kisasa yanasema, “wakamshusha chini mfalme”)
21 Ja kaikki maan kansa oli iloinen, ja kaupunki oli levossa, sittekuin Atalia tapettiin miekalla.
Kwa hiyo watu wote wa nchi wakafurahia, na mji wote ulikuwa kimya. Kuhusu Asa walikuwa wamemuua kwa upanga.

< 2 Aikakirja 23 >